SoC02 Elimu, madhara na ushauri kuhusu umeme wa radi

Stories of Change - 2022 Competition

Theorist Mosses

JF-Expert Member
Jul 16, 2022
345
253


Screenshot_20220726-153417~2.png
(umeme wa radi)



Utangulizi
Sayari yetu ya dunia ni sayari ya tatu kati ya nane kwenye mfumo wetu wa nyota inayoitwa jua. ambayo ni sayari pekee inayo sapoti maisha iliyo bahatika kuwa na matabaka mazito ambayo ni anga hewa. lakini katika matabaka hayo siyo sehemu zote binadamu anaweza kuhimili hewa kuna kaeneo kadogo sana kanaitwa biosphere kwa kiswahili ni ile sehemu yenye hewa ambayo mtu anaweza kupumua kupata uhai "greenhouse" hapa ndipo tunasema pana sapoti maisha.

Ufafanuzi
Anga, ni uwazi ambao ndiyo umechukua nafasi kubwa ulimwenguni. Anga ndiyo imebeba kila kitu ikiwemo mfumo wote wa jua "solar system" na nyota zote ikiwemo sayari yetu ya dunia ambapo ndani yake ndiyo kuna gesi ambazo tunaita hewa kwahiyo anga siyo hewa.

Hewa, ni muunganiko wa gesi nyingi nyingi ambazo zipo kwenye anga. Kama vile hydrogen, oxygen, CO2, SO2, H2S, CH4, NH3 gesi hizi zimeundwa kwa atomi ambazo ni vipunje punje vidogo vigumu Kwahiyo hewa ni gesi siyo anga.

Atomi, ni vipunje vidogo vidogo sana kuzidi kipunje cha mchanga ambavyo ndiyo gesi yenyewe sasa. atomi imeunda vitu vingi sana kama vile gesi, moto, sumu, umeme, gari, ndege, radi na vitu vyengine vingi naomba tuzungumzie kuhusu umeme wa radi.

Radi
Ni umeme mkubwa sana ambao unapatikana kwenye matabaka mazito ya anga hewa wenye kuzalisha nguvu za umeme hadi kufikia voltage milioni 200 ampere 30000 kwa kila shoti moja ya radi, ambao ni mkubwa sana kuliko umeme wa tanesco wenye voltage 200 ampere 10.

Tuangalie sasa namna ambavyo umeme wa radi uzalishwa na matabaka ya anga hewa na nitakupa ushauri wa kisayansi namna unavyo weza kujikinga na kuwakinga wengine kuhusu umeme wa radi.

Jinsi matabaka yanavyo zalisha radi
Nyota yetu jua ndiyo chanzo kikuu cha maisha na nishati ya joto na mwanga kwenye mfumo wetu wa jua "solar system" ambapo ndani yake ndipo sayari yetu inayoitwa dunia inapatikana. Tunapata nishati ya joto kutoka kwenye nyota jua kwasababu ndiyo nyota iliyo karibu zaidi na dunia ukilinganisha na mabilioni ya nyota yaliyopo mbali ambayo tuna ya shuhudia mwanga wake hafifu wakati wa majira ya usiku.


Nyota yetu inapo zalisha joto lake usafiri kwa njia ya mawimbi moja kwa moja mpaka kwenye matabaka yaliyopo duniani Kumbuka kazi moja wapo ya matabaka ya anga hewa ni kichuja mionzi mikali itolewayo kutoka kwenye jua. katika mchakato wa kuchuja mionzi ya jua kuna baadhi ya mionzi hafifu itolewayo na jua ufanikiwa kupenya kwenye tabaka zito la hewa hadi kutufikia ardhini.

Mionzi iliyo fanikiwa kufika ardhini upelekea joto ambapo kukiwa na joto maji huvukizwa na kuwa mvuke hatimae kupanda tena kurudi kwenye anga hewa, ambapo hukutana na mawingu yaliyo katika hali ya unyevu nyevu basi nayo upoa na kuwa mawingu. kwahiyo kule juu kunakuwa na mpangilio wa mawingu ya aina mbili mawingu ambayo tayari yapo juu na mawingu yanayo panda.

