josephjul40
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 218
- 40
mi nilizani umenicoti unaongea kitu cha maana.... kwani huu uzi una muda gani humu jf.? na alie kwambia tp nikama msahafu ni nani.? funguka ubongo bwana mdogo... maisha ya sathanter ni kama digidigi... kuhama hama ni lazima.
nilikuwa sijaingia humu kitambo..... Ila lugha uliyotumia ni kali kna kwamba unagombana na mtu humu...... Kwani nani aliyezungumzimzia mambo ya misahafu humu?? Binafsi sija reply ovyo/sija kashifu post yako. Fikiria kabla hujamjibu mtu ali reply ktk post yako kaka