Asante sana Erickb52
Sikukuu imeisha tuanze kuchapa kazi sasa aise Yummy nasikia alionekana pande za mbauda akila ugali na mlenda sikukuu yote hii cacico nae akaonekana pande za kisongo akibugia mbege gfsonwin huyu nasikia alikuw apande za unga lelo akikaanga samaki BADILI TABIA nasikia yeye ilikuwa super kwake maana akilikuwa pande za Kibo Palace Hotel akikata mvinyo na pedeshee sijui ni Bishanga au Asprin
Asante sana Erickb52
Sikukuu imeisha tuanze kuchapa kazi sasa aise Yummy nasikia alionekana pande za mbauda akila ugali na mlenda sikukuu yote hii cacico nae akaonekana pande za kisongo akibugia mbege gfsonwin huyu nasikia alikuw apande za unga lelo akikaanga samaki BADILI TABIA nasikia yeye ilikuwa super kwake maana akilikuwa pande za Kibo Palace Hotel akikata mvinyo na pedeshee sijui ni Bishanga au Asprin
Hayahaya wajameni kimeeleweka sasa
Napenda kuchukua fursa hii kuwatakia ndugu zangu Waislam Eid Mubarak na kuwapongeza wote waliofunga.
Nianze na shemeji yangu Roulette, sweetlo gfsonwin na niece wangu Mwali. Salam za Eid ziwafikie pia babu Asprin na wakeze BADILI TABIA Yummy cacico chini ya uangalizi wa Kongosho.
Eei mubarak my wife wangu AshaDii na wa siri wangu mkuu mwaJ popote ulipo.
Japo charminglady kaaga namtakia mkono wa iddi pamoja na wakati ndio sasa. Judgement na baby nasty, mtu chake TANMO[/@eickb52 wakiwa na preta fungateni, pia namtakia heri Remmy na kumsihi abadili mawazo
Wengineo ni Neiwa, BAGAH, ummu kulthum, mwalimu wangu Madame B na ruttashobolwa, MtotoSix Mtoboasiri na wanachit chat woote
Ujumbe tusherekee kwa amani
mwaJ nakuja nipo morgoro sasa kila ulichoagiza utakipata
Hivi unasahau kuwa unajitia aibu mwenyewe hapa,kwani we ulikua wapi usiwe na waifu wako mkale wote ugali kwa mlenda???!!!!
nilikuwa na mume wangu mie.....hubby Asprin
Afu wewewwwwe! Unataka kulogwa?umezidi kukagua! unakagua mpaka nyufa!? nyingine hazizibiki imekuwa mifereji! lolest!
naogopa kukuchum kama zamani!! Mkeo si karudi jamvini! Hebu nimpe heshima yake kwanza, ctaki kesi na mi-ban mie! nimekumiss mno tena Kaizer, lol
mwahhhh, mwahhhh , mwahhhhh! khaaaaaaaa umeidaka kwa wapi hiyo Kaizer??? lolest! ushemeji umenoga wallah!
tobaaaaaaaaaaaaaaaaa, maulana! khaaaaa, mbona kama namfananisha na mtu huyo baba jamani??hii nimeona kwenye gazeti nikaambiwa hawa ni wana chit chat .. sikufanikiwa kupata majina yao Asprin ukaguzi wako kwa wajukuu huwa ni hivi..?
![]()
View attachment 62524
sawa ma swtlo yaani ngoja tujiandae ila wewe beba mbuzi dume bana ya supu ya mzazi miye ndo ntabeba pampers.
na kama huyo ndo first born umeanza vzr sana sana. yaani utashangaa liliwa miaka 13 kama clein wangu kazi zote za kiume home anafanya kama tu ukimlea bila madeko. manake dume langu naliitaga comrade linajua kupanga vikosi kazi home kama mtu mzima vile.kabisa dear na la muhimu ni kumuombea Mungu sana amlinde na kukmkuza kwa katika maisha yake
Asante sana gfsonwin