Kwa sasa le mutuz ni janga la TaifaKuna watu isingekuwa surname zao, wangekuwa ferry wanapaa samaki.
Msiendelee kumuita kubwa jinga jamani, maana anazidi kulitia taifa hasara. Mtu mzima kuwa kuwadi si jambo jepesi
Kwa sasa le mutuz ni janga la TaifaKuna watu isingekuwa surname zao, wangekuwa ferry wanapaa samaki.
Msiendelee kumuita kubwa jinga jamani, maana anazidi kulitia taifa hasara. Mtu mzima kuwa kuwadi si jambo jepesi
Huwezi ukaiona.- hahahahahah sioni hoja so far!
le Mutuz
Wabunge wa CCM wengi Akili zao ni kama za Le mutuz ndiyo maana hupitisha mikataba ya hovyo hovyo pasipo kutafakariHapo awali nikasema huyo mbunge anayetoa kisingizio cha kudanganywa hata uwezo wake wa kujenga hoja mjengoni utakuwa ni sifuri. Sasa sijui wabunge wa aina yake wapo wangapi mjengoni na ndio hao wanaotungenezea sheria. Nafikiri kuna wabunge pushovers wakutosha
Nashangaa hili wanalikwepa sana na ndio kwenye hoja wao wanaanzisha hoja ambayo ni yao na sio hoja ya msingi wanayoikwepa,yani hz akili za makinikia ni shida sana wanajitoa ufahamuTatizo la Makonda sio kujua kusoma sijui kuandika but forgery which is a crime
La Elimu kama umemsikia vizuri baba yake ameshachutama ndio maana kahamia hoja ya kujua au kutokujua kusomaMbona haujaandika mengine aliyosema Rais juu ya Makonda leo!?
Nipo nacheka jinsi mnavyolia kuwa ana elimu yake
Ha ha haaaaa
Makonda oyeeeeeee
Naunga mkono hoja hii nchi sasa tunawaachia wapumbavu kama hao kutuongoza wanafanya kila wakitakacho ifike kipindi tuamke na hawa bila kuonesha kuwapinga watutuendesh sana na kutaka kukaa madarakan miaka yote hivyo nikuanza kuwapinga mapema sana na tuache kubishia mitandaoni cha maana nikuingia barabari liwalo na liweKuwajadili watu kama Bashite na wasengerema wengine ni kupoteza muda..watu tuingie road usiku na mchana kudai katiba ...Dunia nzima itaona ..serikali itabanwa hata kupelekwa The Hague"si unajuwa kule wana sheria za kunyonga"Idiot
Makonda ni kijana Mdogo Le mutuz lina miaka 56 ni lezee tayari cha Ajabu amekuwa tegemezi kwa Bashite kwa 100% njaa ni kitu kibaya sana.We jamaa nae mkubwa lakini ajabu unaishi kwa kujikomba kwa watoto wadogo,,,
IVI siutafute kazi ufanye Mkuu ??,, umri unaenda uho mzee
Huyo Kingu mwenyewe hajitambui ni MTU wa kuangalia upepo umekaa vipi ndo anajifanya anajua kuongelea jambo.Wakati suala LA elimu ya Makonda limeibuka akajua lazima aondoke ndio akajitokeza sema ili nae aonekane kuwa alionyesha msimamo. Ila baada ya kuona Makonda ni untouchable ndio akaamua jisalimisha akiona ataenda yeye.- Wacha uchonganishi Mbunge Kingu alishamuomba radhi Makonda mwenyewe kwamba alidanganywa na maadui wa Makonda Bungeni kumbe ukweli sio kama alivyoambiwa, nenda Instagram ya Kingu utaona ameandika hayo maneno ya kukutana na Makonda VIP Uwanja wa ndege na kumuomba radhi yakaisha. Wacha uzushi!
le Mutuz
Yaani mzee MALECELA amepata hasara sana kuzaa toto kama hili W. J. Malecela ingekuwa mimi ningelikana adharaniMakonda ni kijana Mdogo Le mutuz lina miaka 56 ni lezee tayari cha Ajabu amekuwa tegemezi kwa Bashite kwa 100% njaa ni kitu kibaya sana.
Swali gumuKatika miezi ya hivi karibuni mbunge wa jimbo la Singida Magharibi kupitia CCM amewahi kuhoji uhalali wa elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar, Paul Makonda, na akaenda mbali zaidi yupo tayari kufukuzwa uanachama lakini lazima elimu ya Makonda ieleweke"
Leo mh Rais na mwenyekiti wa CCM ametamka wazi hana shida na elimu ya Makonda hata kama hajui kusoma A.
Kwa kauli hii ya mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi, kauli ya mh mbunge imekufa, hivyo wananchi tunasubiri kauli yako kama unaendelea kumpinga Makonda au utaunga mkono rangi nyeusi na huku rangi ni nyeupe.
Je utachukua hatua gani kama hukubaliani na Rais?
Nakushauri ujizulu, mwanasiasa bora huachia ngazi ili kulinda heshima yake na kile anachokiamini
Hapa ndipo ninapoamini 100% yakuwa ile phd ni ya maganda ya korosho.
La Elimu kama umemsikia vizuri baba yake ameshachutama ndio maana kahamia hoja ya kujua au kutokujua kusoma
Ahahahahaaaaa sawa IT wa makonda- Wacha uchonganishi Mbunge Kingu alishamuomba radhi Makonda mwenyewe kwamba alidanganywa na maadui wa Makonda Bungeni kumbe ukweli sio kama alivyoambiwa, nenda Instagram ya Kingu utaona ameandika hayo maneno ya kukutana na Makonda VIP Uwanja wa ndege na kumuomba radhi yakaisha. Wacha uzushi!
le Mutuz
Hamuwezi kumsafisha hata kama iweje.
Endeleeni kunyonga wanyonge hivyo hivyo