Uwepo wa mawingu ya aina mbili kwenye anga hewa itafanya mawingu ambayo tayari yapo juu kuwa mawingu mazito na mawingu yanayo panda kuelekea juu kuwa mawingu mepesi. Mawingu mazito yanakuwa na matone tone ya maji itafanya kuwa na chaji chanya au hasi "postive, negative" na mawingu mepesi yenye mvuke mvuke pia kuwa na chaji chanya au hasi kwahiyo kunakuwa na mawingu mawili yenye chaji tofauti tofauti.

Mawingu, ni hewa au gesi iliyo katika hali ya unyevu nyevu ambao huo unyevu ndiyo maji au "mvua" ambapo maji ni muunganiko wa gesi mbili oxygen, hydrogen.

Katika ufafanuzi mwanzo nilisema hewa ni gesi iliyo undwa na vipunje punje "atomi" sasa vipunje punje hivi navyo vimegawanyika ndani yake siyo kitu kimoja. Ndani yake kuna neutron, electron, protons ambavyo vimeunda atomi. Vipunje hivi vina kamilisha atomi kuwa na chaji hasi na chanya kwamba vipunje hivi ndiyo chanzo cha umeme hata kwenye simu yako vipo vipunje vya atomi vinavyo sababisha simu yako kuwaka.

Turudi kwenye mawingu tumesema kuna mawingu ya aina mbili na yote yana vipunje vya atomi ambavyo vina chaji. kwamba kuna mawingu mazito yaliyopo juu tayari yenye chaji chanya na hasi, mawingu mepesi yanayo panda yenye chaji chanya na hasi.

Endapo mawingu haya mawili yatakapo tofautiana mikondo ya chaji itasababisha shoti ambayo ndiyo umeme wa radi. Hebu tuchukulie mfano kwamba tuna gusanisha nyaya mbili zenye umeme chanya na hasi lazima itatokea shoti hapo, ambapo hiyo shoti ndiyo mfano wa umeme wa radi unavyo tengenezwa na matabaka ya anga hewa.

Madhara
• Radi linaweza kupiga kwenye makazi ya watu. Hili ni tatizo ambalo linaweza kuleta maafa kwa watu ikiwemo kwenye makazi, biashara au hata kupelekea uharibifu wa mashamba, mifugo na mazao.

• Radi linaweza kusababisha magonjwa ya mshtuko wa moyo. Hili ni tatizo ambapo linaweza kupelekea mtu kuwa na magonjwa ya moyo kutokana na ngurumo kali ziambatanazo na radi.

• Radi linaweza kumharibu mtu kisaikolojia. Hili pia ni tatizo ambapo linaweza kupelekea mtu kuwa na wasiwasi kushindwa kujiamini kutokana na hofu hivyo linaweza kupelekea tatizo la kisaikolojia.

• Radi linaweza kuyumbisha uchumi. Hili ni tatizo kwamba radi linaweza kupiga kwenye sehemu muhimu za uwekezaji na kusababisha uharibufu ambao unaweza kuchochea kuyumbisha uchumi.


FB_IMG_16588369869866333.jpg Screenshot_20220726-150226~2.png Screenshot_20220726-150159~2.png Screenshot_20220726-150144~2.png Screenshot_20220726-150129~2.png Screenshot_20220726-150118~2.png Screenshot_20220726-150038~2.png Screenshot_20220726-150003~2.png Screenshot_20220726-145754~2.png Screenshot_20220726-145820~2.png Screenshot_20220726-145847~2.png
(Pichani ni Habari mtandaoni kuhusu madhara ya radi)

Ushauri
• usimruhusu mtoto wako kucheza au kumtuma dukani wakati wa mvua na radi. Unashauriwa kutokuwa unamtuma mtoto wakati wa mvua na radi ili kuepusha maafa yatokanayo na umeme wa radi.

• Usiwe unapanda minazi au kuwa karibu na nguzo za umeme wakati wa mvua na radi. Unashauriwa kuwa mbali na miti mirefu ambayo kwa asilimia kubwa radi upiga maeneo hayo itasaidia kujiweka salama zaidi.

• Zima simu yako au chombo chochote kinacho tumia umeme wakati wa mvua na radi. Unashauriwa kuwa unazima simu wakati wa mvua na radi kwasababu radi ni jamii moja ya umeme unao patikana kwenye vyombo vya umeme wa majumbani.

