mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,222
Mkuu mimi sijui elimu yake nifahamishe.
hv unajua mh. lukuvi ni mwalimu wa UPE
Mkuu mimi sijui elimu yake nifahamishe.
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA
wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.
ingieni website ya bunge mtafute mnachokitafuta.
halafu jaman ubongo wa mnyika ni msafi haujajazwa zinaa na ulevi ndo mana yuko bright mtoto wa watu sasa kuna njitu zimeunguza mbongo kwa ngono na ulevi hayawezi kufikiri zaidi ya mita 50 hahaha
no wonder anawazidi watu wa serikali kwa upeo wa mbali sana. mtu aliyepata A -10 kati ya 11 form four ni genius anakuwa na upeo wa kipekee. mimi hapa nilipata A moja tu form four ila bado natesa :becky:form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA
wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.
Wanajua kuingia Jf lakini hawajui kuingia website ya bunge
Nenda kama utaikuta elimu yake kuna picha tu na CV ya ujanja ujanja tu.
Nenda kama utaikuta elimu yake kuna picha tu na CV ya ujanja ujanja tu.
Kina mtu unamsema hapa haya wewe endelea.
Mbona unaandika kama mtoto wa chekechea?hv BA ya jk inakusaidia nini? PhD YA kawambwa ina mchango gani kwako hebu angalia nyerere hakiwa na PhD Lakini angalia uwezo aliokuwa nao mna kazi ya kupiga domo tu njaa zitawamaliza
Nenda kama utaikuta elimu yake kuna picha tu na CV ya ujanja ujanja tu.
Mbona unaandika kama mtoto wa chekechea?
Mbona unaandika kama mtoto wa chekechea?
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA
wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.