Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Mkuu Ph-25 naomba muongozo kidogo ni satelite ipi na ipi ambayo inakubali kwa uelekeo wa dish la Azam ili zoezi la kutafta frequency liwe rahisi maana nimehangaika mpaka kichwa kinaniuma kutafta channel za soka na nyinginezo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ph-25 naomba muongozo kidogo ni satelite ipi na ipi ambayo inakubali kwa uelekeo wa dish la Azam ili zoezi la kutafta frequency liwe rahisi maana nimehangaika mpaka kichwa kinaniuma kutafta channel za soka na nyinginezo

kwanza mashabiki wa man u tujipongeze kwa ushindi wa jana,kisha nakujibu kama ifuatavyo waweza kupata ses@5e,eutelsat 7a@e,na intelsat 10@68.5@e mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Na je kwa hizo satelite ukitoa Eutelsat sehemu hizi nijaze vipi?
LNB FREQ:
diseqc:
LNB POWER :
22K :
SWITCH PORT:
TORN BURST :
LOCATION:
LONGITUDE
 
Na je kwa hizo satelite ukitoa Eutelsat sehemu hizi nijaze vipi?
LNB FREQ:
diseqc:
LNB POWER :
22K :
SWITCH PORT:
TORN BURST :
LOCATION:
LONGITUDE

jaza kawaida tu mkuu,lnb frqnc tumia io ya azam,angle utajaza kutokana na angle ya sat,uelekeo zote east.
 
Wadau ni muda sasa signal za azam sizipati kunashda gani uko azam tv.?
 
Hahhahah wakoje?

kila muudumu ana jibu lake,nimeongea na waudumu 6 tofauti tofauti nimepewa majibu sita pia yote tofauti,mala ujalipia,dish limelegea, hujakaza nati,ungetumia waya mweupe,receiver ifactory, teh teh teh apa nilipo nimechoka balaa nawaza jinsi ya kupanda juu ya bati tu.
 
kila muudumu ana jibu lake,nimeongea na waudumu 6 tofauti tofauti nimepewa majibu sita pia yote tofauti,mala ujalipia,dish limelegea, hujakaza nati,ungetumia waya mweupe,receiver ifactory, teh teh teh apa nilipo nimechoka balaa nawaza jinsi ya kupanda juu ya bati tu.

Aisee pole sana. Hapa mimi iko poa hadi zile nyengine za Zambia,Congo na West Africa kama kawa.
 
Kweli azam tv ilipoteza signal majira ya saa kumi ila baada ya dakika kama 25 imeludi kama kawaida.
 
Back
Top Bottom