Elektron

Huu sasa ufisadi. Itakuwaje mnaandika vitu sisi wengine hatuelewi mnasema nini?
 
Kujielimisha ni muhimu lakini huwezi kujielimisha mpaka ujue kila kitu kinaga ubaga.
Ukifunguliwa uwanja wa biology au cosmology na wenyewe waanze kujadiri mavitus yao, wengine tutaona nyota tu lakini bado hautakuwa ufisadi.
 
Tunashukuru sana huu ulimwengu wa mtandao watu tunauwezo wa kuchukua maneno ya topiki na kupata tafsiri yake kwenye online Dictionaries or by google anything and come here for contribution.Ila kuna mambo mengine yana hitaji basics.So we be careful.


Huwezi kutumia dictionary au google kama huna basics. Kumbuka pia hao wazifeed dictionaries na google wanasoma vitabu tunavyovisoma na sio kusema wao ndio wavumbuzi au watafiti per se.
 
Huwezi kutumia dictionary au google kama huna basics. Kumbuka pia kwenye dictionaries na google wanasoma vitabu wanavyosoma wengine na sio kusema wao ndio wavumbuzi au watafiti per se.


I dont wanna go through tit for tat Mama ,but all I can say it takes one to know one ,especially when we discuss these kind of stuff its not hard tell those with basics and those they dont have one no matter how much post they have.The fundamental different is when you discuss basics rather than main topic.

Anyway I appreciate people bring up good comments one of them is you mama.
 
...Ukifunguliwa uwanja wa biology au cosmology na wenyewe waanze kujadiri mavitus yao, wengine tutaona nyota tu lakini bado hautakuwa ufisadi.

"Wenyewe" kina nani ?

Hili ni situ la www, bana.

Atakaejiweka kama "mwenyewe" wa hizo fani ulizozitaja karibuni tu, just remember, we damn sure gon' double check your story.
 
Usipoelewa the basics za Quantum Electro Dynamics kama Heisenberg's uncertainty principle, Schrödinger's cat experiment, the double slit experiment and the wave particle duality of photons, jaribio la kujibu maswali ya the structure and behavior of the nucleus ni kutwanga maji kwenye kinu.

On the other hand, kama alivyosema Richard Feynman (that is kama ushamsikia Richard Feynman,) ukifikiri umeielewa Quantum Physics then most certainly hujaielewa.It is Zen-like like that.
 
Last edited:
It's not my fault if you can't keep up.


Sawa kaka naona huko kwenye anga zako. Ngoja nisubiri breking Nyuzi katika siasa.

Lakini kabla sijaondoka. Nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wa kutumia tindikali kutengeneza dhahabu. Maana nasikia kuwa chemical elements zote zimetokana na source moja. Ilianza hydrogen na kuwa accelerated kwenye elements zingine.
 
Kujielimisha ni muhimu lakini huwezi kujielimisha mpaka ujue kila kitu kinaga ubaga.
Ukifunguliwa uwanja wa biology au cosmology na wenyewe waanze kujadiri mavitus yao, wengine tutaona nyota tu lakini bado hautakuwa ufisadi.



Mbona siasa wote tunaweza?
 
Mbona siasa wote tunaweza?

Kama mapigo huyawezi lakini bado mtu unang'ang'ania kwamba unaweza kwa ku amplify ulichokisia na kisichokuelea, wewe bado huwezi na kubali kwamba huwezi hakuna aibu wala nini ndani yake. Kung'ang'ania na kuweza ni mambo mawili tofauti.

Siasa si kuongea na kutoa maoni au msimamo tu.
Siasa ni kubuni na kutekeleza mfumo unaweza kutafsiriwa katika kujenga uchumi wa nchi kwa kuzingatia mazingira na wazingirwa.
Siasa siyo maneno tu. Ili iwe siasa ni lazima yawe maazimio yawezayo kutamkwa na kutafsiriwa katika utekelezaji kivitendo hatua kwa hatua huku mwanya wa kurekebisha yasiyowezekana ukiachwa wazi.

Wengi tunajiingiza kwenye siasa si kwa sababu tunaijua au tunataka kuwa wanasiasa ila ni kwa sababu Siasa inatuathiri katika maisha yetu ya kila siku kwa hiyo kama mshindonyuma tunazama katika majadiliano.

Je tunaijua siasa kweli?
 
Sawa kaka naona huko kwenye anga zako. Ngoja nisubiri breking Nyuzi katika siasa.

Lakini kabla sijaondoka. Nilikuwa nauliza kama kuna uwezekano wa kutumia tindikali kutengeneza dhahabu. Maana nasikia kuwa chemical elements zote zimetokana na source moja. Ilianza hydrogen na kuwa accelerated kwenye elements zingine.

