Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,355
- 13,146
Udini umekuja kwasababu nyie mnao kwenye mioyo yenu... na mnavyochangia tu mkiona maslai ya muislam mwenenu inazungumziwa basi mnakuja na dhihaka kede kede... mkipewa makavu ndio mnakaa sawa... kitu kama hakina ubora ukisifie kwa nini? hapa watu wanarekebishana na mtaelewa tu... hata kwenye siasa imekuwa hivi hivi akishambuliwa Kikwete kakosea mnasema oh Raisi anasemwa kwa sababu muislam... nyie ndio mko hivyo... mimi nimesema Decoder inaonesha Giza kwasababu nimeshuhudia hata kama nimetizama Restaurant Bidhaa za kichina ni za kichina tu hata ziuzwe wapi marekani au ulaya ni zile zile hawana uwezo wa kuziongeza zikawa bora zaidi...Sasa hapa dini zina uhusiano gani? Sometimes ukikaa kimya watu hawatojua how s.tu.pid you are! Wewe unaangalia tv kwenye mgahawa, halafu unalalamika giza? Umemsikia nani anayemiliki decoder ya Azam kalalamika kama picha zina giza? Ooh, kwa hiyo chuki yako kwa waislam imeingia mpaka kwa mmiliki wa Azam tv?