Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

ei ebu naomba nielekeze pale kwenye kuadd satellite umejaze mkuu nisaidie hizo channel ukiwa nazo c haba Niko mby napatikana 0764 686252

add setelite ya ses 5 longitude 5 east ingiza hizi frequency 12054v29950,12034h27500 na 12015v 29950
 
Azam majanga tu mawingu kidogo hola kurudi hadi badae sana mi nakereka mno mvua ndo usiseme bora hata analojia startimes inadunda tu!!
 
kama ukifunga dish la azam vizuri kwa signal za wastani basi una uhakika wa kupata sat 3 kwa mpigo nikimaanisha ses, uetel, na madagascar aka ku Kpass 7/10 zote kwa pamoja,sasa ikitokea izo signal ziko juu sana lazma ses ita kisumbua tu mana iko chini kidogo mkuu apo ndo itakulazimu upande juu ya bati.

Kaka hapa ndo pazuri sasa mwanzon nyuma nilijaza pass 7 nikapata kama 20 safi zikiwepo zile rodrigas, mocambique na wenzie kwa kisimbuz hikihiki cha azam.

Leo nimejaza ses 5 na frequency zile ulizotaja, nimeskan nikapata tv kama 20 na radio 7
Tv kama vile
Stone, family tv, surya, EWFN, zuku enterrainment. Zuku family, zuku life n.k ila mazuku tv kibao
Sasa zote hazioneshi naona giza tu isipokuwa zuku zone pekee.
Nisaidie hapo nini tatizo na ile ulioitaja ya mpira sijaiona. Kwenye radio ipo hadi Clouds fm ila haisikiki pia

Izi sat nyingine ulizotaja naomba freq
Thanks mkuu kwa msaada
Pia nna recever ya FTA ya mpeg 2 ya dish la KU inaweza nisaidia chochote kwenye haya mambo. Nipo kilosa moro
 
Kaka hapa ndo pazuri sasa mwanzon nyuma nilijaza pass 7 nikapata kama 20 safi zikiwepo zile rodrigas, mocambique na wenzie kwa kisimbuz hikihiki cha azam.

Leo nimejaza ses 5 na frequency zile ulizotaja, nimeskan nikapata tv kama 20 na radio 7
Tv kama vile
Stone, family tv, surya, EWFN, zuku enterrainment. Zuku family, zuku life n.k ila mazuku tv kibao
Sasa zote hazioneshi naona giza tu isipokuwa zuku zone pekee.
Nisaidie hapo nini tatizo na ile ulioitaja ya mpira sijaiona. Kwenye radio ipo hadi Clouds fm ila haisikiki pia

Izi sat nyingine ulizotaja naomba freq
Thanks mkuu kwa msaada
Pia nna recever ya FTA ya mpeg 2 ya dish la KU inaweza nisaidia chochote kwenye haya mambo. Nipo kilosa moro

izo hauwezi kuzifungua kwakua ni pay tv,kuhusu io mpeg2 yako kwa sasa haina mana tena tafuta mpeg4.
 
Azam majanga tu mawingu kidogo hola kurudi hadi badae sana mi nakereka mno mvua ndo usiseme bora hata analojia startimes inadunda tu!!

dish yako haijafungwa vizuri dada.tafuta fundi mtaalam akufungie vizuri.
 
izo hauwezi kuzifungua kwakua ni pay tv,kuhusu io mpeg2 yako kwa sasa haina mana tena tafuta mpeg4.

Sa nifanyeje nipate free to air mkuu hasa izo za mpra kama kuna sat nyingine na freq naomba
 
add setelite ya ses 5 longitude 5 east ingiza hizi frequency 12054v29950,12034h27500 na 12015v 29950
Mkuu nmeweka hiz freq nimepata samanyolu tv tu na inascrach sana, nfanyeje na pale longtdunal ipo 68.8
 
Mkuu nmeweka hiz freq nimepata samanyolu tv tu na inascrach sana, nfanyeje na pale longtdunal ipo 68.8

shusha chini kidogo dish yako na mambo yatakua sawa.
 
Naombeni Maujanja, Nnatumia AzamTV,kuna fundi alikuja kuniongezea Dish(Ku-Band) pamoja na Diseq kwa ajili Channel za Dini za Nigeria(Eutelsat 20 68.5E, lakini Azam Decorder ilikataa kufanya kazi kwenye Diseq switch ya 2.0 tulipo jaribu kufanya kila njia then Decoder ikakorapt ikawa haitaki kupoea tena signal. Ila kwenye receiver ya Azamtv kwenye setting zake inaonyesha Disecq type ni 1.0

Je hilo lazewa kuwa ni tatizo!?

Msaada tafadhali.
 
Naombeni Maujanja,
Nnatumia AzamTV,kuna fundi alikuja kuniongezea Dish(Ku-Band) pamoja na
Diseq kwa ajili Channel za Dini za Nigeria(Eutelsat 20 68.5E, lakini
Azam Decorder ilikataa kufanya kazi kwenye Diseq switch ya 2.0 tulipo
jaribu kufanya kila njia then Decoder ikakorapt ikawa haitaki kupoea
tena signal. Ila kwenye receiver ya Azamtv kwenye setting zake
inaonyesha Disecq type ni 1.0

Je hilo lazewa kuwa ni tatizo!?

Msaada tafadhali.

