johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,944
Mwanasiasa mkongwe mzee Mgaya ananihabarisha kuwa endapo Freeman Mbowe atachaguliwa tena kuiongoza Chadema basi atakuwa ni kiongozi wa pili Afrika anayependwa " sana" ndani ya chama chake.
Kiongozi anayemzidi Mbowe ni Robert Mugabe rip wa Zimbabwe lakini Mbowe kutokana na umri wake ana fursa ya kuvunja rekodi hiyo ya Mugabe na Zanu PF, amesisitiza mzee Mgaya.
Maendeleo hayana vyama!
Kiongozi anayemzidi Mbowe ni Robert Mugabe rip wa Zimbabwe lakini Mbowe kutokana na umri wake ana fursa ya kuvunja rekodi hiyo ya Mugabe na Zanu PF, amesisitiza mzee Mgaya.
Maendeleo hayana vyama!