wamehama apo... wako amos ila ziko scramble.
ha ha ha ha eti maadili.? kwenda zako kanjanja mkubwa weweee
Mimi sijatumwa na Agape, hapa nilikuwa natoa maoni yangu mwenyewe. king'amuzi ni zaidi ya Football na pia issue ya hitaji la ulinzi wa maadili ya watoto wewe mzazi unapokuwa haupo nyumbani. Kwa mtizamo nilioleza hapo juu ni dhahiri TING ni mojawapo ya ving'amuzi bora hata hivyo katika mtizamo wa kibiashara kila mtu huvutia kwake. Ahsante
Jamani naombeni msaada,
nina receiver /decoder ya azam tv, iliacha kuonyesha picha kwenye tv
yaani hakuna chochote katika tv hata ile no signal hakuna lakini yenyewe
inawaka, mafundi huku nzega wanadai ic ya picha imeungua na hawana
ujuzi wa kurekebisha. Ni wapi nitapata mafundi wa kunirekebishia plz
0787414707
Jamani naombeni msaada, nina receiver /decoder ya azam tv, iliacha kuonyesha picha kwenye tv yaani hakuna chochote katika tv hata ile no signal hakuna lakini yenyewe inawaka, mafundi huku nzega wanadai ic ya picha imeungua na hawana ujuzi wa kurekebisha. Ni wapi nitapata mafundi wa kunirekebishia plz 0787414707
tulio chakachua azam, jamaa wa SABC 1 wanaonyesha game vizuri sana jaribuni za world cup
Frequencies please
http://www.lyngsat.com/tvchannels/za/SABC-3.html chukua izo zilizo andikwa star sat...
Asante sana kaka,nimezipata SABC1&SABC3 very clear,nisubiri mida ya mpira tu sasa
Tp 11785v27500 SES5 kwa sasa ipo hewani enjoy it while it lasts. Chnl za South Africa-SABC1,2,3, eTV,KZN, .....etc.
ili kuzpata una2mia dish na receiver za azam au kuna vifaa mnaongeza?