Hii ni 1KD na 2KD bei zake ni 10m kupanda juu.Hii D-4 ndio jina la engine.? Na zina range kwenye bei gan.?
Ni engine ya Toyota hii engine utaikuta kwenye baadhi ya Toyota Hilux na noahHii D-4 ndio jina la engine.? Na zina range kwenye bei gan.?
5.L ni injini bora na ina nguvu sanaWaungwana habari zenu. Naombeni ushauri,nina gari yangu TATA XENON DICOR 3.0L. Nahitaji kuibali Engine niweke injini ya Toyota. Je niweke injini gani inaweza kuwa poa.?
Hili ndio wazp zuri zaidi modification zinagharama sanaKwanini usitafute Tata engine?
Hilux na Noah zimeanza lini share engine?Ni engine ya Toyota hii engine utaikuta kwenye baadhi ya Toyota Hilux na noah
Ina nguvu kuliko engine gani ? Ishia kwenye uimara hapo hapo usiendelee5.L ni injini bora na ina nguvu sana
Nguvu hiyo inatoka wapi labda matumizi mazuri ya wese,injini lina mlio mkubwa speed mwisho 120.Nguvu ya injini ni horsepower na lina 90hp!5.L ni injini bora na ina nguvu sana
Watu wanaropoka tu mkuu!Ina nguvu kuliko engine gani ? Ishia kwenye uimara hapo hapo usiendelee
Upo mkoa gani?Natamani ila zinachosha kwenye upatikanaji wa spare zake incase unataka kutafuta spare.
Agiza India chiefNipo Dar,leo mwezi sasa unapita natafuta control na hamna