Hivi watu wengine wanajibu tu bila kufikiri. Tunalisemea hili tupo kwenye field na tunazijua changamoto zilizopo. Mnajua bei ya box moja la chaki? Na kwa watoto 1200 unatumia box ngapi kwa siku. Na walimu watakabaki kufundisha remedial kwa slow learners watalipwa na hizi shs 309? Fikirini kwa mapana. Hakuna elimu bure hapo wazazi ni lazima kuchangia ili kuisadia serikali. Vinginevyo ni siasa tu katika masuala ya kitaalam. Hamuamini subirini watakavyofeli watoto kwa kurudi makwao saa nane ndio mtajua hasara za elimu Burr.