Habari wadau!
Kumekuwepo na lugha chafu sana kwa wanaume wanaozidiwa kifedha na wake zao!
Hata imefikia kubatizwa majina mengi mazuri kama Vile Mario, kitonga au ganda la ndizi!
Ni majina mazuri kwasababu kisaikolojia majina hayo yameundwa kwa misingi ya Wivu, yaani mtu yoyote anayesikia raha kutumia majina hayo moyo wake unaongozwa na wivu tu! "Wakuona kwanini mwanaume mwenzake anapendwa katika hali ya ufukara"
Maelekezo ya Kimungu kwa wanandoa hayakubagua nani awe na fedha nyingi kuliko mwenzake! Yoyote anaweza kuwa na fedha! Mungu aliamuru HAYA
Ukisoma kwa kutulia kitabu cha mwanzo 3:1-24 utaona vile mungu alielekeza majukumu!
Kiufupi Mungu alisema hivi!
1. Eewe NYOKA utakuwa na uadui mkubwa na huyu MWANAMKE na uzao wake! Atakuponda kichwa nawe utamponda kisingino. Na hili litaendelea kwa wote tuliozaliwa na MWANAMKE tukiona nyoka lazima tuwaze kupiga kichwa naye nyoka tukiingia kwenye anga zake atatuponda, hii vita inaendelea kwa watu wote bila kujali fedha, jinsia au Mario! Almradi tu uwe umezaliwa na MWANAMKE basi umeingia vitani
2. Adhabu ya pili; MWANAMKE alipewa adhabu ya kuzaa kwa uchungu na nyege! Nanukuu kama ilivyoandikwa "Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”
Hii inamhusu MWANAMKE peke yake kwamba atakuwa na nyege kwa mwenza wake, atakunwa na hata akipata mimba atazaa kwa uchungu, HAPO ndipo kwa mbaali unaona UMHIMU WA MWANAUME! Nawaambiaga wanaume wenzangu ambaye anaruhusiwa hata KUHONGA ni mke siyo MWANAUME!
Ni udhaifu tu wa KIUME tumeujenga kwamba ili upate UTELEZI LAZIMA UHONGE hii haipo! Udhaifu tu wa wanaume umesababisha TUHONGE! lakini nyege zao ni mpango wa Mungu.
NOTE; MWANAMKE pamoja na adhabu ya kwanza na pili haikuzuiwa yeye kutafta PESA au kuwa tajili ni ruksa kwa wote atakayejaaliwa.
3. Adhabu ya tatu ni kwetu wanaume!
Tena adhabu inaanza kwa kusema! KWASABABU umemsikiliza huyo MWANAMKE! basi UTAKULA KWA JASHO! Utailima ardhi ili upate KULA YAKO! Elewa neno Utakula, siyo kwamba utamlisha na mkeo HAPANA! UTAKULA KWA JASHO ilikuwa maelekezo ya Mme kwamba hakuna atakayemuonea huruma akilia njaa!
Hii inamaanisha kwamba ukiona sasa unaweza kula kwa jasho na vikabaki basi ndipo unaweza kumrisha na aliyekaribu yako yoyote awe mkeo,rafiki n.k
ADHABU NYINGINE INAYOWAHUSU WOTE NI HII asiyefanya kazi na Asile! Uwe mwanamke au mwanaume Usipofanya kazi na USILE na usipo kula UFE!
Swali kazi ni nini?
Kazi ni kitu chochote kinachosaidia maisha ya wengine yasonge!
Mfano! Kama huna ajira serikalini basi jiajili, kama huna mtaji basi kaa nyumbani fagia , deki, fua nguo mpigie pasi mwenzako akalete pesa mpate KULA, hii haina jinsia!
Kama mkeo anatoka basi hakikisha unamfulia , watoto waogeshe, hiyo ni ajira indirect unamfanya mwenzako akirudi awe na amani asiwe na stress!
Kama ni Mme baada ya hayo ya usafi na upishi nyumbani UNAKUMBUSHWA kumsaidia mwenzako kumtoa NYEGE ambazo ni adhabu ya kimungu juu yako! (Atakutamani)
Hapo utagundua HAKUNA UMARIO, HAKUNA CHA GANDA LA NDIZI HAKUNA MWANAUME SURUALI N.K
Tena wanawake nawamegea siri mwanaume Mario ndiyo haswa anakupa amani ya moyo kama Mungu alivyoagiza! HAO VIDUME WANAOJITUTUMUA KUWAHONGA WACHUNENI Halafu nendeni mkale na Mario wenu nyumbani! Maana hakuna andiko limesema MWANAUME UTAPATA PENZI KWA HONGO!