• Usikae sehemu zilizo binuka sana wakati mvua na radi. Unashauriwa kushaka kwenye maeneo yaliyo binuka zaidi kama vile milimani itasaidia sana kujiweka salama na madhara yatokanayo na radi.

Hitimisho
Elimu ya radi niliyo elezea kwa namna moja au nyengine itachangia kwa kiasi chake katika kupunguza majanga ya umeme wa radi na kuleta mabadiliko chanya kwenye nyanja mbalimbali katika jamii.





 
Samahani wadau niko nje ya mada.


Mada inayo kuja uzunguzmie ule uji ulioko ndani huko aedhini wa moto ambao huja juu na kusababisha volcano.

Kwenye mada hiyo uzungumzie ni vitu gani huko vinaungua na kusababisha kile kimiminika cha moto?

Uzungumzie chanzo na asili ya kuungua materio hayo yanayo sababisha lava hizo

Kwa kuzingatia kanuni zinazo endesha parachut linalo pulizwa na hewa ya moto na kufanya lipae juu(yanatumika sana kwenye utalii) je tunaweza kulinganisha na namna hizo molten materials zinavyo ungua huko chini kwamba ndio kichocheo kinacho sababisha dunia ielee juu ?

Nini kitatokea endapo michakato ya kuungua hivyo vitu hulo chini ikikoma?
 


View attachment 2304590(Pichani ni umeme wa radi)



Utangulizi
Sayari yetu ya dunia ni sayari ya tatu kati ya nane kwenye mfumo wetu wa nyota inayoitwa jua. ambayo ni sayari pekee inayo sapoti maisha iliyo bahatika kuwa na matabaka mazito ambayo ni anga hewa. lakini katika matabaka hayo siyo sehemu zote binadamu anaweza kuhimili hewa kuna kaeneo kadogo sana kanaitwa biosphere kwa kiswahili ni ile sehemu yenye hewa ambayo mtu anaweza kupumua kupata uhai "greenhouse" hapa ndipo tunasema pana sapoti maisha.

Ufafanuzi
Anga, ni uwazi ambao ndiyo umechukua nafasi kubwa ulimwenguni. Anga ndiyo imebeba kila kitu ikiwemo mfumo wote wa jua "solar system" na nyota zote ikiwemo sayari yetu ya dunia ambapo ndani yake ndiyo kuna gesi ambazo tunaita hewa kwahiyo anga siyo hewa.

Hewa, ni muunganiko wa gesi nyingi nyingi ambazo zipo kwenye anga. Kama vile hydrogen, oxygen, CO2, SO2, H2S, CH4, NH3 gesi hizi zimeundwa kwa atomi ambazo ni vipunje punje vidogo vigumu Kwahiyo hewa ni gesi siyo anga.

Atomi, ni vipunje vidogo vidogo sana kuzidi kipunje cha mchanga ambavyo ndiyo gesi yenyewe sasa. atomi imeunda vitu vingi sana kama vile gesi, moto, sumu, umeme, gari, ndege, radi na vitu vyengine vingi naomba tuzungumzie kuhusu umeme wa radi.

Radi
Ni umeme mkubwa sana ambao unapatikana kwenye matabaka mazito ya anga hewa wenye kuzalisha nguvu za umeme hadi kufikia voltage milioni 200 ampere 30000 kwa kila shoti moja ya radi, ambao ni mkubwa sana kuliko umeme wa tanesco wenye voltage 200 ampere 10.

Tuangalie sasa namna ambavyo umeme wa radi uzalishwa na matabaka ya anga hewa na nitakupa ushauri wa kisayansi namna unavyo weza kujikinga na kuwakinga wengine kuhusu umeme wa radi.

Jinsi matabaka yanavyo zalisha radi
Nyota yetu jua ndiyo chanzo kikuu cha maisha na nishati ya joto na mwanga kwenye mfumo wetu wa jua "solar system" ambapo ndani yake ndipo sayari yetu inayoitwa dunia inapatikana. Tunapata nishati ya joto kutoka kwenye nyota jua kwasababu ndiyo nyota iliyo karibu zaidi na dunia ukilinganisha na mabilioni ya nyota yaliyopo mbali ambayo tuna ya shuhudia mwanga wake hafifu wakati wa majira ya usiku.


