Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 540
- Thread starter
- #141
Sijakuelewa vizuri mkuu, kwa hiyo hiyo sattelite inaitwaje? Na hizo channel za bure ni zipi? Zimo local channels za hapa ncini zote mfano za mengi star tv, tbc1 na channel ten na zinginezo mfano za kenya?
ku pas7/10 nyuzi 68.5 east,hakuna local hata moja mkuu,ila mpira unaona.