Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Yeap, ni kweli kabisa inategemea mahali ulipo na beam,. Nilesat ipo sana kaskazini na magharibi jambo ambalo linawawezesha watu wa pande hizo kuipata kwa dish dogo, ila Dar ipo mbali kidogo na ikweta tofauti na Tanga,Arusha na Moshi, Kenya wapo karibu sana hasa kaskazini, hivyo ni rahisi sana kuipata hata kwa sm 65, na ninyi watu wa magharibi pia beam imelalia sana huko, Hapa Dar kuipata Nilesat bila shida hata kidogo ni ft4 na kuipata e7wa, uwe na ft6. japo pia kwa hapa Dar watu wa kusini kabisa wanahangaika sana kuipata Nilesat kwa ft4. Mimi naipata kwa ft4.5 na signal ya mwisho ya juu ni 73% Dubai one. Naipata Yahsat1A kwa ft8 na lnb ya stargold lakini beam ya magharibi inakataa.

ni vyema kwakua tuko pamoja sasa embu tuwasaidie hawa.jamaa ili nao wawe kama sisi tafadhari.
 
anza hivi mkuu add satelite nyingine ambayo ni ses 5 east then uingize zile frequency alizotoa ph-25 utaipata hope unajua jinsi ya kuadd satelite

ukitaka kujua kuna dish za azam zimefungwa kiholela icho ndio kipimo sasa. na ndo mana tangu mwanzo wa huu uzi nilikua nahofu kutoa io mambo owani nililijua hilo muda mrefu sana.
 
ukitaka kujua kuna dish za azam zimefungwa kiholela icho ndio kipimo sasa. na ndo mana tangu mwanzo wa huu uzi nilikua nahofu kutoa io mambo owani nililijua hilo muda mrefu sana.

mkuu kwani likifungwa vibaya hupati ses 5 au satelite gan hutaipata na utajuaje kama limefungwa vbaya au vzr.shukrani natanguliza
 
wakikuunga niombee na mm nijiunge 0684825136

kwanini mnapenda kujiticha ficha mnapo toa elimu kwa uma.? au amtaki kuwasaidia wengne bure.? eti mpaka mnaanzisha na grup uko uchochoroni yanini yote hayo.? nitaendelea hapa hapa mpaka jt itakapo kufa kama rdi ya kenya.
 
kwanini mnapenda kujiticha ficha mnapo toa elimu kwa uma.? au amtaki kuwasaidia wengne bure.? eti mpaka mnaanzisha na grup uko uchochoroni yanini yote hayo.? nitaendelea hapa hapa mpaka jt itakapo kufa kama rdi ya kenya.

mkuu me hilo group hata silijui ndo maana nimeomba kwa huyo jamaa kama lipo nijiunge nasikia lipo
 
mkuu kwani likifungwa vibaya hupati ses 5 au satelite gan hutaipata na utajuaje kama limefungwa vbaya au vzr.shukrani natanguliza

kama ukifunga dish la azam vizuri kwa signal za wastani basi una uhakika wa kupata sat 3 kwa mpigo nikimaanisha ses, uetel, na madagascar aka ku pass 7/10 zote kwa pamoja,sasa ikitokea izo signal ziko juu sana lazma ses ita kisumbua tu mana iko chini kidogo mkuu apo ndo itakulazimu upande juu ya bati.
 
mkuu me hilo group hata silijui ndo maana nimeomba kwa huyo jamaa kama lipo nijiunge nasikia lipo

kuna jamaa kanambia lipo ila ongereni kwa kupeana elimu za mafichoni nami nitaanzisha langu sasa... teh teh teu watanzania bna.
 
kama ukifunga dish la azam vizuri kwa signal za wastani basi una uhakika wa kupata sat 3 kwa mpigo nikimaanisha ses, uetel, na madagascar aka ku pass 7/10 zote kwa pamoja,sasa ikitokea izo signal ziko juu sana lazma ses ita kisumbua tu mana iko chini kidogo mkuu apo ndo itakulazimu upande juu ya bati.

me nazipata hzo za ses na uetel but sijawahi tumia hyo ya madagascar aka ku pass.ningependa kuitumia ku pass nijuze frequence zake na inachannel zipi??
 
kuna jamaa kanambia lipo ila ongereni kwa kupeana elimu za mafichoni nami nitaanzisha langu sasa... teh teh teu watanzania bna.

mkuu wewe mwaga hapa hapa utamu kwani kuna watu wana agenda zao ntakuwa mwanafunzi wako mtiifu one lv kwako Ph-25
 
Last edited by a moderator:
me nazipata hzo za ses na uetel but sijawahi tumia hyo ya madagascar aka ku pass.ningependa kuitumia ku pass nijuze frequence zake na inachannel zipi??

chanel za mbc,gana ja congo.
 