Maana yake haikubali disecq option 2.0,, hii ni kwa zile receiver kama strong HD ambazo unaweza kuingiza hata sat 16 kwa maana ya Lnb 16. hiyo yako si zaidi ya lnb 4, kwa hiyo check port number uliyofunga cable yako kisha kwenye installation setting weka hiyo number ya port ktk switch... kama ni port namba 1 set 1, kama ni port namba 2 set 2 kwenye receiver yako. Ikikataa badilisha port kwani mara nyingi huwa zinashort na hivyo kutofanya kazi, Nb :usifunge cable yako receiver ikiwa ON, utashort switch yako.
 
Shukran kwa Ph-25 na wadau wengine waliotoa msaada katika uzi huu.
Kwa kiasi fulani nimeelewa na nimejaribu na nimefanikiwa japo si kwa asilimia 100.
Nimevutiwa na mambo kadhaa ktk uzi huu, kuna watu hawakujua chochote ila baada ya kufuatilia na kuuliza
hatimaye wameelewa na kutoa msaada kwa wengine. Inafurahisha na inatia moyo kwamba tunaweza
kushirikiana na kufanikisha kwa kila mmoja. Hongereni sana japo kuna baadhi walitaka kuleta vurugu ya kuwatoa
katika kile kinachojadiliwa. Pamoja na yote nina maswali kadhaa kwa ajili ya ufahamu wa sawa juu ya kisimbusi cha Azam TV.
Unaposema add setelite ya ses 5 longitude 5 east ingiza hizi frequency 12054v29950,12034h27500 na 12015v 29950, hapo naomba ufafanuzi kidogo. Hiyo setelite ya ses 5 unaandika kama hivyo ilivyo au ipo automatical na je LNB unajaza au unaweka ipi?
Nazungumzia kisimbusi cha azam tu, naomba majibu kama swalilimeeleweka mtaniwia radhi mimi sijui habari hizi nagandamizia hapa hap
 
Last edited by a moderator:
Shukran kwa Ph-25 na wadau wengine waliotoa msaada katika uzi huu.
Kwa kiasi fulani nimeelewa na nimejaribu na nimefanikiwa japo si kwa asilimia 100.
Nimevutiwa na mambo kadhaa ktk uzi huu, kuna watu hawakujua chochote ila baada ya kufuatilia na kuuliza
hatimaye wameelewa na kutoa msaada kwa wengine. Inafurahisha na inatia moyo kwamba tunaweza
kushirikiana na kufanikisha kwa kila mmoja. Hongereni sana japo kuna baadhi walitaka kuleta vurugu ya kuwatoa
katika kile kinachojadiliwa. Pamoja na yote nina maswali kadhaa kwa ajili ya ufahamu wa sawa juu ya kisimbusi cha Azam TV.
Unaposema add setelite ya ses 5 longitude 5 east ingiza hizi frequency 12054v29950,12034h27500 na 12015v 29950, hapo naomba ufafanuzi kidogo. Hiyo setelite ya ses 5 unaandika kama hivyo ilivyo au ipo automatical na je LNB unajaza au unaweka ipi?
Nazungumzia kisimbusi cha azam tu, naomba majibu kama swalilimeeleweka mtaniwia radhi mimi sijui habari hizi nagandamizia hapa hap
io sat hapo wewe ndo unatakiwa uiweke,longtude ujaze wewe na izo TP ujaze wewe.... ningeweza kuweka picha humu ila cm yangu inasumbua,ila kama una wasapu nitafute nikutumie picha na maelezo yake namba yangu niliiweka humu jamvini.
 
Last edited by a moderator:
Azam TV
Habari za leo wadau,
AzamTV imekua haraka sana
tangu tulipoanzisha kampuni miezi
mitano iliyopita.
Sasa tunavuka mipaka kwenda
kwenye nchi nyingine za Afrika ya
Mashariki ili wadau wengi zaidi
wapate kuburudika.
Kadri tunavyoendelea kukua,
tunatambua kwamba serikali za
nchi mbalimbali zina masharti
tofauti. Tumelisoma hili na
kuweka vigezo na masharti
ambayo yatafanya kazi popote
AzamTV itakapokwenda.
Mengi hayataleta mabadiliko
yotote hapa nyumbani Tanzania,
lakini mojawapo ni lile kama
hujafanya malipo ya mwezi ndani
ya muda unaotakiwa.
Tutaendelea kukutumia ujumbe wa
kukumbusha kufanya malipo ya
mwezi kabla ya muda. Kama
bahati mbaya hatujapata malipo
yako kabla muda wako kuisha,
huduma zitasitishwa lakini
utaendelea kupata chanel za bure.
Na kuanzia mwezi wa sita tarehe 1
(1/6/2014), kama hujalipia baada
ya wiki tatu, nazo chaneli za bure
zitasitishwa.
Tafadhali lipia malipo yako ya
mwezi ndani ya muda muafaka ili
uendelee kupata AzamTV
“Burudani kwa wote”.
 
kwa maana hiyo kama hukulipia baada ya wiki muda wa kuangalia chaneli za bure nazo zitafungwa. Hapo sijaelewa yaani chaneli za bure tbc1, chn 10, itv, AzamTv nk? kwa hiyo kisimbusi ktakuwa hakioneshi chochote/ hapo mi sijaelewa
 
Kwa kufanya hivyo digitec, startimes na continental watapeta sana. Kwasasa naona ni mapema sana kuwakatia wateja channel zote iwapo watashindwa kulipia ndani ya wiki3, hivyo angalieni msije poteza wateja wapya.
 
Hawa Azam hata mimi nashindwa kuwaelewa kabisa.Hivi wanaelewa kweli maana ya bure au?Inakuwaje chanel za bure nazo wanazifungia!!!!
 
Back
Top Bottom