Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

kwa rcvr ya zamani unaweza bila shaka,na kama una rcvr ya kuedit key utaipa beinsport1&2 apo apo bila ya kugusa dish.

kwani mkuu receiver mpya za azam wameondoa add satellite option?
 
kanunue rcvr za wiztec za 80elf upatr bein sport uone uefa game zote apo apo ktk dish ya azam.
shukran mkuu kuna haja ya kuongeza lnb.. na zaidi ya bein sport kwenye upande wa entertainment channels zp naweza pata..
 
shukran mkuu kuna haja ya kuongeza lnb.. na zaidi ya bein sport kwenye upande wa entertainment channels zp naweza pata..

akuna aja ya.kuongeza lnb wala kuseti dish wewe unachomeka wiz yako unascan bein wanaingia na chanel moja ya kikubwa basi.
 
akuna aja ya.kuongeza lnb wala kuseti dish wewe unachomeka wiz yako unascan bein wanaingia na chanel moja ya kikubwa basi.
nimekupata boss na kuna tp naweza kuingiza kwa receiver hiyo nikapata na channels za movies pia.. thanks
 
nimekupata boss na kuna tp naweza kuingiza kwa receiver hiyo nikapata na channels za movies pia.. thanks

kama utaseti dish ktk sat nyingine utapata bila shida,yani ukiwa na rcvr inayo edit key unakua na uwanja mpna wakupata burdani kuliko kukaa na hawa walagai wa azam.
 
kanunue rcvr za wiztec za 80elf upatr bein sport uone uefa game zote apo apo ktk dish ya azam.

Mkuu model ipi ya hizi receiver za Wiztec ambazo unaona ndio nzuri? Na je nikitumia hizi receiver za Qsat kwa uelekeo huo huo wa Azam naweza nikapata hizo Bein sport au ni channels zipi naweza nikapata za bure kwa receiver hiyo ya QSat 11?
 
Mkuu model ipi ya hizi receiver za Wiztec ambazo unaona ndio nzuri? Na je nikitumia hizi receiver za Qsat kwa uelekeo huo huo wa Azam naweza nikapata hizo Bein sport au ni channels zipi naweza nikapata za bure kwa receiver hiyo ya QSat 11?

kama wiz tafuta 999super,io qsat infungua pia, kuhusu chanel za bure utapata ma muvi yanga yale yalioko azam tv.
 
kama wiz tafuta 999super,io qsat infungua pia, kuhusu chanel za bure utapata ma muvi yanga yale yalioko azam tv.

Shukrani mkuu nimefanikiwa kuzipata kupitia receiver ya QSat, ila tatizo zina scratch sana Signal quality zipo 60+.
 
Shukrani mkuu nimefanikiwa kuzipata kupitia receiver ya QSat, ila tatizo zina scratch sana Signal quality zipo 60+.

maximize signal itakua poa tu.
 
Mkuu model ipi ya hizi receiver za Wiztec ambazo unaona ndio nzuri? Na je nikitumia hizi receiver za Qsat kwa uelekeo huo huo wa Azam naweza nikapata hizo Bein sport au ni channels zipi naweza nikapata za bure kwa receiver hiyo ya QSat 11?

Mkuu hiyo decoder ya wiztec zinauzwa wapi Arusha kuna una idea.
 
Back
Top Bottom