Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,550
- 8,754
Ila ule mvi8 wa KM hata mimi nautamani, mheshimiwa fanya Jambo nikunyooshee hao wanafki hapo lumumba 😂
Na mimi niliposema Mkuu Kiranga , usikute..., nilimaanisha usikute wewe ndio wale wale!. Daktari wa uchumi wa buluu alinitangulia madasa 2, tukaja kukutana tena Tambaza!. Kwa data zako unaonyesha na wewe ni wale!.Mimi nimemaanisha Oysterbay Primary. Ndio wale wale tu.
Waarabu wa Pemba, mnajuana kwa vilemba.
Hamjakutana barabarani, mnajuana tangu kwa Mchambawima na St. Peters.
Mimi nimekaa kati ya channel zote za mjini za zamani, kuanzia Kwa Kalumuna, Super Star mpaka OFC. Don Bosco mpaka Magunia.Na mimi niliposema Mkuu Kiranga , usikute..., nilimaanisha usikute wewe ndio wale wale!. Daktari wa uchumi wa buluu alinitangulia madasa 2, tukaja kukutana tena Tambaza!. Kwa data zako unaonyesha na wewe ni wale!.
P
Hiyo nafasi apewe Lucas mwashamba amechoka kupokea kofia na kanga za ccm nae anakujua chooni mjue!!Emmanuel Nchimbi ni mwanasiasa anayemudu mapambano, anayejua historia ya chama na misingi yake.
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
View attachment 2828195
Duh...!. Ulipomtaja Kalumuna!, umenikumbusha mbali, maana summit ya Tambaza ndipo nilipoanzia ujana!, kuna kitu kilikuwa kinapigwa... sijui ni cha Arusha kile!, harufu tuu unapenda!.Mimi nimekaa kati ya channel zote za mjini za zamani, kuanzia Kwa Kalumuna, Super Star mpaka OFC. Don Bosco mpaka Magunia.
Nawaona tu mnavyojipanga kula.
Summit wamepiga bati siku hizi.Duh...!. Ulipomtaja Kalumuna!, umenikumbusha mbali, maana summit ya Tambaza ndipo nilipoanzia ujana!, kuna kitu kilikuwa kinapigwa... sijui ni cha Arusha kile!, harufu tuu unapenda!.
Nimecheka na ku smile mwenyewe uliposema unatuona tunavyojipanga kula!. It's very unfortunately mimi ni kozi mwana mandanda kulala njaa kupenda!. I have never lobbied kula japo fursa za lobbying nilikuwa nazo kibao!. Hivyo endelea kuwaangalia hao wanaojipanga na sisi tukiwaangalia!. Tatizo sio kula, kula ni kula tuu tatizo ni kukomba mboga!. Kuna watu wanakula mpaka kutaka kukomba mboga!.
P
Duh...!. Ulipomtaja Kalumuna!, umenikumbusha mbali, maana summit ya Tambaza ndipo nilipoanzia ujana!, kuna kitu kilikuwa kinapigwa... sijui ni cha Arusha kile!, harufu tuu unapenda!.Mimi nimekaa kati ya channel zote za mjini za zamani, kuanzia Kwa Kalumuna, Super Star mpaka OFC. Don Bosco mpaka Magunia.
Nawaona tu mnavyojipanga kula.
Huyo unayemsifu unajua alifanya nini alipokuwa waziri wa mambo ya ndani? Acha ushabiki. Ninachokiona nchi iko katikati ya ukabila. Kuna mjitu inashabikia kila mtu, hata muovu, bora awe kabila lake.Emmanuel Nchimbi ni mwanasiasa anayemudu mapambano, anayejua historia ya chama na misingi yake.
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
View attachment 2828195
Duh, hapana bana. Nchimbi ndo tumtarajie tuMakonda anaweza kufanya kazi na Sabaya pekee
Utaona Sabaya ni KM wa CCMDuh, hapana bana. Nchimbi ndo tumtarajie tu
Sabaya mtu poa sana. Anafaa. Tumpigie Kampeni apitishwe yeye ili yapate kutimia yaliyoandikwa 😂Utaona Sabaya ni KM wa CCM
Ni muuaji na CCM inataka watu kama haoSabaya mtu poa sana. Anafaa. Tumpigie Kampeni apitishwe yeye ili yapate kutimia yaliyoandikwa 😂
Basi anafaa sana. Chama kitakuwa kimepata mtu mzuri sana.Ni muuaji na CCM inataka watu kama hao
Sikuwepo sina ushahidi, Sabaya niliona kwa macho yanguBasi anafaa sana. Chama kitakuwa kimepata mtu mzuri sana.
Kwani umesahau Nchimbi kuhusishwa na kifo cha Ipyana Malecela?
Mama amekuelewa, mapendekezo yako yametimia.Emmanuel Nchimbi ni mwanasiasa anayemudu mapambano, anayejua historia ya chama na misingi yake.
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
View attachment 2828195
Pia soma: Breaking News: - Dkt. Emmanuel Nchimbi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM
Hv ww huwa uko ndani ndani ndaaaaaani!Emmanuel Nchimbi ni mwanasiasa anayemudu mapambano, anayejua historia ya chama na misingi yake.
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
View attachment 2828195
Pia soma: Breaking News: - Dkt. Emmanuel Nchimbi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM
AiseeEwaaa!!!!