Mgjd
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 532
- 133
leo ngoja nilijibu swali hili
mana naona watu wana hamu sana na io chanel, ukweli ni kwamba io chanel
azam walifanya uhuni kua wanayo ili wauze lakini kiuhalisia hawana io
chanel inapatikana nile sat 7@w hapo ulopo azam kuna sat nyingi sana
ziko kalibu kalibu mfano, ses@5, eutel 7a & eutel 8 pembeni kidogo
kuna amos5 na eutel17 ni kiasi cha wewe kulichezesha dish lako tu.. na
mambo yanajipa tu.
Lakini dish la ft3 kama hilo la Azam, si rahisi sana kuipata NILESAT 201 LABDA AWE NA KUANZIA FT4 NA ZAIDI, NI RAHISI SANA KUIPATA DUBAI ONE,DUBAI SPORT, CNN,BBC,MTV,nk. tafuta dubai one kwa fr hii 11785v27500. Hii satellite ipo chini ya SES5 , hakikisha unapata signal ya juu ya mwisho kabisa ya ses5 kisha shusha dish lako hadi hiyo signal inapotea, kisha ingiza 11785v27500 elekeza dish kushoto kwako ukiwa nyuma yake kisha cheza usawa huo mpaka upate signal ya mwisho ya juu ya 11785v27500; kisha blind scan kupata nyinginezo.