1.Azam TV decoder inatumia pia HDMI cable pia ingawa hakuna hata Channel moja ya HD, ila channel zao zina qaulity nzuri kuliko decoder nyingine za Bongo. Wafanyakazi wa Azam TV ukiwauliza mna HD watakujibu ndio ingawa hakuna nadhani hii ni kwa sababu hawajui maana ya HD. Pia channel zao hazigandigandi kama Startimes na wengine.

2. Azam 1 na Azam 2 ndio channel zinazoonyesha VPL mechi mbili kwa pamoja. HAta mechi zinazochezwa mikoani zinaonyeshwa kulingana na uzito wake. Hii ndio kitu inayowafanya watu wengi waipende.

3. Azam TV inaonekana nchi zote kusini mwa jangwa la Sahara. Hii kitu itawafanya wauze sana hasa kwa watanzania wanoishi nchi hizo.

4. Azam TV haina ITV na Star TV. Bado kuna kubaniana na akina Mengi labda na wao wanataka wapewe hizo za Azam 1 & 2 channels kwenye decoder zao.

5. Kwa ujumla Azam TV itauza sana kwa sababu ya kutumia satellite na pia ina channel karibu zote za Kenya na Uganda hivyo watanzania, wakenya na waganda popote walipo kusini mwa sahara wataitaka tuu.

Azam TV nilinunua jana. ITV ipo
 
kama ukifunga dish la azam vizuri kwa signal za wastani basi una uhakika wa kupata sat 3 kwa mpigo nikimaanisha ses, uetel, na madagascar aka ku pass 7/10 zote kwa pamoja,sasa ikitokea izo signal ziko juu sana lazma ses ita kisumbua tu mana iko chini kidogo mkuu apo ndo itakulazimu upande juu ya bati.

kama ukifunga azam vizuri ili kupata signal nzuri huwezi kupata ses 5 at 5e lakini kama utabalansi dish lako kwa kupunguza signal ya azam utapata ses 5 pamoja na siruis 4at 4,8e hamna satelaiti inayoitwa madagaska aka pas 7/10 kwa upande huo, pas 7/10 zamani sasa ni intelsat 20 at 68,5e.
 
nalitambua hilo, lakini let us say maeneo ya chuo ulipo wewe kwa siku unaweza kuuza na ukamaliza vocha za laki moja mara ngapi ndani ya masaa24? kama tukikadiria kwa siku unauza vocha za laki tatu faida ni shi ngapi? usiwe na aibu kwenye biashara hii muuzie kila mtu katika eneo lako kwa mtaji mdogo ulionao hii ndo biashara ambayo haiwezi kukuletea hasara

haya c majibu ya kumpa mwenzio je ungekuwa wewe ungeridhika na majibu mliyompa? busara zinahitajika kwenye ushauri aliouomba
 
kama ukifunga azam vizuri ili kupata signal nzuri huwezi kupata ses 5 at 5e lakini kama utabalansi dish lako kwa kupunguza signal ya azam utapata ses 5 pamoja na siruis 4at 4,8e hamna satelaiti inayoitwa madagaska aka pas 7/10 kwa upande huo, pas 7/10 zamani sasa ni intelsat 20 at 68,5e.

sizani kama umetoa maelezo tofauti hapa ni kitu kile kile una rudia tu, na hayamajina ua tuna ya toa kuraisisha mabo tu kwamfano eutel36@e wengje wanaiita dstv sasa je ni kweli kuna sat ya dstv.? au wengne wanaiita sat ya.azam je kuna sat ya azam hapa duniani.? ni majina tu ila ukweli unabaki pale pale kua mtu huyu anazungzia kakeji inayo dominate eneo ilo kama ni expert wa kweli utakua umenielewa nini na maanisha.
 
Back
Top Bottom