Hata mimi ilikuwa hivyo hivyo nimejaribu kurestore lakini wapi.Nimempigia jamaa mmoja akaniambia kuna vitu wamerekebisha ofisini kwao.Ila kama unaweza kuinstall upya inakubali tu
Me nimezisearch ila hazikubali
Hawajaongeza kitu wamebana tu zile channel zetu
Basi ishakuwa balaa tena
Ila kama una receiver ya Mediacom au strong ukisearch utazipata
Ila kama una receiver ya Mediacom au strong ukisearch utazipata
Hapo kwenye aina ya receiver ndiyo tutakapoanza kuachana sasa.
Hazionekani chaneli zote au ni zile zetu tu ndio zimegoma kuonekana baada ya hio update
Hazionekani zile zetu tu.
hawajaziondoa zipo ila wamezitenganisha na Azam channels, bonyeza ok kwenye remote kisha vol utaona other channels ukibonyeza tena utaona radio na mambo yapo poa tu
hawajaziondoa zipo ila wamezitenganisha na Azam channels, bonyeza ok kwenye remote kisha vol utaona other channels ukibonyeza tena utaona radio na mambo yapo poa tu
salute kaka siamini kama nimeshindwa kutambua hiki kitu.
case solved. hawajafuta tv bali wametenganisha
Jamani kuna update kwenye azam tv, husiupdate ukijiroga tu zile channel zetu huzipati tenaaa!!
Bwana Lunyasi unapobonyeza ok kitakachoonekana ni list ya channels na juu kabisa heading itakuwa Azam channels,baada ya hapo ndio bonyeza vol na utaziona,other channels ukibonyeza tena utaona radio tena unarudi mwanzo,