Nyota yetu inapo zalisha joto lake usafiri kwa njia ya mawimbi moja kwa moja mpaka kwenye matabaka yaliyopo duniani Kumbuka kazi moja wapo ya matabaka ya anga hewa ni kichuja mionzi mikali itolewayo kutoka kwenye jua. katika mchakato wa kuchuja mionzi ya jua kuna baadhi ya mionzi hafifu itolewayo na jua ufanikiwa kupenya kwenye tabaka zito la hewa hadi kutufikia ardhini.

Mionzi iliyo fanikiwa kufika ardhini upelekea joto ambapo kukiwa na joto maji huvukizwa na kuwa mvuke hatimae kupanda tena kurudi kwenye anga hewa, ambapo hukutana na mawingu yaliyo katika hali ya unyevu nyevu basi nayo upoa na kuwa mawingu. kwahiyo kule juu kunakuwa na mpangilio wa mawingu ya aina mbili mawingu ambayo tayari yapo juu na mawingu yanayo panda.

Uwepo wa mawingu ya aina mbili kwenye anga hewa itafanya mawingu ambayo tayari yapo juu kuwa mawingu mazito na mawingu yanayo panda kuelekea juu kuwa mawingu mepesi. Mawingu mazito yanakuwa na matone tone ya maji itafanya kuwa na chaji chanya au hasi "postive, negative" na mawingu mepesi yenye mvuke mvuke pia kuwa na chaji chanya au hasi kwahiyo kunakuwa na mawingu mawili yenye chaji tofauti tofauti.

Mawingu, ni hewa au gesi iliyo katika hali ya unyevu nyevu ambao huo unyevu ndiyo maji au "mvua" ambapo maji ni muunganiko wa gesi mbili oxygen, hydrogen.

Katika ufafanuzi mwanzo nilisema hewa ni gesi iliyo undwa na vipunje punje "atomi" sasa vipunje punje hivi navyo vimegawanyika ndani yake siyo kitu kimoja. Ndani yake kuna neutron, electron, protons ambavyo vimeunda atomi. Vipunje hivi vina kamilisha atomi kuwa na chaji hasi na chanya kwamba vipunje hivi ndiyo chanzo cha umeme hata kwenye simu yako vipo vipunje vya atomi vinavyo sababisha simu yako kuwaka.

Turudi kwenye mawingu tumesema kuna mawingu ya aina mbili na yote yana vipunje vya atomi ambavyo vina chaji. kwamba kuna mawingu mazito yaliyopo juu tayari yenye chaji chanya na hasi, mawingu mepesi yanayo panda yenye chaji chanya na hasi.

Endapo mawingu haya mawili yatakapo tofautiana mikondo ya chaji itasababisha shoti ambayo ndiyo umeme wa radi. Hebu tuchukulie mfano kwamba tuna gusanisha nyaya mbili zenye umeme chanya na hasi lazima itatokea shoti hapo, ambapo hiyo shoti ndiyo mfano wa umeme wa radi unavyo tengenezwa na matabaka ya anga hewa.

Madhara
• Radi linaweza kupiga kwenye makazi ya watu. Hili ni tatizo ambalo linaweza kuleta maafa kwa watu ikiwemo kwenye makazi, biashara au hata kupelekea uharibifu wa mashamba, mifugo na mazao.

• Radi linaweza kusababisha magonjwa ya mshtuko wa moyo. Hili ni tatizo ambapo linaweza kupelekea mtu kuwa na magonjwa ya moyo kutokana na ngurumo kali ziambatanazo na radi.

• Radi linaweza kumharibu mtu kisaikolojia. Hili pia ni tatizo ambapo linaweza kupelekea mtu kuwa na wasiwasi kushindwa kujiamini kutokana na hofu hivyo linaweza kupelekea tatizo la kisaikolojia.

• Radi linaweza kuyumbisha uchumi. Hili ni tatizo kwamba radi linaweza kupiga kwenye sehemu muhimu za uwekezaji na kusababisha uharibufu ambao unaweza kuchochea kuyumbisha uchumi.


