Serikali ni vyema ikatoa tamko Kama imesitisha kutoa fedha ya elimu bure

tatamajuva

Member
Sep 11, 2019
74
83
Serikali kutopeleka fedha ya elimu bure kwa shule za sekondari na msingi kwa mwezi May 2022 kumesababisha usumbufu mkubwa kwa taasisi hizo kwani wameshindwa kununua vifaa vya shule, kukarabati majengo na vitu mbalimbali shuleni.

Serikali ni vyema ikatoa tamko kama imesitisha kutoa fedha ya elimu bure.

Chanzo kimoja kimesema kwamba serikali haina fedha kwa sasa na inatarajia kupeleka Sheria Bungeni ili kurejesha ulipaji wa Ada za shule.
 
PUMZI IMEANZA KUKATA kwa Matumizi haya haitapelekwa
JamiiForums1856381968.jpg
JamiiForums1640196477.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
PUMZI IMEANZA KUKATA kwa Matumizi haya haitapelekwaView attachment 2265733View attachment 2265734

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app

Kuhusu msafara wa Waziri wa fedha siku ya kusoma bajeti sio jambo geni, nimekua nashuhudia msafara kama huo kila mwaka.

Hilo la matumizi ya Billion 558 sijajua chanzo cha taarifa yao hao The Citizen, kama chanzo ni hotuba ya Bajeti kuu 2022/2023 basi waliisoma vibaya. Kiasi hicho kinajumuisha ununuzi na uendeshaji wa magari ya serikali, ni pamoja na vipuli, matengenezo, mafuta n.k
 
Elimu bure imedumaza wanafunzi kifikra ningekua Nina mamlaka ningefutilia mbali huu ujinga.
Wazaz pia wamedumaa kifikra yaan hawajar kabisa swala la elimu washalemaa kuwa kila kitu ni serikali.

Siku hizi wazaz hata kumnunulia mtoto sare za shule pamoja na viatu hawataki kabisa.
Karne hii mtoto anavaa yebo yebo shuleni kwa kisingizio elimu ni bure.

Ni heri ada ikarudi wazaz na wanafunz watakua na uchungu na elimu pia ni heri kwenye kundi la watu Mia watoboe hata 50 kuliko kwenda na kundi zima likiwa limejaa vilaza tu.

Ivi mna habar siku hizi mtoto anaenda form one hajui hata kuandika jina lake?

Hivi mnajua wanafunzi wanafanyiwa mitihani na walimu hasa ngazi ya primary ?

Kwann wanawafanyia mitihani ni sababu ya siasa kwenye elimu .Ma Afisa elimu wilaya wanawapiga bit walimu wakuu kuwa wasipofaurisha wanawapokonya ualimu mkuu na kumbuka walimu wakuu Wana kaposho ka laki mbili kila mwezi Sasa hapo ndipo vurugu huanzia Sasa.

Lakin kusingekua na huu ujinga elimu yetu ingekua mbali Sana .

Ushauri futa elimu bure ,posho ya walimu wakuu iendelee lakin pia serikali ichukue ile pesa ya elimu bure wape walimu wa kawaida Kama posho no matter what hata Kama itakua elfu hamsini kwa kila mwalimu alafu uone elimu itakavyopaa na itakua ya viwango.

Unamdidimiza mwalimu huku ukitegemea elimu bure et ndio ilete kiwango kizur Cha elimu!!
Siasa za hii nchi ni za ajabu Sana .
 
Elimu bure imedumaza wanafunzi kifikra ningekua Nina mamlaka ningefutilia mbali huu ujinga.
Wazaz pia wamedumaa kifikra yaan hawajar kabisa swala la elimu washalemaa kuwa kila kitu ni serikali.

Siku hizi wazaz hata kumnunulia mtoto sare za shule pamoja na viatu hawataki kabisa.
Karne hii mtoto anavaa yebo yebo shuleni kwa kisingizio elimu ni bure.

Ni heri ada ikarudi wazaz na wanafunz watakua na uchungu na elimu pia ni heri kwenye kundi la watu Mia watoboe hata 50 kuliko kwenda na kundi zima likiwa limejaa vilaza tu.

Ivi mna habar siku hizi mtoto anaenda form one hajui hata kuandika jina lake?

Hivi mnajua wanafunzi wanafanyiwa mitihani na walimu hasa ngazi ya primary ?

Kwann wanawafanyia mitihani ni sababu ya siasa kwenye elimu .Ma Afisa elimu wilaya wanawapiga bit walimu wakuu kuwa wasipofaurisha wanawapokonya ualimu mkuu na kumbuka walimu wakuu Wana kaposho ka laki mbili kila mwezi Sasa hapo ndipo vurugu huanzia Sasa.

Lakin kusingekua na huu ujinga elimu yetu ingekua mbali Sana .

Ushauri futa elimu bure ,posho ya walimu wakuu iendelee lakin pia serikali ichukue ile pesa ya elimu bure wape walimu wa kawaida Kama posho no matter what hata Kama itakua elfu hamsini kwa kila mwalimu alafu uone elimu itakavyopaa na itakua ya viwango.

Unamdidimiza mwalimu huku ukitegemea elimu bure et ndio ilete kiwango kizur Cha elimu!!
Siasa za hii nchi ni za ajabu Sana .
Punguza kuharisha.

Mwambie samia atoe hela watoto wasome.
 
Elimu bure imedumaza wanafunzi kifikra ningekua Nina mamlaka ningefutilia mbali huu ujinga.
Wazaz pia wamedumaa kifikra yaan hawajar kabisa swala la elimu washalemaa kuwa kila kitu ni serikali.

