mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
Jamani salaams za eid haziji hivi hivi zinakuja ma zawadi :biggrin1:
Hayahaya wajameni kimeeleweka sasa
Napenda kuchukua fursa hii kuwatakia ndugu zangu Waislam Eid Mubarak na kuwapongeza wote waliofunga.
Nianze na shemeji yangu Roulette, sweetlo gfsonwin na niece wangu Mwali. Salam za Eid ziwafikie pia babu Asprin na wakeze BADILI TABIA Yummy cacico chini ya uangalizi wa Kongosho.
Eei mubarak my wife wangu AshaDii na wa siri wangu mkuu mwaJ popote ulipo.
Japo charminglady kaaga namtakia mkono wa iddi pamoja na wakati ndio sasa. Judgement na baby nasty, mtu chake [MENTION=10188]TANMO[/@eickb52 wakiwa na preta fungateni, pia namtakia heri Remmy na kumsihi abadili mawazo
Wengineo ni Neiwa, BAGAH, ummu kulthum, mwalimu wangu Madame B na ruttashobolwa, MtotoSix Mtoboasiri na wanachit chat woote
Ujumbe tusherekee kwa amani
mwaJ nakuja nipo morgoro sasa kila ulichoagiza utakipata
Oooh kuna ukoko umebaki nadhani lol
msile sana jamani kesho sita shwari
sita shwari ndio nini Ummu? kwani hairuhusiwi kula sana?
Thanks mkuu Rejao
unakichanga halafu mimi shangazi sijui lol! sasa wafikiri nywele atamyoa nani jamani?Asante sana Erickb52
Sikukuu imeisha tuanze kuchapa kazi sasa aise Yummy nasikia alionekana pande za mbauda akila ugali na mlenda sikukuu yote hii cacico nae akaonekana pande za kisongo akibugia mbege gfsonwin huyu nasikia alikuw apande za unga lelo akikaanga samaki BADILI TABIA nasikia yeye ilikuwa super kwake maana akilikuwa pande za Kibo Palace Hotel akikata mvinyo na pedeshee sijui ni Bishanga au Asprin
gfsonwin ujumbe uliwekwa jamvini na The Finest na nilijua umeupata dearunakichanga halafu mimi shangazi sijui lol! sasa wafikiri nywele atamyoa nani jamani?
how sweet is the baby aisee. kila heri mungu akukuzie.gfsonwin ujumbe uliwekwa jamvini na The Finest na nilijua umeupata dear
Sorry aise nakupa taarifa kamili nina kichanga aise
Asante sana sana Dear gfsonwinhow sweet is the baby aisee. kila heri mungu akukuzie.
ni mdada ama mkaka?
good job aise atleast umepata mjesh home.Mkaka aise
good job aise atleast umepata mjesh home.