The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
You are right sir! Background?? So it turns out that you know me better right?Nikiri moja kwa moja kwamba sikuelewi unataka nini.
1. Ni kipi nimekikataa na kipi nimekikubali? Sijasema kwamba ugonjwa ni mpya na mambo mengi juu yake hayafahamiki, unataka nisemeje?
Nimekataa kwamba tafiti hazifanyiki?....
I underestimated the level of your comprehension, seems like I gave you credit than what you deserve.
Ahsante kwa kufunga mjadala.