Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Kweli azam tv ilipoteza signal majira ya saa kumi ila baada ya dakika kama 25 imeludi kama kawaida.

inamana imerudi kwenu tu.? Wamikoani tume tengwa,au madish yetu ndo ya melegea,.? We uko mkoa gani mkuu.?
 
Wapenzi wa chanel ya rdv,orbt,tv togo,stv1&2 hawa jamaa wamebadilisha frequence.ila bdo zinapatikana pale pale nyuzi 16@e
 
Kupitia satelite ya Ses@5e niwezeka kupata channel 12 zinaandika tu majina na moja ina odm test inaonekana ipo katika matengenezo frequency ni 11785 V 27500 kama mtaalamu anaweza ongeza ujuzi zioneshe itakuwa pouwah sana maana kuna channels kama Kzn, Sabc 1-3, eTv, star gospel, tshwane tv, one music, mindset, astv, deen tv na odm test
 
Kupitia Satelite ya Ses@5e kuna channels zingine 12 na radio 7 ingiza hii frequency 12015 V 29950😀
 
Kupitia satelite ya Ses@5e niwezeka kupata channel 12 zinaandika tu majina na moja ina odm test inaonekana ipo katika matengenezo frequency ni 11785 V 27500 kama mtaalamu anaweza ongeza ujuzi zioneshe itakuwa pouwah sana maana kuna channels kama Kzn, Sabc 1-3, eTv, star gospel, tshwane tv, one music, mindset, astv, deen tv na odm test

Mkuu upo upande gani wa Tanzania ni kusini? Nimeuliza maana hizo sabc beam yake ni south Africa ambapo Kwa tz nasikia mikoa km ruvuma zinapatikana kupitia 68.5
 
Mi nipo kanda ya ziwa mwanza, je inaweza kuwa ni sababu kutokuona kitu ili hali channels zaonekana ila hazi display kitu
 
Mi nipo kanda ya ziwa mwanza, je inaweza kuwa ni sababu kutokuona kitu ili hali channels zaonekana ila hazi display kitu

dish lako futi ngapi.? Unatumia rcver aina gani.? Je unauhakika izo ambazo hazioneshi ni chanel au feeds.? Tuanzie hapo kwanza
 
Mkuu upo upande gani wa Tanzania ni kusini? Nimeuliza maana hizo sabc beam yake ni south Africa ambapo Kwa tz nasikia mikoa km ruvuma zinapatikana kupitia 68.5

io angle ni ya intelsat ya 10 au 20.?
 
Na uhakika ni channels sio feeds dish na receiver ni za Azam tv vyote
 
Back
Top Bottom