Ntajie mtu asie na kambi ndani ya ccmKuna demu nilikuwa nafukuzia nikakuta Nchimbi naye anafukuzia. Demu alinikataa. Nchimbi naye kama alikuja kufanikiwa ilikuwa baada ya muda mrefu kwasababu mwanzoni alikuwa anatuma tu bahasha za pesa kwa demu ila demu akawa anazila tu. Kwenye siasa huyo haaminiki kwasababu ni mtu ambaye hayuko neutral. Huwa ana kambi zake ndani ya chama.
Nyumba ndogo za wanaume wa CCM mnaanza kupigia debe wanaume zenu.Naam, Bulembo asubiri u-kampeni meneja
Watoto wa Oysterbay mshaanza.Naunga mkono hoja
P
Kwani nani kakibomoa?Emmanuel Nchimbi ni mwanasiasa anayemudu mapambano, anayejua historia ya chama na misingi yake.
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
View attachment 2828195
Mnalazimisha tu. Chama kimeshajiishia mnalazimisha eti kipendwe. Hata aje yesu chama kimeshaisha ndo mana hata jpm alilijua Hilo akaamuru wakarigenzi watangaze hivyohivyo wabunge bila hata kushinda kwa kuwapiga biti Kali kwamba yeye ndo anawawekea mafuta kwenye magari. Ndo mana ukisoma tune huru ya uchaguzi ccm mavi yanagonga.Emmanuel Nchimbi ni mwanasiasa anayemudu mapambano, anayejua historia ya chama na misingi yake.
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
View attachment 2828195
Hayuko salama na majority ya wanaotajwa. Aende nje kabisa kama Magu alivyokwenda UDSM akamchukua Dr. Bashiru,akishindwa aniamini hata mimi ila sio hao 😅😅Mama ana kibarua maana hajawahi jenga kambi tuiifu kwake hata kina makonda walimdharau kipindi cha magu
Sasa watu waliochapana vita hapa Tanzania kutaka kumfukuza mzungu ni wangoni na waheheMngoni huwa haaminiki hasa kwa wanaomjua mngoni kiundani, ngoja ipite ntawaambia kitu, kama Madam Hassan anafanya kwa dhamira ya Urais, Urais wa 2025 asahau hatopata vita ataiona na atashindwa na kupata aibu kubwa.
Ndo maana siasa hutakiwi ivamia kama mama Samia unapaswa ifanya kama jakaya yy aliingia madarakani na washkaji zake wa kucheza basketbol pale udsm .wanasema you cant make old new friendsHayuko salama na majority ya wanaotajwa. Aende nje kabisa kama Magu alivyokwenda UDSM akamchukua Dr. Bashiru,akishindwa aniamini hata mimi ila sio hao 😅😅
Huyu ni kijana wa msoga tu,walawaleKila likitajwa jina la Emmanuel Nchimbi kichwani huwa inanijia taswira ya NGADA
Sio wote waliosoma Ostabei ni watoto wa Ostabei, hata wa Msasani Mkoroshini pia tulisoma pale!, ila Mkuu Kiranga ... usikute...Watoto wa Oysterbay mshaanza.
Uko sahihi sana Ndugu yangu japo yeye hakuivamia ila sasa mipango ya Mola. Huwa nawaza angejipanga akiwa makamu angekuwa wapi? Ni mtihani mgumu ila akitulia atafanikiwa,kosa atakalofanya ni kuongozwa na woga na hofu.Ndo maana siasa hutakiwi ivamia kama mama Samia unapaswa ifanya kama jakaya yy aliingia madarakani na washkaji zake wa kucheza basketbol pale udsm .wanasema you cant make old new friends
Usishangae Bashiru au Polepole kateuliwa.. Dunia Ina mengiNadhani anafaa sanaa Dr Balozi Nchimbi. Bulembo simuoni kama KM mahiri. Karne hii, apumzike umri umeenda.
Haha ulimwengu hatokubali. Jamaa ni mtu wa principals sana yule.Mara paaaap kapewa Luhanga mpina. Au paaaap kapewa general ulimwengu nasema hivi...Bamutu bafisadi bataokota mupila ku nyafu bitawaka moto ya nyoso.
Sio wote waliosoma Ostabei ni watoto wa Ostabei, hata wa Msasani Mkoroshini pia tulisoma pale!, ila Mkuu Kiranga ... usikute...
P