Chrizo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 714
- 789
- ok mbona hujagusa mada kabisa maana unatakiwa unifungulie thread inayonihusu hahahahahahaha U know
le Mutuz
Mkuu kwanini usimshauri boss wako kama vyeti anavyo aviweke hadharani ili kumaliza hili saga.
Je kwa kauli ya rais leo ni sawa kwa watumishi zaidi ya 10,000 kufukuzwa kwa kufoji kama kigezo ni utendaji mzuri wa mtu, Je kati ya hao 10 elfu hakuna watendaji wazuri? Mzee wa degree 3 naomba majibu