Elimu ya Mnyika

Elimu ya Mnyika

Status
Not open for further replies.
Kwaiyo wewe ndio mke wake mpaka umshauri au nani hasa? Wewe na elimu yake wapi na wapi? Dogo fuata Maisha yako
 
Amani iwe kwenu.

Nimeamua nimtolee uvivu kijana wangu John Mnyika (Mb) wa Kibamba arudi chuo kuchukua shahada ambayo alidosco UDSM mwaka 2004.Alishawahi kutoa vijisababu vingi ikiwemo kutingwa na shughuli,uonevu wa wahadhiri nk.

Nampa wito arudi shuleni kwa sasa kuna fursa nyingi ikiwemo Chuo kikuu huria ambapo ataweza kusoma huku akifanya shughuli zake.

Lucas Malema (35) ni mwenyekiti wa EFF huko Afrika Kusini kabla ya hapo alikuwa mwenyekiti wa ANC youth league ambapo aliondoka na kuanzisha chama cha upinzani lakini aliendelea kusoma na kumaliza masomo yake ya BA PS kutoka University of SA,ikumbukwe Malema ana kesi lukuki,ni Commander in Chief wa EFF ,Mbunge na baba wa familia hivyo Mnyika wacha visingizio wewe hata ofisini kwa sasa umetengwa kiaina.

Mnyika hutumia hadi kurasa tano kuelezea jinsi alivyoshindwa kuhitimu sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kufanya mitihani na "course work"..ni chuo gani duniani wanaweza kuvumilia mpuuzi asiyefanya mitihani halafu wampe "Associate degree"...Ikumbukwe tu wakati Mnyika anadisco hakuwa na wadhifa wowote wa juu chadema na hakuwa Mbunge.

Nakushauri Mnyika urudi shuleni ili kuepuka sababu tunazomkinga nazo Mbowe kwa sasa kama KUB mara "tajiri","amekitoa chama mbali" nk.

Nategemea watetezi wa sera ya "elimu,elimu,elimu" ndio watakuwa wa kwanza kusema "elimu si muhimu".....!


Nawasilisha.
Lucas Malema ndo nani? Kasome tene jina la huyo jamaa
 
Amani iwe kwenu.

Nimeamua nimtolee uvivu kijana wangu John Mnyika (Mb) wa Kibamba arudi chuo kuchukua shahada ambayo alidosco UDSM mwaka 2004.Alishawahi kutoa vijisababu vingi ikiwemo kutingwa na shughuli,uonevu wa wahadhiri nk.

Nampa wito arudi shuleni kwa sasa kuna fursa nyingi ikiwemo Chuo kikuu huria ambapo ataweza kusoma huku akifanya shughuli zake.

Lucas Malema (35) ni mwenyekiti wa EFF huko Afrika Kusini kabla ya hapo alikuwa mwenyekiti wa ANC youth league ambapo aliondoka na kuanzisha chama cha upinzani lakini aliendelea kusoma na kumaliza masomo yake ya BA PS kutoka University of SA,ikumbukwe Malema ana kesi lukuki,ni Commander in Chief wa EFF ,Mbunge na baba wa familia hivyo Mnyika wacha visingizio wewe hata ofisini kwa sasa umetengwa kiaina.

Mnyika hutumia hadi kurasa tano kuelezea jinsi alivyoshindwa kuhitimu sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kufanya mitihani na "course work"..ni chuo gani duniani wanaweza kuvumilia mpuuzi asiyefanya mitihani halafu wampe "Associate degree"...Ikumbukwe tu wakati Mnyika anadisco hakuwa na wadhifa wowote wa juu chadema na hakuwa Mbunge.

Nakushauri Mnyika urudi shuleni ili kuepuka sababu tunazomkinga nazo Mbowe kwa sasa kama KUB mara "tajiri","amekitoa chama mbali" nk.

Nategemea watetezi wa sera ya "elimu,elimu,elimu" ndio watakuwa wa kwanza kusema "elimu si muhimu".....!


Nawasilisha.
Atarud jamani akipona. msimsimange mgonjwa
 
Tulipoteza miaka 10 ya uwaziri mkuu wa Sumaye,Baada ya kustaafu akenda kuchukua shahada US aliporudi wakati anahojiwa na waandishi wa habari ....faida ya elimu yake ninni?...akajibu "sasa elimu hii imenisadia naelewa chanzo cha unasikini"...hii ndio akili ya Sumaye,tulipoteza miaka 10.
 
Amani iwe kwenu.

Nimeamua nimtolee uvivu kijana wangu John Mnyika (Mb) wa Kibamba arudi chuo kuchukua shahada ambayo alidosco UDSM mwaka 2004.Alishawahi kutoa vijisababu vingi ikiwemo kutingwa na shughuli,uonevu wa wahadhiri nk.

Nampa wito arudi shuleni kwa sasa kuna fursa nyingi ikiwemo Chuo kikuu huria ambapo ataweza kusoma huku akifanya shughuli zake.

Lucas Malema (35) ni mwenyekiti wa EFF huko Afrika Kusini kabla ya hapo alikuwa mwenyekiti wa ANC youth league ambapo aliondoka na kuanzisha chama cha upinzani lakini aliendelea kusoma na kumaliza masomo yake ya BA PS kutoka University of SA,ikumbukwe Malema ana kesi lukuki,ni Commander in Chief wa EFF ,Mbunge na baba wa familia hivyo Mnyika wacha visingizio wewe hata ofisini kwa sasa umetengwa kiaina.

Mnyika hutumia hadi kurasa tano kuelezea jinsi alivyoshindwa kuhitimu sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kufanya mitihani na "course work"..ni chuo gani duniani wanaweza kuvumilia mpuuzi asiyefanya mitihani halafu wampe "Associate degree"...Ikumbukwe tu wakati Mnyika anadisco hakuwa na wadhifa wowote wa juu chadema na hakuwa Mbunge.

Nakushauri Mnyika urudi shuleni ili kuepuka sababu tunazomkinga nazo Mbowe kwa sasa kama KUB mara "tajiri","amekitoa chama mbali" nk.

Nategemea watetezi wa sera ya "elimu,elimu,elimu" ndio watakuwa wa kwanza kusema "elimu si muhimu".....!


Nawasilisha.
Unawasilisha mambo ya uongo tu hapa,sisi tunamjua Julius Malema..huyo Lucas malema kadanganye wana ccm wenzako
 
LUCAS MALEMA ndio Julius MALEMA?, hata hivyo hakuna hoja ya kujadili hapa!
 
Ujumbe ungewapa wale wabunge wa CCM ambao wamesoma na kupata shahada lakini wanashindwa kutumia elimu yao katika kutatua matatizo ya jamii inayowazunguka.
Ukosefu wa shahada usio na hasara ni bora kuliko elimu isiyo na faida
 
What a heck???,ikibidi hivyo mark wa fb,bill gates hata huyu wa jamii forum waombe warudi kuhitimu,,,ggggggghhh what is this anyway?
 
Dropouts siku zote they are succsefuly guys hata Steve jobs,f,,,u.....#&%#..@..c#%-@..c...k
The system
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom