mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 277
- 548
Katika hali ya kawaida ilitegemewa wasomi wasaidie kuongeza nafasi za ajira mpya kwa kuanzisha biashara na makampuni yatakayotoa nafasi mpya za ajira, hasa kwa vijana.
Lakini cha ajabu kwa bongo, wasomi wameendelea kujipambania wao wenyewe kwa kukesha na bahasha za kaki wakisaka ajira kwenye siasa na wengine kung'ang'ania ajira za kuajiliwa kiasi unashangaa elimu waliyoipata inaisaidia vipi jamii.
Maana saivi kuna wimbi kubwa la vijana wasio na ajira. Kama kungekuwa na ongezeko la makampuni mapya si yangesaidia kupunguza vijana wasio na ajira uko kitaani.
Badala yake ngumbaro na wenzao wenye elimu za kawaida tu za shule ndo mara nyingi unaskia wakianzisha biashara na kuajiri. Hii haijakaa sawa. Wasomi kamateni nafasi yenu mlisaidie taifa linawategemea.
Hii sauti inatosha wakuu?
Lakini cha ajabu kwa bongo, wasomi wameendelea kujipambania wao wenyewe kwa kukesha na bahasha za kaki wakisaka ajira kwenye siasa na wengine kung'ang'ania ajira za kuajiliwa kiasi unashangaa elimu waliyoipata inaisaidia vipi jamii.
Maana saivi kuna wimbi kubwa la vijana wasio na ajira. Kama kungekuwa na ongezeko la makampuni mapya si yangesaidia kupunguza vijana wasio na ajira uko kitaani.
Badala yake ngumbaro na wenzao wenye elimu za kawaida tu za shule ndo mara nyingi unaskia wakianzisha biashara na kuajiri. Hii haijakaa sawa. Wasomi kamateni nafasi yenu mlisaidie taifa linawategemea.
Hii sauti inatosha wakuu?