Elibariki Kingu Vs Paul Makonda nani aondoke CCM?

Elibariki Kingu Vs Paul Makonda nani aondoke CCM?

Kaka mkubwa tunakutegemea kwenye kingereza vile mwenzetu una digrii tatu na umekaa sana huko ilikoanzia hii lugha, hapa ulimaanisha nini, au ni mimi sijui kingereza mkuu

- sasa kama unatumia majina ya bandia na kujiita majina ya wanyama na picha awanyama nitakusaidiaje?

le Mutuz
 
- Wacha uchonganishi Mbunge Kingu alishamuomba radhi Makonda mwenyewe kwamba alidanganywa na maadui wa Makonda Bungeni kumbe ukweli sio kama alivyoambiwa, nenda Instagram ya Kingu utaona ameandika hayo maneno ya kukutana na Makonda VIP Uwanja wa ndege na kumuomba radhi yakaisha. Wacha uzushi!

le Mutuz
Piga screenshots ya hiyo tweeter hapa tuione
 
- young man learn how to use your name like me, then we can argue ok!

le Mutuz
Better yet, how about man to man argument ...you of all people should know umebeba uzito gani kwenye hilo jina, ambalo badala ya kukubeba unalipa a political nose dive kila kukicha kwa majibizano yaliyo so cheap!
 
Mbona haujaandika mengine aliyosema Rais juu ya Makonda leo!?

Nipo nacheka jinsi mnavyolia kuwa ana elimu yake

Ha ha haaaaa

Makonda oyeeeeeee
Hamuwezi kumsafisha hata kama iweje.

Endeleeni kunyonga wanyonge hivyo hivyo
 
- Wacha uchonganishi Mbunge Kingu alishamuomba radhi Makonda mwenyewe kwamba alidanganywa na maadui wa Makonda Bungeni kumbe ukweli sio kama alivyoambiwa, nenda Instagram ya Kingu utaona ameandika hayo maneno ya kukutana na Makonda VIP Uwanja wa ndege na kumuomba radhi yakaisha. Wacha uzushi!

le Mutuz

Hivi unaweza kumuomba radhi mtu kama Bashite?
 
- Wacha uchonganishi Mbunge Kingu alishamuomba radhi Makonda mwenyewe kwamba alidanganywa na maadui wa Makonda Bungeni kumbe ukweli sio kama alivyoambiwa, nenda Instagram ya Kingu utaona ameandika hayo maneno ya kukutana na Makonda VIP Uwanja wa ndege na kumuomba radhi yakaisha. Wacha uzushi!

le Mutuz
Nakushauri anzisha bifu na Makonda ili kukata weight. Manake sio salama kwa overweight Kama wewe mwenye utapiamlo(Malnutrition) kuendeleza Yale mambo yatakayoimarisha utapiamlo. Ni vyema sana kama ukitafuta stress ili urudishe mwili mahala pake.

Njia sahihi ni Kuanzisha battle In Makonda.
Nakushauri anza kua msema kweli. Msema kweli ni mpenzi WA Mungu.
 
Better yet, how about man to man argument ...you of all people should know umebeba uzito gani kwenye hilo jina, ambalo badala ya kukubeba unalipa a political nose dive kila kukicha kwa majibizano yaliyo so cheap!
Mkuu ujue kuwa Le mutuz bila Bashite hawezi kuishi Dsm, kwa sasa Le mutuz matajiri wengi wanamkimbia kaamua kuweka kambi ya Kudumu kwa Bashite anakula, kunywa, kwenda toilet kwa pesa anayolipwa na Bashite mda wote Akili zake ndogo zipo kwa Bashite.
 
Nakushauri anzisha bifu na Makonda ili kukata weight. Manake sio salama kwa overweight Kama wewe mwenye utapiamlo(Malnutrition) kuendeleza Yale mambo yatakayoimarisha utapiamlo. Ni vyema sana kama ukitafuta stress ili urudishe mwili mahala pake.

Njia sahihi ni Kuanzisha battle In Makonda.
Nakushauri anza kua msema kweli. Msema kweli ni mpenzi WA Mungu.
hatathubutu kwani akifanya hivyo itakuwa mwisho wa kuzurula bar na mahotelini kusaka vichepuko vitoto ili wavikope, kwa sasa Le mutuz bila Bashite hawezi kuishi hana kazi anamtegemea Bashite kwa 100%
 
- Wacha uchonganishi Mbunge Kingu alishamuomba radhi Makonda mwenyewe kwamba alidanganywa na maadui wa Makonda Bungeni kumbe ukweli sio kama alivyoambiwa, nenda Instagram ya Kingu utaona ameandika hayo maneno ya kukutana na Makonda VIP Uwanja wa ndege na kumuomba radhi yakaisha. Wacha uzushi!

le Mutuz
Hahaha lemutuz unamtetea shogako? Haya twambie Bashite ana vyeti au hana kama hana twambie wale 12 mlowafukuza kosa lao ni lipi? Yani dr anyetibu watu afukuzwe kisa cheti feki aachwe mpuuzi mmoja kisa amewataja wauza unga kwa hisia zake? Mwambieni magufuli hili la vyeti feki linamwacha aonekane kituko japo anategemea wizi wa kura lakini 2020 atapata shida sana kuomba kura. Huku mafia kuna zahanati kama CHoLe, Ndagoni, na Baleni hakuna madaktar kabisaaa kisa vyeti feki yeye anamuachaje makonda?
 
Hahaha lemutuz unamtetea shogako? Haya twambie Bashite ana vyeti au hana kama hana twambie wale 12 mlowafukuza kosa lao ni lipi? Yani dr anyetibu watu afukuzwe kisa cheti feki aachwe mpuuzi mmoja kisa amewataja wauza unga kwa hisia zake? Mwambieni magufuli hili la vyeti feki linamwacha aonekane kituko japo anategemea wizi wa kura lakini 2020 atapata shida sana kuomba kura. Huku mafia kuna zahanati kama CHoLe, Ndagoni, na Baleni hakuna madaktar kabisaaa kisa vyeti feki yeye anamuachaje makonda?

- Rais kasema leo wala hajawahi kujali huo uzushi, please tafuteni serious ishus sio huu uzushi uzushi

le Mutuz
 
hatathubutu kwani akifanya hivyo itakuwa mwisho wa kuzurula bar na mahotelini kusaka vichepuko vitoto ili wavikope, kwa sasa Le mutuz bila Bashite hawezi kuishi hana kazi anamtegemea Bashite kwa 100%

- ni kweli kama na wewe bila Chadema kukulipa kutukana watu humu hahahahahahaha

le Mutuz
 
- Wacha uchonganishi Mbunge Kingu alishamuomba radhi Makonda mwenyewe kwamba alidanganywa na maadui wa Makonda Bungeni kumbe ukweli sio kama alivyoambiwa, nenda Instagram ya Kingu utaona ameandika hayo maneno ya kukutana na Makonda VIP Uwanja wa ndege na kumuomba radhi yakaisha. Wacha uzushi!

le Mutuz
Ukweli ni upi??
 
Back
Top Bottom