Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Kuna channel moja nimepata ya michezo naona kuna wacheza mpira wanafanya warm up, nlikuwa natafta Dubai one nkakutana nayo frequency zake ni 111444 H 05714 kwa Eutelsat 7A
Naona ni south africa nipo nachek league yao

Sijaona channel ya michezo hapo kuna peace tv na Africa TV zote za dini
 
Tatizo pekee linaloiathiri Azam tv ni kukatika kwa matangazo yao wakati wa mvua. Hapa wanahitaji kufanya marekebisho muhimu ili kutoharibu mazuri tunayoyapata kupitia kwao. Hata wachina wa startimes wanawashinda kwakuwa matangazo yao hayakatiki wakati wa mvua.
Jambo lingine muhimu kufanywa na Azam tv ni kutangaza/kuweka wazi namba ya Simu kwa ajili ya huduma kwa wateja ili kunapokuwa na tatizo inakuwa rahisi kutoa taarifa.
Copy kwa Yahya Mohamed

# ya customer care 0764 700 222
 
Last edited by a moderator:
Inaitwaje mkuu? Au hadi ubadili position ya dish?

inaitwa DSNG1K/a Tv
ipo sa,ila hii ni feeds inapatikana inapo itajika tu,position ni hio hio,chakufanya add sat,weka frequence,scan,utaipata.
 
Kuipata io chanel add sat nyingne,weka frqnce hizi kisha scan 11144
H 05714 utaipata.
 
Hii 11144 H 02714 inakubali katika king'amuzi cha azam na kuna channels gani nzur?
 
Kuipata io chanel add sat nyingne,weka frqnce hizi kisha scan 11144
H 05714 utaipata.[/QUOTE

Mkuu kwangu imegoma kabisa! mwanzoni signal zilikuwa zinaongia na kutoka lkn Jana hata signal imekataa
 
Kuipata io chanel add sat nyingne,weka frqnce hizi kisha scan 11144
H 05714 utaipata.[/QUOTE

Mkuu kwangu imegoma kabisa! mwanzoni signal zilikuwa zinaongia na kutoka lkn Jana hata signal imekataa

teh teh teh mkuu hio inaitwa feed,nichanel za msimu huwez kuzipata muda wote,ua zinapatikana wakati wa mpira around kumi na moja,na mbili na kuendelea,mpila ukiisha nayo inatoweka.
 
nawezaje kuongeza frequencies kutumia decoder ya Zuku

Soma vizuri huu uzi kuanzia mwanzo, kuna sehemu niliandika namna ya ku-add frequence, Symbol Rate & polarization kwenye decoder ya ZUKU.
 
Hii 11144 H 02714 inakubali katika king'amuzi cha azam na kuna channels gani nzur?

we umejuaje kama inakubali.?kuna mahali umeicopy nakuja ipaste hapa.?
 
tumia iyo ya azam mkuu,sat angle weka 7@e.ila kumbuka iyo ni feeds.

habari mkuu, tumeweka hizo frequencies nimepata inaitwa hummer enc 1, ila quality ipo low picha zinaganda, sijui ndo yenyewe?
 
habari mkuu, tumeweka hizo frequencies nimepata inaitwa hummer enc 1, ila quality ipo low picha zinaganda, sijui ndo yenyewe?

je iko on muda wote.?
 
Back
Top Bottom