PENZI NI BUREEE! Kuwaita watu MARIO NI WIVU TU! Na WANAWAKE MSIDANGANYWE MKAACHIKA kwa kufuata mkumbo wa jamii! Jamii ni yule muovu aliyewadanganya hadi mkapaewa adhabu Mara mbili mbili!
Ukimuacha huyo wanayemuita wao MARIO watamdaka wao,!
Mario kwao ila kwako ni mmeo kazi nyumbani anaiweza, MARIO Kwao ila kwako ni mkurugenzi mkuu wa familia, Mario kwao ila kwako huyo ni Amri jeshi mkuu wa ulinzi wa familia yako!
Wajibu wa MWANAUME kibiblia ni KICHWA CHA familia! Sifa kuu ya kichwa ni kufikili na kumshauri mkeo siyo kupiga, sifa kuu ya kichwa ni kuwa na akili ya utambuzi! Sifa kuu ya kichwa ni kupenya! Jukumu jingine Mungu alimpa Mme ni kumpenda mke, Unayempenda huwezi KUMFOKEA FOKEA OVYO Wala huwezi KUMPIGA
Wajibu wa mwanamke ni UTII kwa MMEWE! Utii ni kumheshimu mme, kumsikiliza Mme, mwanamke mtiifu habani, Anapanua yote ya moyoni kwa mumewe tu!
Sasa hayo yote yasipofanyika kote ni ngumu! MWANAUME hatompenda Mwanamke JEURI, na mwanamke Kamwe hatomuheshimu mwaume asiye mpenda!
MARIO SIYO KWAMBA HAFANYI KAZI hapana KAZI ANAFANYA Kwenye msingi wa kifamilia.
UKITAKA KUJUA UZURI WA MARIO ANAFANYAJE KAZI MUOMBE MKEWE UWE MKE WA PILI ndipo utajua Haujui!
Huko India wanawake wanachumbia waume, na mahali wanatoa wao!
Epukeni maneno yaliyojaa Wivu kutoka kwenye jamii hayana tofauti na yule NYOKA katika bustani ya edeni
Fedha ni sawa na madaraka tu! Anapewa yoyote! Ili atumie na watu wake!
Kama kwenye ngazi ya familia mke akiwa na pesa kutuzidi mnatuita Mario, Inamaana mataifa yanayoongozwa wanawake wanainchi hawaishi?
Tuisihi jamii ifute ubaguzi huu kwasababu unaharibu ndoa nyingi sana
Kumekuwepo na lugha chafu sana kwa wanaume wanaozidiwa kifedha na wake zao!
Hata imefikia kubatizwa majina mengi mazuri kama Vile Mario, kitonga au ganda la ndizi!
Ni majina mazuri kwasababu kisaikolojia majina hayo yameundwa kwa misingi ya Wivu, yaani mtu yoyote anayesikia raha kutumia majina hayo moyo wake unaongozwa na wivu tu! "Wakuona kwanini mwanaume mwenzake anapendwa katika hali ya ufukara"
Maelekezo ya Kimungu kwa wanandoa hayakubagua nani awe na fedha nyingi kuliko mwenzake! Yoyote anaweza kuwa na fedha! Mungu aliamuru HAYA
Ukisoma kwa kutulia kitabu cha mwanzo 3:1-24 utaona vile mungu alielekeza majukumu!
Kiufupi Mungu alisema hivi!
1. Eewe NYOKA utakuwa na uadui mkubwa na huyu MWANAMKE na uzao wake! Atakuponda kichwa nawe utamponda kisingino. Na hili litaendelea kwa wote tuliozaliwa na MWANAMKE tukiona nyoka lazima tuwaze kupiga kichwa naye nyoka tukiingia kwenye anga zake atatuponda, hii vita inaendelea kwa watu wote bila kujali fedha, jinsia au Mario! Almradi tu uwe umezaliwa na MWANAMKE basi umeingia vitani
2. Adhabu ya pili; MWANAMKE alipewa adhabu ya kuzaa kwa uchungu na nyege! Nanukuu kama ilivyoandikwa "Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”
Hii inamhusu MWANAMKE peke yake kwamba atakuwa na nyege kwa mwenza wake, atakunwa na hata akipata mimba atazaa kwa uchungu, HAPO ndipo kwa mbaali unaona UMHIMU WA MWANAUME! Nawaambiaga wanaume wenzangu ambaye anaruhusiwa hata KUHONGA ni mke siyo MWANAUME!
Ni udhaifu tu wa KIUME tumeujenga kwamba ili upate UTELEZI LAZIMA UHONGE hii haipo! Udhaifu tu wa wanaume umesababisha TUHONGE! lakini nyege zao ni mpango wa Mungu.
NOTE; MWANAMKE pamoja na adhabu ya kwanza na pili haikuzuiwa yeye kutafta PESA au kuwa tajili ni ruksa kwa wote atakayejaaliwa.