View attachment 2304517View attachment 2304514View attachment 2304513View attachment 2304512View attachment 2304510View attachment 2304509View attachment 2304508View attachment 2304507View attachment 2304504View attachment 2304505View attachment 2304506
(Pichani ni Habari mtandaoni kuhusu madhara ya radi)

Ushauri
• usimruhusu mtoto wako kucheza au kumtuma dukani wakati wa mvua na radi. Unashauriwa kutokuwa unamtuma mtoto wakati wa mvua na radi ili kuepusha maafa yatokanayo na umeme wa radi.

• Usiwe unapanda minazi au kuwa karibu na nguzo za umeme wakati wa mvua na radi. Unashauriwa kuwa mbali na miti mirefu ambayo kwa asilimia kubwa radi upiga maeneo hayo itasaidia kujiweka salama zaidi.

• Zima simu yako au chombo chochote kinacho tumia umeme wakati wa mvua na radi. Unashauriwa kuwa unazima simu wakati wa mvua na radi kwasababu radi ni jamii moja ya umeme unao patikana kwenye vyombo vya umeme wa majumbani.

• Usikae sehemu zilizo binuka sana wakati mvua na radi. Unashauriwa kushaka kwenye maeneo yaliyo binuka zaidi kama vile milimani itasaidia sana kujiweka salama na madhara yatokanayo na radi.

Hitimisho
Elimu ya radi niliyo elezea kwa namna moja au nyengine itachangia kwa kiasi chake katika kupunguza majanga ya umeme wa radi na kuleta mabadiliko chanya kwenye nyanja mbalimbali katika jamii.





More Fact My Brother
 
1.Kwanini radi ni zigzag?
2.kwanini radi inapotokea hailekei juu bali inaelekea chini?
Naomba msaada wa majibu wa hayo maswali. Asante
 
1.Kwanini radi ni zigzag?
2.kwanini radi inapotokea hailekei juu bali inaelekea chini?
Naomba msaada wa majibu wa hayo maswali. Asante
Mtu aliyeko kwenye mwezi kama ana uwezo wa kuona uelekeo wa mwanga wa radi unadhani ataona inaelekea wapi? Chini pembeni au juu?
 
Je, Hatuwezi kuvuna umeme wa radi ? Ndiyo hatuwezi !!!



Túkisema tutengeneze vifaa Kama satellite tukavifunge kwenye matabaka ya anga hewa hivyo vifaa vitaungua havita weza kuvuna umeme wa radi.


Kwasbabu hakuna battery aliyo tengeneza mwanandamu lenye uwezo wa kuhifadhi umeme wenye nguvu kufikia volts million 200 ambayo ni kubwa sana lazima battery litaungua kwaiyo hatuwezi kuvuna umeme wa radi.​
Hatuwezi kuvuna umeme wa majumbani kutokana na radi​

 
1.Kwanini radi ni zigzag?
2.kwanini radi inapotokea hailekei juu bali inaelekea chini?
Naomba msaada wa majibu wa hayo maswali. Asante​
1.Kwanini radi ni zigzag?
2.kwanini radi inapotokea hailekei juu bali inaelekea chini?
Naomba msaada wa majibu wa hayo maswali. Asante​
vipunje vya atomi huwa vimekaa kwa kuachiana nafasi sana vipunje hivi ndiyo vimeunda radi.


Sifa moja wapo ya radi inapiga kwa kufuata mikondo yake ya atomi kwaiyo ndiyo maana inaonekana kama zigzags pia inaonekana ikipiga chini kwa sababu inafuata njia zake Kama ikitokea mkondo ya atomi ya radi imeungana na atomi zilizopo kwenye mti, simu, gari, nyumba basi radi litafuata mkondo huo aijalishi upo juu, kulia, au kushoto lenyewe linafuata mikondo ya atomi​
 
Jinsi ya kunipigia kura angalia kiarama chenye arama hii "^" chini ya chapisho bonyeza hapo utakuwa umenipigia kura


Asante sana​
 
Samahani wadau niko nje ya mada.


Mada inayo kuja uzunguzmie ule uji ulioko ndani huko aedhini wa moto ambao huja juu na kusababisha volcano.

Kwenye mada hiyo uzungumzie ni vitu gani huko vinaungua na kusababisha kile kimiminika cha moto?

