Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 908
- 1,064
Kuna watu tunawafahamu kabisa hawana hii elimu ila wako vizuri na unaweza shangaa wao ndio waliotusomesha mpaka leo tuko na degree na ma PhD ila wao hata hawakunusa karatasi.
Elimu ya darasani hii imerudisha maenndeleo ya wananchi nyuma kabisa. Mtu anauza shamba eti mwanae asome mwisho wa siku negative anaenda kupata. Hasara tupu
Bora kukosa elimu hii ya shule ukawa na akili maana elimu ya shule ni upigaji mtu kulemeza vijana, vijana wamekuwa wazembe. Shule unafundishwa mambo 40 kwa wakati mmoja.
Serikali inabidi ibadilishe mfumo mzima wa elimu (India mtoto mdogo anajua kupasua chura na kumurudisha kwenye hali yake ya kawaida ila bongo doctor ni mzee ashazeeka. Huku bongo tunasoma tukiwa wazee sana.
Ni nini tatizo?
Elimu ya darasani hii imerudisha maenndeleo ya wananchi nyuma kabisa. Mtu anauza shamba eti mwanae asome mwisho wa siku negative anaenda kupata. Hasara tupu
Bora kukosa elimu hii ya shule ukawa na akili maana elimu ya shule ni upigaji mtu kulemeza vijana, vijana wamekuwa wazembe. Shule unafundishwa mambo 40 kwa wakati mmoja.
Serikali inabidi ibadilishe mfumo mzima wa elimu (India mtoto mdogo anajua kupasua chura na kumurudisha kwenye hali yake ya kawaida ila bongo doctor ni mzee ashazeeka. Huku bongo tunasoma tukiwa wazee sana.
Ni nini tatizo?