Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.

editing..

Sasa hivi Wamebadili hiyo @12728
imekuwa @10721h 30000

Nb: soma uzi kwanza kisha ndio ucoment kwani unaweza ku coment vitu ambavyo tayari vimesha jadiliwa tayari.... na sathunting sio msahafu muda wowote tp zinaweza badilika tu.


Azam Tv kupitia kitengo cha Broadcasting&Transmission wanatafuta 4 engineers. Qualifications ni Must have engineering degree in electronics & communication, Must be proficient in Computer networks & Server system, Cisco Microsoft certifications will be added advantage, Media experience is preferred.

Candidates watume Cv zao na academic certificates zao kwenye email recruitment@azam-media.com.

Sambaza kama una watu wenye sifa na uhitaji.
 
Receiver yangu imekataa kuingiza signo baada ya kuminya menyu kisha 0 1 2 kukaja menyu nyingne nakaminya upgred zkafutika chanel zote msaada jaman wakuweza kurudisha chanel
 
Receiver yangu imekataa kuingiza signo baada ya kuminya menyu kisha 0 1 2 kukaja menyu nyingne nakaminya upgred zkafutika chanel zote msaada jaman wakuweza kurudisha chanel

umejaribu kufanya auto search?
 
Nimelipa 20.000
Kuna Baadhi ya Channels sizipati, nikadhani haziko hewani, nikajuta kuna mtu anapata zote, kwangu zinaandika access denied, Kama Real Madrid Tv, Liverpool Tv, FX, Fox nk, Signal iko 64% kwa 60%. Kwenye channels hizo. Sijui Tatizo nini ndugus, msaada pls.
 
Nimelipa 20.000
Kuna Baadhi ya Channels sizipati, nikadhani haziko hewani, nikajuta kuna mtu anapata zote, kwangu zinaandika access denied, Kama Real Madrid Tv, Liverpool Tv, FX, Fox nk, Signal iko 64% kwa 60%. Kwenye channels hizo. Sijui Tatizo nini ndugus, msaada pls.

Kabla ulikuwa unatumia kifurushi kipi mkuu? Kama ni mara ya kwanza unatumia cha 20,000 then huwa inabidi uwasiliane nao(azam) wakuhamishie kwenye cha 20,000 kama sijakosea.
 
Nimekuelewa kaka! Nililipa 15000 awali, same day nikaghairi na kuongeza 5000, hakuna kilichobadilika! Nilizoea Dstv, Azam hata no za Customer Care Sizifahamu, wana Page kwenye Facebook, admin amelala! Kama unaweza kubisaidia no mkuu nitashukuru! Asante kwa ufafanuzi
 
Ok thanx! Nilipata no za kwenye posters! Nimemaliza vifurushi kwakusikiliza music, simu hawapokei! Thanx mkuu
 
Ok thanx! Nilipata no za kwenye posters! Nimemaliza vifurushi kwakusikiliza music, simu hawapokei! Thanx mkuu

Jaribu hii mkuu 0784108000 (namba ya bure), hiyo uliyopiga ni kwa whatsapp tu. Hii hata kama huna hela kwenye simu ni poa tu...
 
Jaribu hii mkuu 0784108000 (namba ya bure), hiyo uliyopiga ni kwa whatsapp tu. Hii hata kama huna hela kwenye simu ni poa tu...

Azam tv wako rwanda na zambia mbona hutupati channels walizonazo huko and pia hazionekani kwenye channels list zetu kama za uganda na kenya. Au wameweka kwenye satellite tofauti.
 
Wadau wa jukwaa hili naomba msaada kisimbuz changu cha azam tv kina tatizo la kutopanda SIGNAL, Au Nifanyaje ili signal zipande!!
 
Wadau wa Jukwaa hili naomba msaada. Current ninatumia DStv ila pia nina receiver mpeg4, je naweza kutumia hiyo mpeg4 kupata channels kwa position hiyo ya DStv?
 
Mdau Ade no ya whatsapp uliyonipa imekua msaada mkubwa kwangu! Jamaa wako axtive n very kind! Ubarikiwe Sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom