Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

samani pia nielimisheni, hivi kupitia hichi kisimbuz cha azam na kidishi chake ninaweza ongeza channel kwa kuadd hizo satelite?? au mpaka niwe na recever za fta..???

kwa rcvr ya zamani unaweza bila shaka,na kama una rcvr ya kuedit key utaipa beinsport1&2 apo apo bila ya kugusa dish.
 
Afu awo azam tv wanazngua sana coz kuna Chanel kama realmadrid na liverpool tv hazionyeshi kama vipi wazitoe tu.

izo ni feed,zinaonesha mazoezi ya club,historia ya timu,wasifu wa mchezaji na pre season game basi.

hakuna siku wataonesha epl wa uefa wala laliga live. na haita tokea kuonesha izo ligi live kwa tv za club kama izo.
 
Huwa ninaona matangazo kwenye fox sports ambayo ipo azam kuwa 'usikose mechi flani kupitia fox sports two mida flani'.

Kwahiyo nina uhakika kuwa fox sports two huwa wanarusha baadhi ya mechi za premier kwa sasa.Ingawa sina uhakika kama hiyo policy ni endelevu.

fox wanarusha ila sio izo zilizopo ktk azam,izo zinarusha marudio na copa de ray basi na hakuna lingine zaidi ya hayo,epl ni uongo.
 
fox wanarusha ila sio izo zilizopo ktk azam,izo zinarusha marudio na copa de ray basi na hakuna lingine zaidi ya hayo,epl ni uongo.

Wanarusha league one na Copa delay match ambazo fox sports haionyeshi wanazirusha kwenye fox sports 2 pia sky championship. But ligi ya ujerumani Wanarusha kwenye zbc2 na urban tv kila siku 2.30 usiku leo dortmund anacheza na cologne.
 
Hats hizo za real Madrid na liver sijaona hats Mara moja zikiwa on hata iwe kwa mazoezi tu bado sijaona
 
Wanarusha league one na Copa delay match ambazo fox sports haionyeshi wanazirusha kwenye fox sports 2 pia sky championship. But ligi ya ujerumani Wanarusha kwenye zbc2 na urban tv kila siku 2.30 usiku leo dortmund anacheza na cologne.

hakuna ulicho eleza apo swali lilikua linausu epl,sasa epl na dortmund wapi na wapi.? alafu io league1 ni ya france.

haujaeleweka mkuu onesha au sema ni chanel ip ya azam inarusha epl sio kutetea bila fact.
 
Hats hizo za real Madrid na liver sijaona hats Mara moja zikiwa on hata iwe kwa mazoezi tu bado sijaona

hakuna chanel ya uhakika ambayo ipo ktk azam inayo onesha epl.
 
Franco15 na Ph25....itv inapatikana kwenye Azam,lakini kwenye digitek Azam tv haionekani kama vile star tv channel ten tbc nk..ndilo swali langu.Kama nimekosea au upumbavu au ujinga naomba munisamehe.
 
Franco15 na Ph25....itv inapatikana kwenye Azam,lakini kwenye digitek Azam tv haionekani kama vile star tv channel ten tbc nk..ndilo swali langu.Kama nimekosea au upumbavu au ujinga naomba munisamehe.

Hahahaha wewe tatizo lako ni kwamba hujui azamtv ni nini? Yani unachouliza ni sawa na; hivi dstv inapatikana kwenye digitek? Azamtv sio channel ni kampuni kama dstv na hiyo digitek.
 
Franco15 na Ph25....itv inapatikana kwenye Azam,lakini kwenye digitek Azam tv haionekani kama vile star tv channel ten tbc nk..ndilo swali langu.Kama nimekosea au upumbavu au ujinga naomba munisamehe.

sasa unaemwambia upuuzi huu nani.? tatizo hausomi vinavyo andikwa unakurupuka bila kua na hoja za mashiko,emu kagua uzi huu upo umu tangu lini na wewe leo ndio unatoka mafichoni unaandika ujinga ujinga tu..?usiwe mvivu kusoma.
 
sasa unaemwambia upuuzi huu nani.? tatizo hausomi vinavyo andikwa unakurupuka bila kua na hoja za mashiko,emu kagua uzi huu upo umu tangu lini na wewe leo ndio unatoka mafichoni unaandika ujinga ujinga tu..?usiwe mvivu kusoma.

Ingizeni tp 11105 sr 4340 utapata channels mbili za msumbiji
 
Ingizeni tp 11105 sr 4340 utapata channels mbili za msumbiji

sio kosa lako bwana mdogo umesamehewa kwa sasa enenda kwa amani,na usiniqoute kama huna cha maana chakuniambia.
 
mbona nikiadd transponder quality inashuka kabisa. kila nikijaribu inagoma.
 
Back
Top Bottom