Elimu bure ni usanii mtupu

Elimu bure ni usanii mtupu

HII si kweli nilimsikia MAGUFULI mm mwenyewe akisema pesa wamepelekewa kila shule zaid ya 1b kwa 3months

akatoa na onyo "ole wake yeye ataetumia vibaya"

Ndg yangu....soma vizuri ulichoandika hapo huu..kila shule 1 bilion? au ulimaanisha 1milion?

kuna shule hapa ya sekondari ina more than 600 students na wamepewa 900,000/= .
Ukisikiliza wanasiasa, utafikiri kweli shule zmepewa mihela kibao...lakini njoo mashuleni uzione hizo pesa zenyewe zilivo kiduchu..

Sjui shule za umma ztaendeshwaje?
 
Basi shule zitakuwa na UKATA sana, mkuu acha povu, maendeleo ya elimu hayaji kama unavyofikiria...
Maendeleo yanakujaje ya elimu? Bilioni 18 kwa mweZi hazitoshi? Au unataka wazazi kazi yao iwe kuzaa tu haya chupi hawawanunilii watoto wao?
 
HII si kweli nilimsikia MAGUFULI mm mwenyewe akisema pesa wamepelekewa kila shule zaid ya 1b kwa 3months

akatoa na onyo "ole wake yeye ataetumia vibaya"
Bajeti yake ni bilioni 18.7 kwa shule zote za msingi na sekondati we naye unasema bilioni 1@shule??? Ina maana kuna shule 18 tu??
 
Michango haijafutwa! Serikali inalipia sehemu tu ya pesa zilizokuwazinasumbua hapo mwanzo. by Simbachawene.
 
Wee ni mkurupukaji! Nina uhakika kuna vitu huvijui. Kwa akili zako unaona hiyo pesa uloweka hapo juu inawezekana?? NI LAZIMA UMEKURUPUKA.
We ndio unakurupuka maana nakuambia ukweli na uhalisia wa jambo we unahisi sio kweli tafuta wakuu wa shule hata zaidi ya watano watakuambia fedha walizopewa na hawatakuficha maana sio siri.

Duc in Altum
 
Kuna shule inaiwa Juhudi Primary School ipo visiga kibaha ina wanafunzi 700 na imepewa 325000tsh. Naomba waalimu wengine walete taarifa kuna shule hapa kibaha pia imepewa 70000tsh.

Duc in Altum
 
Michango haijafutwa! Serikali inalipia sehemu tu ya pesa zilizokuwazinasumbua hapo mwanzo. by Simbachawene.
Huu ni mtazamo wako kumbuka kuna wakati kupitia wazir serikali imesema hata uniform wanafunz wasivae waende shule ivyoivyo.

Duc in Altum
 
Ndugu wana jamvi,

Nimeshangaa sana badala ya kuona kiasi cha fedha ambacho moja ya shule ya msingi iliyoko mkoa wa Pwani imepewa kwa ajili ya elimu bure.Shule hii ina wanafunzi 1120 na imepewa 447000tsh. Hii ni kwamba kila mwanafunzi amepewa shilingi 399.

Najaribu kuangalia mahitaji ya shule ikiwemo kulipa walinzi, kununua chalk, kununua karatasi pamoja na vifaa vingine muhimu shuleni naona kuwa fedha hizi hazitoshi hata kidogo. Hazitoshi kuendesha shule hata kwa week mbili.

Naiona elimu ya Tanzania ikididimia na ubora ukishuka zaidi.

Duc in Altum
Ndugu wana jamvi,

Nimeshangaa sana badala ya kuona kiasi cha fedha ambacho moja ya shule ya msingi iliyoko mkoa wa Pwani imepewa kwa ajili ya elimu bure.Shule hii ina wanafunzi 1120 na imepewa 447000tsh. Hii ni kwamba kila mwanafunzi amepewa shilingi 399.

Najaribu kuangalia mahitaji ya shule ikiwemo kulipa walinzi, kununua chalk, kununua karatasi pamoja na vifaa vingine muhimu shuleni naona kuwa fedha hizi hazitoshi hata kidogo. Hazitoshi kuendesha shule hata kwa week mbili.

Naiona elimu ya Tanzania ikididimia na ubora ukishuka zaidi.

Duc in Altum
 
Tueleze kabla ya hapo shule yako ya msingi ilikuwa inapewa sh ngapi kwa kila mtoto!?
 
Hili swala la elimu bure ni swala ambalo yatupasa tuliangalie kwa jicho la tatu na tusipokuwa makini basi elimu ya tanzania inapoelekea ni pabaya xana kwani hata baadhi ya majengo ya shule nyingi za msingi ni chakavu na hayatamaniki sasa inakuwaje tunafurahia elimu bure na ikiwa mazingira yatoayo hiyo elimu ni hatarishi mi ombi langu kwa serikali ilichunguze hili kwa makini xana ili kuleta mazingira rafiki na wanafunze
 
Kabla ya hapo shule zilikuwa hazipat chochote ila wazaz walikuwa wanatoa michango.
Duc in Altum
 
Vitu msivyovijua msipende kukurupuka kuleta mada hapa,kumbuka shule zimepewa hela kulingana uhitaji wa kila shule e.g,billi ya umeme na maji,chaki n.k,
Zipo shule zimepewa hadi million mbili kwa mwezi
 
Elimu bure ndio hiyo ila nasikitika kuona watoto wetu wa shule za msingi wanasoma ikiwa wanakaa chini sasa kwa swala kama hili mi sikubaliani na hilo swala la elimu bure kwani mazingira yenyewe wanayoyatumia wanafunzi ni magumu xana je serikali imejipangaje ili kuhakikisha wanalishughulikia hilo swala ili kuipa nafasi elimu bure iwe na sifa kwani watu watashangaa kuona elimu ni bure lakini cha kusikitisha wanafunzi wanatumia majengo chakavu ambayo ni hatarishi kwa usalama wao tena wakiwa wanasoma huku madarasani hakuna madawati na mbaya zaidi hata mazingira ya kulinda afya hakuna baada ya kukosa vyoo je serikali imejipangaje kwa swala kama hili
 
kuna vitu kama pesa ya mlinzi, kulipia maji, pia kuna ile wanapewa walimu kufundisha baada ya mda wa kawaida, sidhani kama walimu
watakubali kufundisha bure huo mda wa ziada...

pia kuna ishu ya uniform, michango ilikuwa inakusanywa alafu wanashonea shuleni (najua walimu nao walikuwa wanapiga) ila faida
yake ni kuwa nguo zote zinashonwa kwa mtindo mmoja... sipati picha kwa hiki kizazi chetu kila mwanafunzi akashone sare mwenyewe

hali inaweza ikawa mbaya zaidi
You need to be patient! Tatizo letu watanzania tunapenda mambo mazuri instantly! huo ni mwanzo tu kadiri siku zinavyo sogea kutakuwa na maboresho.kila mhusika ataona kwa hakika fedha hizi hazitoshi na hivyo umuhimu wa kuongeza kujitokeza.sasa wengi wa wakuu wa shule na walimu wakuu wanaanza kulalamika pesa haitoshi! kaa chini fanyakazi na uisaidie serikali yako namna bora ya kutoa elimu bora.
 
Back
Top Bottom