Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.
UPDATE...
................................
Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.
12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.
editing..
Sasa hivi Wamebadili hiyo @12728
imekuwa @10721h 30000
Nb: soma uzi kwanza kisha ndio ucoment kwani unaweza ku coment vitu ambavyo tayari vimesha jadiliwa tayari.... na sathunting sio msahafu muda wowote tp zinaweza badilika tu.
Mkuu,iko kwenye list ya chanel za kawaida kama TBC1 na zingine au yenyewe iko kwenye list ya "other chanels" km Muvi Yanga.Home Base TV,na Imaan TV?Star TV ndani ya azzam tv. Kama huioni fanya auto search itakuja.
Mkuu,iko kwenye list ya chanel za kawaida kama TBC1 na zingine au yenyewe iko kwenye list ya "other chanels" km Muvi Yanga.Home Base TV,na Imaan TV?
afadhari sana,maana nilikua na miss BBC saa tatu usku,sasa hivi sina shida tena......wenye DSTV zao wahangaike na bei juu yaoFanya autosearch utaiona kwenye list ya kawaida ipo chini ya clouds tv
Watakua wameiogopa Qtv
QTV ipo pia kwenye Azam tv dish
Ila king'amuzi nilichonacho nacho cha azamu tv kina ITV. Ila star tc tu ndo hamna.
Mbona sjawahi kuiona?, namba ngapi?
Just do auto search star tv iko number 113 after clouds tv na qtv iko after ktn
Hata mm nimefanya auto search sijapata.
hata mimi niliscan jana mpaka nikachoka ila sikuona kitunimescan na sijaona nyongeza yoyote ya chaneli mpya
Mbona sjawahi kuiona?, namba ngapi?
wewe uko pande zipi mkuu,mi niko Moshi ila izo chanel zisioniStar tv ipo kweli
Mbona sjawahi kuiona?, namba ngapi?