Elimu bure ni usanii mtupu

Elimu bure ni usanii mtupu

Kuna masuaili mengi ya kujiuliza kabla ya kutoa comments na kutoa mada au comments ni vizuri ukatoa kitu unacho kifahamu na ukaelezea kiufasaha.
Kwanza niulize je hizo shule mnazosema zimepokea laki mmoja sijui mbili ni shule gani? Taja jina la shule na mwalimu mkuu. Na pia taja ni kiasi gani walipewa mwaka jana na juzi?
Je unajua tanzania kuna shule ngapi jumla? Ulinganishe na hela zilizo tengwa???
Jaribuni kufafanua mnacho ongelea kuliko kuandika mambo kama matahira
 
June mbali ivo, march tu inatosha kutoa taswira ya mapema.
Sie shule yetu tumeboost sana ufaulu, mwaka jana tulipewa milion 3 zawadi ya kupandisha ufaulu....tulifaulisha kwasababu kulikua na ratiba ya mitihani kila weekend na kila siku jioni kuna remedial classes ambayo tunafundisha bureeee wanafunzi wanachanga hela ya chakula Chao tu make hawawezi kubaki mchana na njaa wakasoma, now elimu bure hakuna wa kuchangia mitihani wala msosi hivo hakuna mitihani wala remedial classes ngoja tusubiri jipu
Elimu bure ina malengo mazuri ila nadhani hatujajipanga bado
 
Mkoa wa Mwanza
umepokea kiasi cha
milioni 999.4 kwa ajili
ya kugharamia elimu
bure katika shule 1,047
za Msingi na Sekondari
#MTANZANIA





===========================

Jarbu kugawanywa hizo hela ujue kila shule inapata bei gani.


Asanteni!
 
Sie shule yetu tumeboost sana ufaulu, mwaka jana tulipewa milion 3 zawadi ya kupandisha ufaulu....tulifaulisha kwasababu kulikua na ratiba ya mitihani kila weekend na kila siku jioni kuna remedial classes ambayo tunafundisha bureeee wanafunzi wanachanga hela ya chakula Chao tu make hawawezi kubaki mchana na njaa wakasoma, now elimu bure hakuna wa kuchangia mitihani wala msosi hivo hakuna mitihani wala remedial classes ngoja tusubiri jipu
Elimu bure ina malengo mazuri ila nadhani hatujajipanga bado
Nyie mnawafundisha remedial bure?hahaha huku kwetu haipo iyo.walikua wanatoa kiasi kidogo cha fedha.Sa ivi ndo basi tena saa 8:20 wanarudi home hadi kesho.
 
Back
Top Bottom