Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
unakwama wapi mkuu,mbona ilo zoezi dogo sana.?tukifika sat mnyororo sindo utapasuka medula... Niwekee picha nione hapo unapo kwama,mpaka utaelewa tu mwaka huu.
Nyanya mbichi 20:30 2 Hours Ago
nashukuru wakuu
Babu wa Loliondo
hasa kwa uvumilivu wako na
kutokata tamaa najua maumivu ya
kumfundisha mtu asie elewa kwa
urahisi
HATIMAE NIMEWEZA BAADA YA
SIKU 22
Ph-25
nawashukuru saaaaaana.
HAPO MKUU.