Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

jamani tusaidieni jinsi ya ku add satelite kwenye receiver ya azam tv nimejaribu nimeshidwa kabisa
 
Kwanza hiyo frequency angalia vizuri kama umeandika sawa ina miss digit moja ambayo ni 1 inabidi iwe 11192 Au 11190. Na hakikisha ume add satellite usiingize hizo kwa satellite inayotumika na azam.
ukiadd hiyo satellite unai edit pia kama degree 7° na weka east.
then save halafu scan hiyo satellite yako mpya.
utafurahia mkuu

Big up bro.... endelea kuleta mapya kutusaidia.
 
Weka frequence hizi upate chnl moja ya mozambiq.
10962h,03253
 
wakuu mimi nina decoder ya azamtv tu ila naufatilia sana huu uzi ila cjaelewa bado jinc ya ku-add sat na uinguza new freq.please help me.
 
wakuu mimi nina decoder ya azamtv tu ila naufatilia sana huu uzi ila cjaelewa bado jinc ya ku-add sat na uinguza new freq.please help me.

mkuu kesho tembelea uzi huu nitakupa njia raisi ya kutatua ilo tatizo lako.
 
kuongeza satellite au
channel,
nenda main menu»
search» satellite list
pale chini utaona rangi
na function yake mbele
unachagua
ukitaka kuadd frequency
na symborate yake una
unabofya arrow ya
kulia ,pia utaona rangi
pale chini na function
zake.
ukifuta hivo utaweza
kuadd satellite na
frequency.
 
kuongeza satellite au
channel,
nenda main menu»
search» satellite list
pale chini utaona rangi
na function yake mbele
unachagua
ukitaka kuadd frequency
na symborate yake una
unabofya arrow ya
kulia ,pia utaona rangi
pale chini na function
zake.
Ukifuta hivo utaweza
kuadd satellite na
frequency.


hii hatua nafika ila kwanza nadhani kuna tofauti kati ya ku-add sat na ku-add freq.

Kwanza nielekeze jinsi ya ku-add sat kwanza.
 
Jamani wengine ni wageni katika mambo hayo hivyo tuelekezeni step by step tutashkuru sana
 
Pole wadau mnao kumbana na tatizo la ku add sat ktk kisimbuz cha azam...
Haya twende kazi sasa.

A) KUADD SATELITE

Bonyeza MENU kuna vitu vitaonekana hapo,shuka mpaka ktk neno SEARCH bonyeza inter(ok) kuna maneno mengne yatatokea, shuka mpaka ktk neno SATELITE LIST bonyeza inter(ok) kuna maneno yatatokea na vitufe vyake.. Maneno haya 1)edit 2)add 3)delete
ukiangalia izo langi zake zinafanana na ktk remote yako, sasa bonyeza ako katufe ka kijani(add)

kuna page itajifungua tena,bonyeza tena Inter (ok) kuna keybord ita tokea ktk tv yako ktk utaona kachumba kana rangi ya kijani,hapo chagua erufi unazo taka kuiname io sate yako, kisha hapo hapo ktk key bord utaona maneno 1)save 2)cancel 3)unsave we scrol ako kachumba kenye rangi mpaka ktk neno save kisha bonyeza (ok)

kisha shuka chini mpaka ktk neno LOCATION andika location yake, ukimaliza shuka chini tena andika angle yake alafu bonyeza (ok) apo utakua umefanikiwa kuongeza sat ktk decoda ya azam.
 
Tunaendelea wadau,sasa tujaze frequence ktk decoda ya azam

bonyeza menu,nenda ktk neno SEARCH, (ok) nenda SATELITE LIST, (ok) apo bonyeza kitufe cha kijan ktk remote yako,jaza hizo simborate,frequence na polarizatio yake zen save,kisha scan, mambo lazma yajipe na hutafurai mwenyewe mkuu,kama kuna tatizo ingne weka swali hapa kwa faida ya wote,wala sitaki uni pm.

Nimimi Ph-25
 
Last edited by a moderator:
Tunaendelea wadau,sasa tujaze frequence ktk decoda ya azam

bonyeza menu,nenda ktk neno SEARCH, (ok) nenda SATELITE LIST, (ok) apo bonyeza kitufe cha kijan ktk remote yako,jaza hizo simborate,frequence na polarizatio yake zen save,kisha scan, mambo lazma yajipe na hutafurai mwenyewe mkuu,kama kuna tatizo ingne weka swali hapa kwa faida ya wote,wala sitaki uni pm.

Nimimi Ph-25

Mkuu nimeuliza swali lkn haujanijibu mm nimefunga lnb katika ku amos5 nyuzi 17'E
Napata TBC,Ch10, Clouds TV haina video,Startv,ITV, DTV ziko lkn hazifunguki na nikiangalia ktk Tracksat.com ya hii satelite hizi channel ni Digital clear hazijawa encycrpted na zimeoneshwa kwa rangi ya orange fulani hivi

Nifanye je zionekana zote na sio UBC,ATN,TBC,CHN10 tu bali hadi StarTV,ITV na Clouds T
http://www.tracksat.com/satellite294.html
msaada kaka
 
Last edited by a moderator:
Sijakuelewa vizuri mkuu, kwa hiyo hiyo sattelite inaitwaje? Na hizo channel za bure ni zipi? Zimo local channels za hapa ncini zote mfano za mengi star tv, tbc1 na channel ten na zinginezo mfano za kenya?
 
Mkuu ph-25, sisi wenye zuku vp? Haya maujanja tunaweza kuyatumia au?
 
Mkuu nimeuliza swali lkn haujanijibu mm nimefunga lnb katika ku amos5 nyuzi 17'E
Napata TBC,Ch10, Clouds TV haina video,Startv,ITV, DTV ziko lkn hazifunguki na nikiangalia ktk Tracksat.com ya hii satelite hizi channel ni Digital clear hazijawa encycrpted na zimeoneshwa kwa rangi ya orange fulani hivi

Nifanye je zionekana zote na sio UBC,ATN,TBC,CHN10 tu bali hadi StarTV,ITV na Clouds T
Amos 5 @ 17° East - frequencies - freq - channels - packages :: TrackSat.com
msaada kaka

mkuu unatumia receiver gan.?
 
Back
Top Bottom