Uzungumzie chanzo na asili ya kuungua materio hayo yanayo sababisha lava hizo

Kwa kuzingatia kanuni zinazo endesha parachut linalo pulizwa na hewa ya moto na kufanya lipae juu(yanatumika sana kwenye utalii) je tunaweza kulinganisha na namna hizo molten materials zinavyo ungua huko chini kwamba ndio kichocheo kinacho sababisha dunia ielee juu ?

Nini kitatokea endapo michakato ya kuungua hivyo vitu hulo chini ikikoma?​
Core ya dunia ni nini ?

Umeuliza maswali mengi mazuri Sana kwanza tuanzie hapa ushawai kusikia kitu kinaitwa gravity ? tukisema tujaribu kuruka hapa kwa miguu tutaona kwamba miguu yetu inavutwa kurudi chini sindiyo sasa hii ndiyo gravity.

Kwenye gravity kuna theory nyingi zinazo elezea hii mada nikisema gravity, namaanisha ni ile kani ya mvutano inayo tushikilia kila tukijaribu kuruka juu.

Kuna theory inaitwa newton hii inaeleza kwamba uji uji kwenye core ya dunia ndiyo kitu cha kwanza kuwepo kabla ya hii shepu ya sasa ambayo imebeba watu na maji, bahari, na miti kwamba ile core kiini cha dunia kimeundwa kwa gesi na mauchafu mengi mengi ambayo yamepelekea joto kali na kusabibisha hiyo volcano.


Kama tujuavyo kwenye gesi lazima kuna kuwa na milipuko milipuko yani misuguano baina ya gesi nyingi zilizo banana katika kaeneo kadogo kaduara kwa sababu ya joto hii hupelekea kusabisha matetemeko ya ardhi ambayo yanapelekea hii shape ya juu ambayo tupo sisi kutema uji uji wa moto wanaita "mabonde ya ufa" ambayo hutoa zile lava zilizo lipuka kwenye core.


Nini kitatokea endapo core kiini cha dunia kitakufa, nikwamba hakutakuwa na maisha tena kwa sababu kiini ndiyo chanzo cha sisi kuishi kwamba kiini kitakapo kufa zile hewa ambazo ndiyo gesi tuzitumiazo kupumulia tunaita matabaka ya hewa yata haribika na kusababisha mionzi mikali itolewayo na jua kutufikia ardhini ambayo itasababisha ukame ambapo binadamu hawata weza kuhimili mabadiriko hayo kwaiyo kiini kikitoeka hakutakuwa na maisha.


Hii mada nyingine ya dunia kuelea kwenye anga ni pana sana lazima tuanzie kwenye big bang nitaielezea siku nyengine.​
 
Habari, kwa wageni wote jinsi ya kunipigia kura gusa kimshale hapa chini ya post chenye arama "^" chini ya chapisho.

Kama ukipata shida kwenye kupiga Kura Tafadhali nijulishe kwenye comment kwa maelekezo zaidi.

Tafadhali lakini pia usisahau Ku-like chapisho na kuacha maoni yako kuhusiana na sayansi na teknolojia pia nikaribisha mijadara.
 
Habari, kwa wageni wote jinsi ya kunipigia kura gusa kimshale hapa chini ya post chenye arama "^" chini ya chapisho.

Kama ukipata shida kwenye kupiga Kura Tafadhali nijulishe kwenye comment kwa maelekezo zaidi.

Tafadhali lakini pia usisahau Ku-like chapisho na kuacha maoni yako kuhusiana na sayansi na teknolojia pia nikaribisha mijadara.
 
Habari, kwa wageni wote jinsi ya kunipigia kura gusa kimshale hapa chini ya post chenye arama "^" chini ya chapisho.

Kama ukipata shida kwenye kupiga Kura Tafadhali nijulishe kwenye comment kwa maelekezo zaidi.

Tafadhali lakini pia usisahau Ku-like chapisho na kuacha maoni yako kuhusiana na sayansi na teknolojia pia nikaribisha mijadara.
 
Habari, kwa wageni wote jinsi ya kunipigia kura gusa kimshale hapa chini ya post chenye arama "^" chini ya chapisho.

Kama ukipata shida kwenye kupiga Kura Tafadhali nijulishe kwenye comment kwa maelekezo zaidi.

Tafadhali lakini pia usisahau Ku-like chapisho na kuacha maoni yako kuhusiana na sayansi na teknolojia pia nikaribisha mijadara.
 
Back
Top Bottom