Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
nina swali hapa ambalo ninapenda kujadili na watu wanaoelewa nalo ni kwamba kila mtu anafahamu kwamba atom imejengwa na nucleas ambayo proton (+) na nutron (0), pamoja na elektron (-).
Na sote tunafahamu kwamba elektron inazunguka nucleas mithili ya sayari zinavyolizunguka jua.
Sasa swali langu ni kwamba ni kwa nini electron haiangukii kwenye nucleas kwa maana tunafahamu kwamba chaji chanya na hasi zinavutana na ukichukulia kwamba electron ni hasi na nucleas ina chanya kutokana na neutron? na kama hilo halitoshi Je ni kwa nini proton ndani ya nucleas hazipambani na na kusukumana pande mbili tofauti kwani zoote zina chaji ya aina moja (+)!!!!
Na sote tunafahamu kwamba elektron inazunguka nucleas mithili ya sayari zinavyolizunguka jua.
Sasa swali langu ni kwamba ni kwa nini electron haiangukii kwenye nucleas kwa maana tunafahamu kwamba chaji chanya na hasi zinavutana na ukichukulia kwamba electron ni hasi na nucleas ina chanya kutokana na neutron? na kama hilo halitoshi Je ni kwa nini proton ndani ya nucleas hazipambani na na kusukumana pande mbili tofauti kwani zoote zina chaji ya aina moja (+)!!!!