Siku hizi wazaz hata kumnunulia mtoto sare za shule pamoja na viatu hawataki kabisa.
Karne hii mtoto anavaa yebo yebo shuleni kwa kisingizio elimu ni bure.

Ni heri ada ikarudi wazaz na wanafunz watakua na uchungu na elimu pia ni heri kwenye kundi la watu Mia watoboe hata 50 kuliko kwenda na kundi zima likiwa limejaa vilaza tu.

Ivi mna habar siku hizi mtoto anaenda form one hajui hata kuandika jina lake?

Hivi mnajua wanafunzi wanafanyiwa mitihani na walimu hasa ngazi ya primary ?

Kwann wanawafanyia mitihani ni sababu ya siasa kwenye elimu .Ma Afisa elimu wilaya wanawapiga bit walimu wakuu kuwa wasipofaurisha wanawapokonya ualimu mkuu na kumbuka walimu wakuu Wana kaposho ka laki mbili kila mwezi Sasa hapo ndipo vurugu huanzia Sasa.

Lakin kusingekua na huu ujinga elimu yetu ingekua mbali Sana .

Ushauri futa elimu bure ,posho ya walimu wakuu iendelee lakin pia serikali ichukue ile pesa ya elimu bure wape walimu wa kawaida Kama posho no matter what hata Kama itakua elfu hamsini kwa kila mwalimu alafu uone elimu itakavyopaa na itakua ya viwango.

Unamdidimiza mwalimu huku ukitegemea elimu bure et ndio ilete kiwango kizur Cha elimu!!
Siasa za hii nchi ni za ajabu Sana .

Majengo mazuri ya Uviko-19,Maslahi ya walimu duni😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Elimu bure imedumaza wanafunzi kifikra ningekua Nina mamlaka ningefutilia mbali huu ujinga.
Wazaz pia wamedumaa kifikra yaan hawajar kabisa swala la elimu washalemaa kuwa kila kitu ni serikali.

Siku hizi wazaz hata kumnunulia mtoto sare za shule pamoja na viatu hawataki kabisa.
Karne hii mtoto anavaa yebo yebo shuleni kwa kisingizio elimu ni bure.

Ni heri ada ikarudi wazaz na wanafunz watakua na uchungu na elimu pia ni heri kwenye kundi la watu Mia watoboe hata 50 kuliko kwenda na kundi zima likiwa limejaa vilaza tu.

Ivi mna habar siku hizi mtoto anaenda form one hajui hata kuandika jina lake?

Hivi mnajua wanafunzi wanafanyiwa mitihani na walimu hasa ngazi ya primary ?

Kwann wanawafanyia mitihani ni sababu ya siasa kwenye elimu .Ma Afisa elimu wilaya wanawapiga bit walimu wakuu kuwa wasipofaurisha wanawapokonya ualimu mkuu na kumbuka walimu wakuu Wana kaposho ka laki mbili kila mwezi Sasa hapo ndipo vurugu huanzia Sasa.

Lakin kusingekua na huu ujinga elimu yetu ingekua mbali Sana .

Ushauri futa elimu bure ,posho ya walimu wakuu iendelee lakin pia serikali ichukue ile pesa ya elimu bure wape walimu wa kawaida Kama posho no matter what hata Kama itakua elfu hamsini kwa kila mwalimu alafu uone elimu itakavyopaa na itakua ya viwango.

Unamdidimiza mwalimu huku ukitegemea elimu bure et ndio ilete kiwango kizur Cha elimu!!
Siasa za hii nchi ni za ajabu Sana .
Stupid comment. Hii sass ina uhusiano gani nackutolipa ada mwanafunzi shuleni. Mtu anaandika upuuzi kwa kujiona anajua kumbe boya
 
Elimu bure imedumaza wanafunzi kifikra ningekua Nina mamlaka ningefutilia mbali huu ujinga.
Wazaz pia wamedumaa kifikra yaan hawajar kabisa swala la elimu washalemaa kuwa kila kitu ni serikali.

Siku hizi wazaz hata kumnunulia mtoto sare za shule pamoja na viatu hawataki kabisa.
Karne hii mtoto anavaa yebo yebo shuleni kwa kisingizio elimu ni bure.

Ni heri ada ikarudi wazaz na wanafunz watakua na uchungu na elimu pia ni heri kwenye kundi la watu Mia watoboe hata 50 kuliko kwenda na kundi zima likiwa limejaa vilaza tu.

Ivi mna habar siku hizi mtoto anaenda form one hajui hata kuandika jina lake?

Hivi mnajua wanafunzi wanafanyiwa mitihani na walimu hasa ngazi ya primary ?

Kwann wanawafanyia mitihani ni sababu ya siasa kwenye elimu .Ma Afisa elimu wilaya wanawapiga bit walimu wakuu kuwa wasipofaurisha wanawapokonya ualimu mkuu na kumbuka walimu wakuu Wana kaposho ka laki mbili kila mwezi Sasa hapo ndipo vurugu huanzia Sasa.

Lakin kusingekua na huu ujinga elimu yetu ingekua mbali Sana .

Ushauri futa elimu bure ,posho ya walimu wakuu iendelee lakin pia serikali ichukue ile pesa ya elimu bure wape walimu wa kawaida Kama posho no matter what hata Kama itakua elfu hamsini kwa kila mwalimu alafu uone elimu itakavyopaa na itakua ya viwango.

Unamdidimiza mwalimu huku ukitegemea elimu bure et ndio ilete kiwango kizur Cha elimu!!
Siasa za hii nchi ni za ajabu Sana .
Ticha hio sio njia nzuri ya kudai hako kaposho, tumia Chama chenu Cha wafanyakazi muombe kaposho ka katikati ya mwezi Kama maafande, mama ni msikivu.
 
Back
Top Bottom