3. Adhabu ya tatu ni kwetu wanaume!
Tena adhabu inaanza kwa kusema! KWASABABU umemsikiliza huyo MWANAMKE! basi UTAKULA KWA JASHO! Utailima ardhi ili upate KULA YAKO! Elewa neno Utakula, siyo kwamba utamlisha na mkeo HAPANA! UTAKULA KWA JASHO ilikuwa maelekezo ya Mme kwamba hakuna atakayemuonea huruma akilia njaa!
Hii inamaanisha kwamba ukiona sasa unaweza kula kwa jasho na vikabaki basi ndipo unaweza kumrisha na aliyekaribu yako yoyote awe mkeo,rafiki n.k
ADHABU NYINGINE INAYOWAHUSU WOTE NI HII asiyefanya kazi na Asile! Uwe mwanamke au mwanaume Usipofanya kazi na USILE na usipo kula UFE!
Swali kazi ni nini?
Kazi ni kitu chochote kinachosaidia maisha ya wengine yasonge!
Mfano! Kama huna ajira serikalini basi jiajili, kama huna mtaji basi kaa nyumbani fagia , deki, fua nguo mpigie pasi mwenzako akalete pesa mpate KULA, hii haina jinsia!
Kama mkeo anatoka basi hakikisha unamfulia , watoto waogeshe, hiyo ni ajira indirect unamfanya mwenzako akirudi awe na amani asiwe na stress!
Kama ni Mme baada ya hayo ya usafi na upishi nyumbani UNAKUMBUSHWA kumsaidia mwenzako kumtoa NYEGE ambazo ni adhabu ya kimungu juu yako! (Atakutamani)
Hapo utagundua HAKUNA UMARIO, HAKUNA CHA GANDA LA NDIZI HAKUNA MWANAUME SURUALI N.K
Tena wanawake nawamegea siri mwanaume Mario ndiyo haswa anakupa amani ya moyo kama Mungu alivyoagiza! HAO VIDUME WANAOJITUTUMUA KUWAHONGA WACHUNENI Halafu nendeni mkale na Mario wenu nyumbani! Maana hakuna andiko limesema MWANAUME UTAPATA PENZI KWA HONGO!
PENZI NI BUREEE! Kuwaita watu MARIO NI WIVU TU! Na WANAWAKE MSIDANGANYWE MKAACHIKA kwa kufuata mkumbo wa jamii! Jamii ni yule muovu aliyewadanganya hadi mkapaewa adhabu Mara mbili mbili!
Ukimuacha huyo wanayemuita wao MARIO watamdaka wao,!
Mario kwao ila kwako ni mmeo kazi nyumbani anaiweza, MARIO Kwao ila kwako ni mkurugenzi mkuu wa familia, Mario kwao ila kwako huyo ni Amri jeshi mkuu wa ulinzi wa familia yako!
Wajibu wa MWANAUME kibiblia ni KICHWA CHA familia! Sifa kuu ya kichwa ni kufikili na kumshauri mkeo siyo kupiga, sifa kuu ya kichwa ni kuwa na akili ya utambuzi! Sifa kuu ya kichwa ni kupenya! Jukumu jingine Mungu alimpa Mme ni kumpenda mke, Unayempenda huwezi KUMFOKEA FOKEA OVYO Wala huwezi KUMPIGA
Wajibu wa mwanamke ni UTII kwa MMEWE! Utii ni kumheshimu mme, kumsikiliza Mme, mwanamke mtiifu habani, Anapanua yote ya moyoni kwa mumewe tu!
Sasa hayo yote yasipofanyika kote ni ngumu! MWANAUME hatompenda Mwanamke JEURI, na mwanamke Kamwe hatomuheshimu mwaume asiye mpenda!
MARIO SIYO KWAMBA HAFANYI KAZI hapana KAZI ANAFANYA Kwenye msingi wa kifamilia.
UKITAKA KUJUA UZURI WA MARIO ANAFANYAJE KAZI MUOMBE MKEWE UWE MKE WA PILI ndipo utajua Haujui!
Huko India wanawake wanachumbia waume, na mahali wanatoa wao!
Epukeni maneno yaliyojaa Wivu kutoka kwenye jamii hayana tofauti na yule NYOKA katika bustani ya edeni
Fedha ni sawa na madaraka tu! Anapewa yoyote! Ili atumie na watu wake!
Kama kwenye ngazi ya familia mke akiwa na pesa kutuzidi mnatuita Mario, Inamaana mataifa yanayoongozwa wanawake wanainchi hawaishi?
Tuisihi jamii ifute ubaguzi huu kwasababu unaharibu ndoa nyingi sana