uelekeo ni uo uo mkuu,ukiitaji nambie nikupe nondo ufaidi.
uelekeo ni uo uo mkuu,ukiitaji nambie nikupe nondo ufaidi.
kama picture quality ni mbaya kwenye NBS Channel 143 Azam tv
pia Rodriguez 2 kwenye receiver yako angle hiyohiyo game pia inaonekana.
kuna mkuu alitoa somo hapo juu namna kutumia receiver / dekoda yako.
mkuu mm nina dishi dogo size l dstv nitawezaje kupata dstv kwa kuwek hzo LNB2 kwamaan sasa nmechoka kwani linashika tv z dini tupuu.
Mkuu nimekusubiria cku nzima ya leo...
pole sana mkuu,majukumu kidogo yana bana, sasa fanya hivi hapo hapo ulipo (uelekeo wa azam)dish lako lisogeze kidogo sana kuelekea upande wa kushoto,utaipata SES 5@W ya zuku,ukishaipata io yazuku, weka tp za amos5 ku @e kisha dish lako limovezishe upande wa kulia kwako kidogo sana(kama cm3) kisha fanya kama unalibinua kidogo kidogo kuelekea juu uku unatazama tv yako,hapo utaipata amos5,kama hujaelewa niulize tena mkuu.
sasa mkuu nikisogeza dish chanel za Azam c zitapotea?pia naomba unipatie frequance
KUSCAN rahisi just go tomkuu nimeshindwa kuscan baada ya kumalixa kuaad freq
naomba unielekeze kuscan.
Vp ubora wa picha na movies ktk king'amuzi cha Zuku?
Ni hii 11190 h 3210
hapa tumeona tena game ya man city na chelsea
Wadau nimefanikiwa
azma yangu,kwakutumia
dish la zuku la futi2 na
receiver ya mediacom
nimeweza kupata satlite
mbili kwa mpigo.
a) Amos5 ku @17
nimepata chanel
zifuatazo .apostoric
churc,oroma tv,ctv,favior
tv,angel tv,jhs tv,omn na
french 24.
B)eutel sat16 @e
nimezipata,rdv,crtv,lcf,tchad
national tv,dbs,canal
1&2,impact tv,suna
tv,2stv,wisal hausa,
french 24,golfe tv,rtg
1,suna tv1,stv1,tv5
monde,ltm tv,equenox
tv,stv2,ortb,na racine tv.
Nimejaribu
nimeweza,fanya na
wewe mku.
Dah umeongezea hamasa.
Nina Dish la ZUKU na pia receiver ya MediaCom MFT-930Plus(China), ntajitahidi mpaka nizipate. Ila nina swali dogo, "Dish linabakia hapohapo zinapopatikana channels za ZUKU ama linageuzwa kidogo?".
Shukrani Mkuu, interest yangu kwa haya mambo imesaidia. Natumia dish & decoder ya ZUKU, nimeongeza RODRIGUES TV1 na TV2.
umefanyaje?naomba nielekeze maana nina zuku