+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,939
- 762
Mkuu hiyo decoder ya wiztec zinauzwa wapi Arusha kuna una idea.
Sina idea ya sehemu zinapouzwa, niliziona tu kwa jamaa zangu muda kidogo.
Mkuu hiyo decoder ya wiztec zinauzwa wapi Arusha kuna una idea.
Sina idea ya sehemu zinapouzwa, niliziona tu kwa jamaa zangu muda kidogo.
Unabonyeza zero alafu saba
Mkuu add satelite afu ipe jina, ipe freq 9750-10600, kisha tupia hizi: 12728 H 30000 utapata channels 5 ikiwemo RTS, rtvge, MTA n.k
sio lazima kujaza yote ayo chamsingi ni lnb frequence tu... andika hii LNB Freq 9750- 10600. kisha save weka tp scan.
tehe the kweli were mbongombishi
Kwa maelezo yako hayo nakushauri mtafute fundi akusaidie I seeWataalam naomba kufahamu hili. Natumia dish la azam kwa uelekeo wa West katka receiver ya mediacom na napata channelz 43 ila zote siyo za kiswahili. Swali n kwamba nikibadili uelekeo wa dsh na kuwa East naweza kupata hata tbc?
Thanks man, nlijaribu mwenyewe kwa kutumia mawazo yenu ya kitalaamu ndyo nkafanikiwa kupata hzo chanelz 43. Lakn hili jaribio sjalifanya kwa upande wa East ambapo kwa madsh mkubwa huwa tunapata tbc na zngne. But all in all i do thank 4 your advc.
Hata usihangaike we tafuta receiver yyote ya MPG4 kisha unyanyue dish lako kidogo hapo East utapata Continental package(Amos5@17°E)
Hapo sasa umempoteza kabisa.
jamani nimenunuaa recever ya strong..ila dishi la azam je ninaweza kupata chanel za bongoo
Strong model ipi, kama ni mpg4 utapata hapo Amos5@17e: Ingawa hata hiyo ya decoder ya azam ni mpeg4, na Ungeadd set ungepata hizo chanel unazozitaka.
Nasikia wadau startimes wameweka abood tv na inaonyesha football through canal+ and bein sports. Kama ni kweli na tumaini azam tv wanasoma hii link nao waiweke pia ili tupate burudani