Inawezekana in principle ila siyo kwa kutumia tindikali, you will have to arrange the gold atom by atom, and smash some rather heavy atoms in some rather powerful particle accelerator, which would be many times more expensive than just buying the gold.
 
Last edited:
Kama mapigo huyawezi lakini bado mtu unang'ang'ania kwamba unaweza kwa ku amplify ulichokisia na kisichokuelea, wewe bado huwezi na kubali kwamba huwezi hakuna aibu wala nini ndani yake. Kung'ang'ania na kuweza ni mambo mawili tofauti.

Siasa si kuongea na kutoa maoni au msimamo tu.
Siasa ni kubuni na kutekeleza mfumo unaweza kutafsiriwa katika kujenga uchumi wa nchi kwa kuzingatia mazingira na wazingirwa.
Siasa siyo maneno tu. Ili iwe siasa ni lazima yawe maazimio yawezayo kutamkwa na kutafsiriwa katika utekelezaji kivitendo hatua kwa hatua huku mwanya wa kurekebisha yasiyowezekana ukiachwa wazi.

Wengi tunajiingiza kwenye siasa si kwa sababu tunaijua au tunataka kuwa wanasiasa ila ni kwa sababu Siasa inatuthiri katika maisha yetu ya kila siku kwa hiyo kama mshindonyuma tunazama katika majadiliano.

Je tunaijua siasa kweli?

Najua tu ulitaka kusema "You are !d1ot". Lakini umezunguka we mpaka nimepata point.
 
Inawezekana in principle ila siyo kwa kutumia tindikali, you will have to arrange the gold atom by atom, and smash some rather heavy atoms in some rather powerful particle accelerator, which would be many times more expensive than just buying the gold.

Asante kwa majibu mazuri. Hila naomba ushauri tu. Nina muda wa kutosha na nilikuwa nataka kuwa amateur astro-physics. Je unaelewa vitu gani nipitie?
 
Najua tu ulitaka kusema "You are !d1ot". Lakini umezunguka we mpaka nimepata point.

Binafsi huwa sijisikii vema kumwita mtu !diot kwa sababu kwanaza siyo mwelekeo chanya wa mawasiliano na pili na muhimu,katika purukushani za kumwita mtu !diot mara nyingi wewe mwenyewe unageuka kuwa !diot.

Jambo muhimu katika maongezi au mawasiliano yeyote ni kuuliza maswali na kujaribu kutatua utata wa kila tungo kwa mitazamo tofauti.
Hata katika hoja inayodhaniwa na kila mtu imebeba ujinga na ujuha wa hali ya juu kuna jambo la kujifunza, pia kuna ujumbe wa kuelimisha.

Sikuwa na nia,haja wala hila ya kutaka kukuita !diot.
 
Binafsi huwa sijisikii vema kumwita mtu !diot kwa sababu kwanaza siyo mwelekeo chanya wa mawasiliano na pili na muhimu,katika purukushani za kumwita mtu !diot mara nyingi wewe mwenyewe unageuka kuwa !diot.

Jambo muhimu katika maongezi au mawasiliano yeyote ni kuuliza maswali na kujaribu kutatua utata wa kila tungo kwa mitazamo tofauti.
Hata katika hoja inayodhaniwa na kila mtu imebeba ujinga na ujuha wa hali ya juu kuna jambo la kujifunza, pia kuna ujumbe wa kuelimisha.

Sikuwa na nia,haja wala hila ya kutaka kukuita !diot.

Yo Madela, what up mayn?
 
Fact abaout electron.

Mass 9.1095x10^-31kg

Charge 1.6022x10^-19

An electron is bound to the nucleus of an atom by the attractive Coulomb force

An atom has orbital that consists of sets of quantum states that have a particular energy.

Electrons can transfer between different orbitals by the emission or absorption of photons with an energy that matches the difference in potential.

When an electron is in motion, it generates a magnetic field

Pairs of electrons in an atom align their spins in opposite directions, giving them different spin quantum numbers that satisfy the Pauli exclusion principle.

"When two paired particles of same charge are moving in opposite direction the sean created is the same as when two paired particles of different charge are moving in the same direction."

Thus the magnetic moments of an atom's paired electrons cancel each other out.

"Meaning pairing of electrons helps to cancel the ,force, pull created by positive charge, protons, in the nucleus."

The net magnetic moment of an atom is equal to the vector sum of all its component orbital and spin magnetic moments.

"An eletron has two types of spinig.Orbital spin and own axis spin"

Eletron can escape the atom.

In order to escape the atom, the energy of the electron must be increased above the atom's binding energy. Escape of eletron can occur for example, with the photoelectric effect, where an incident photon exceeding the atom's ionization energy is absorbed by the electron.

An eletron is a particle but it can hardly assume a position at any moment.

Electrons obbey wave theories behaving as if they are massless.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom