Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.

editing..

Sasa hivi Wamebadili hiyo @12728
imekuwa @10721h 30000

Nb: soma uzi kwanza kisha ndio ucoment kwani unaweza ku coment vitu ambavyo tayari vimesha jadiliwa tayari.... na sathunting sio msahafu muda wowote tp zinaweza badilika tu.


Star TV ndani ya azzam tv. Kama huioni fanya auto search itakuja.
 
Star TV ndani ya azzam tv. Kama huioni fanya auto search itakuja.
Mkuu,iko kwenye list ya chanel za kawaida kama TBC1 na zingine au yenyewe iko kwenye list ya "other chanels" km Muvi Yanga.Home Base TV,na Imaan TV?
 
Mkuu,iko kwenye list ya chanel za kawaida kama TBC1 na zingine au yenyewe iko kwenye list ya "other chanels" km Muvi Yanga.Home Base TV,na Imaan TV?

Fanya autosearch utaiona kwenye list ya kawaida ipo chini ya clouds tv
 
Ila king'amuzi nilichonacho nacho cha azamu tv kina ITV. Ila star tc tu ndo hamna.
 
Back
Top Bottom