Babu wa Loliondo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 323
- 106
Uko sahihi kabisa maake mm ndio nimefika home hapa nikazijaribu mwisho wake zimejirudia mara mbili mbil,kabla hata sijapata jibu kwa nin tayar umeshatoa jibu,asante kwako Ph-25
Uko sahihi kabisa maake mm ndio nimefika home hapa nikazijaribu mwisho wake zimejirudia mara mbili mbil,kabla hata sijapata jibu kwa nin tayar umeshatoa jibu,asante kwako Ph-25
Natafuta sana freq ambayo inaonyesha bundesliga itakayofit hapa hapa kwa azam bila ku adjust dish
Kwa hiyo gem za leo mpaka dstv
Jamani kuna update kwenye azam tv, husiupdate ukijiroga tu zile channel zetu huzipati tenaaa!!
watakiharibu king'amuzi maana watu wakiongeza chanell haiaffect mapato yao.
anyway ni bidhaa ya newland sijacheki ila am preety sure kuna firnware za kuflash hiki kidude
Nasikia ukirestore factory settings zinarudi
Ndio hata mm hapa juu nimesema hivyo,ukiona zimepotea restore factory ila kabla hujafanya hivyo kuna maelekezo yafuate vizuri ikishamaliza chaneli zinarudi
Jamani kuna update kwenye azam tv, husiupdate ukijiroga tu zile channel zetu huzipati tenaaa!!
Hiyo update wameongeza chanel ama magumash