Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Hizi zinafanya kazi kwa decoder ya Azam au mpaka nifunge nyingine?
 
Mkuu huyo jamaa ameuliza ktk angle ya azam je hizo za Amos zinashika hapohapo? ufafanuzi zaidi unahitajika ikiwezekana pia na maeneo mliopo! mfano zipo sat beams zinazopatikana mwanza lkn mikoa km dar au tanga hazipatikani

nipe mfano plz.
 
Hizi zinafanya kazi kwa decoder ya Azam au mpaka nifunge nyingine?

hata ukifunga nyingne huwez pat apo,aza iko chini kidogo na amos5 iko juu yake,kuipata inabidi dish libinuke juu kidogo,kituambacho utapoteza azam package yote,nivyema tafuta dish lapili.
 
Mkuu huyo jamaa ameuliza ktk angle ya azam je hizo za Amos zinashika hapohapo? ufafanuzi zaidi unahitajika ikiwezekana pia na maeneo mliopo! mfano zipo sat beams zinazopatikana mwanza lkn mikoa km dar au tanga hazipatikani

katika angle ya azam waweza pata ses@5 ya zuku,azam yenyewe,na madagasca aka ku pas 7/10,hivyo kwa ku moja ya azam na decoda iyo iyo ukapata izo sat 3 na ukawa na chnl zaid ya 40 za bure.
 
Mkuu huyo jamaa ameuliza ktk angle ya azam je hizo za Amos zinashika hapohapo? ufafanuzi zaidi unahitajika ikiwezekana pia na maeneo mliopo! mfano zipo sat beams zinazopatikana mwanza lkn mikoa km dar au tanga hazipatikani

sikumuelewa vzr mkuu ila nimesha mjibu hapo juu.
 
Mkuu umepata channel nyingi Kwa Azam au zuku?

jaribu kua muelewa mkuu,apo amepata chnl za zuku pia kupitia angle io io ya azam,na maelezo jins ya kupata nimetoa uko juu.
 
katika angle ya azam waweza pata ses@5 ya zuku,azam yenyewe,na madagasca aka ku pas 7/10,hivyo kwa ku moja ya azam na decoda iyo iyo ukapata izo sat 3 na ukawa na chnl zaid ya 40 za bure.

Kwa nilivyokuelewa hapa inabidi nimtafute fundi aje anirekebishiea dish lishuke kwenye 5, maake mm sina huo utaalam wa kufunga na hata pia vifaa
 
Kwa nilivyokuelewa hapa inabidi nimtafute fundi aje anirekebishiea dish lishuke kwenye 5, maake mm sina huo utaalam wa kufunga na hata pia vifaa

Ph-25 asante sana mkuu, nilianze kufuatilia hi thread tangu mwanzo na nashkuru post zako zinaeleweka vizuri..ila msaada kuna fundi unaemjua anaweza kufanya hivo? Kama unae naomba number ili tupate msaada mm na babu wa Loliondo
 
Kwa nilivyokuelewa hapa inabidi nimtafute fundi aje anirekebishiea dish lishuke kwenye 5, maake mm sina huo utaalam wa kufunga na hata pia vifaa

kama ni muoga inakubidi umtafute fundi akupige pesa,alaf io kazi yenyewe haizid hata dk tano,nikiasi chakua na spana#nane kwa kumi unalegeza kidogo izo nati zapembeni zinazo saidia dish kumove up down,unashusha kidogo sana unaipata io 5,unakaza nati mchezo kwisha.
 
Naona maswali mengi sana kuhusu sat beam,kama wataka jua kua sat unayo itaka inapatikana ulipo prease gonga hapaCoverage maps Intelsat 20 (IS-20) - 68.5 ° East, Coverage Maps - Satellite Intelsat 20 (IS-20), position of 68.5 degrees East



Ph-25 asante sana mkuu, nilianze kufuatilia hi thread tangu mwanzo na nashkuru post zako zinaeleweka vizuri..ila msaada kuna fundi unaemjua anaweza kufanya hivo? Kama unae naomba number ili tupate msaada mm na babu wa Loliondo
 
Back
Top Bottom