Endapo Mbowe atachaguliwa tena basi atakuwa ni kiongozi wa pili kwa kupendwa barani Afrika akitanguliwa na Robert Mugabe wa Zimbabwe

Hao mafisi hawajui kutofautisha raisi na mwenyekiti
jamani fanyeni tathmini kwa usahihi mbowe si rais wa nchi ni mwenyekiti wa chama kama katiba ya chama chake kinaruhusu ,kama akiona yafaa , na kama akipewa tena ridhaa mimi ni nani niseme hatakiwi ...hivi tumejiuliza marehemu Mtikila, Mzee Cheyo..UDP ,Professor Lipumba , na Mrema nk ni wenyeviti wa chama tangu mwaka gani....Kwa mfano bwana Yule tangu anagombea urais mwaka 1995 tayari alikuwa mwenyekiti wakati huo nina miaka 9 leo nina mtoto ana miaka 9 bado tu.... Mwacheni Mbowe ..na wote ambao hawamtaki sio wa chama chake sijui kwa nini
 
Hivi unatumia vigezo gani ..........??

Kama ni muda wa kuongoza mbona wapo wengi tu zaidi yake. Ndani ya nchi kuna akina Nyerere, Cheyo (Mzee wa mapesa). Nje kuna akina Moi, Mseveni, Kagame na wengine huko North na West Africa.
UDP ya Cheyo huwa inafanya uchaguzi wa mwenyekiti??

Nyerere amechaguli wa mara ngapi kuongoza CCM?
 
Back
Top Bottom