Eid Mubarak wana chit chat woote!

Eid Mubarak wana chit chat woote!

sweetlo gfsonwin hapo wa kujilaumu ni wewe na fungate lile unaona hadi umekosa hizi news za hommie Mr Rocky kupatamo dume! LOL

Ila nywele bado kunyoa so nadhani tufunge safari kwenda kumwona mi nitabeba pampers
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Erickb52
Sikukuu imeisha tuanze kuchapa kazi sasa aise Yummy nasikia alionekana pande za mbauda akila ugali na mlenda sikukuu yote hii cacico nae akaonekana pande za kisongo akibugia mbege gfsonwin huyu nasikia alikuw apande za unga lelo akikaanga samaki BADILI TABIA nasikia yeye ilikuwa super kwake maana akilikuwa pande za Kibo Palace Hotel akikata mvinyo na pedeshee sijui ni Bishanga au Asprin

Hivi unasahau kuwa unajitia aibu mwenyewe hapa,kwani we ulikua wapi usiwe na waifu wako mkale wote ugali kwa mlenda???!!!!
 
nilikuwa na mume wangu mie.....hubby Asprin



Asante sana Erickb52
Sikukuu imeisha tuanze kuchapa kazi sasa aise Yummy nasikia alionekana pande za mbauda akila ugali na mlenda sikukuu yote hii cacico nae akaonekana pande za kisongo akibugia mbege gfsonwin huyu nasikia alikuw apande za unga lelo akikaanga samaki BADILI TABIA nasikia yeye ilikuwa super kwake maana akilikuwa pande za Kibo Palace Hotel akikata mvinyo na pedeshee sijui ni Bishanga au Asprin
 
Last edited by a moderator:
Hayahaya wajameni kimeeleweka sasa

Napenda kuchukua fursa hii kuwatakia ndugu zangu Waislam Eid Mubarak na kuwapongeza wote waliofunga.

Nianze na shemeji yangu Roulette, sweetlo gfsonwin na niece wangu Mwali. Salam za Eid ziwafikie pia babu Asprin na wakeze BADILI TABIA Yummy cacico chini ya uangalizi wa Kongosho.
Eei mubarak my wife wangu AshaDii na wa siri wangu mkuu mwaJ popote ulipo.

Japo charminglady kaaga namtakia mkono wa iddi pamoja na wakati ndio sasa. Judgement na baby nasty, mtu chake TANMO[/@eickb52 wakiwa na preta fungateni, pia namtakia heri Remmy na kumsihi abadili mawazo

Wengineo ni Neiwa, BAGAH, ummu kulthum, mwalimu wangu Madame B na ruttashobolwa, MtotoSix Mtoboasiri na wanachit chat woote

Ujumbe tusherekee kwa amani

mwaJ nakuja nipo morgoro sasa kila ulichoagiza utakipata

Gadem!!! Hili yuziful sredi lilinipitaje? Hommie Kaizer naomba mwongozo wako tafazali.
 
Last edited by a moderator:
Hivi unasahau kuwa unajitia aibu mwenyewe hapa,kwani we ulikua wapi usiwe na waifu wako mkale wote ugali kwa mlenda???!!!!

God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.


nilikuwa na mume wangu mie.....hubby Asprin


'..............when your enemies makes mistakes don't interrupt them...................'
 
haaa sweet shem nilikumisije hebu come zis way jamani cacico....hata mi naona! Lol
naogopa kukuchum kama zamani!! Mkeo si karudi jamvini! Hebu nimpe heshima yake kwanza, ctaki kesi na mi-ban mie! nimekumiss mno tena Kaizer, lol
 
Last edited by a moderator:
umezidi kukagua! unakagua mpaka nyufa!? nyingine hazizibiki imekuwa mifereji! lolest!
Afu wewewwwwe! Unataka kulogwa?

attachment.php
 
hii nimeona kwenye gazeti nikaambiwa hawa ni wana chit chat .. sikufanikiwa kupata majina yao Asprin ukaguzi wako kwa wajukuu huwa ni hivi..?




attachment.php



haha.jpg
 
naogopa kukuchum kama zamani!! Mkeo si karudi jamvini! Hebu nimpe heshima yake kwanza, ctaki kesi na mi-ban mie! nimekumiss mno tena Kaizer, lol

Shemeji basi nichumu nikiss mwaaah unaogopa nini jamani? Mke karudi sawa, my sweetlo gfsonwin naye yupo kwa sana, na wa siri wangu mwaJ. sasa tabu iko wapi shemeji yangu mpenzi? come zis way cacico! mwaaah
 
Last edited by a moderator:
umezidi kukagua! unakagua mpaka nyufa!? nyingine hazizibiki imekuwa mifereji! lolest!
cacico my shemeji mpenzi nisome katikati ya mistari au nimsubiri Yummy aje anitafsirie?
 
Last edited by a moderator:
sweetlo gfsonwin hapo wa kujilaumu ni wewe na fungate lile unaona hadi umekosa hizi news za hommie Mr Rocky kupatamo dume! LOL

Ila nywele bado kunyoa so nadhani tufunge safari kwenda kumwona mi nitabeba pampers

sawa ma swtlo yaani ngoja tujiandae ila wewe beba mbuzi dume bana ya supu ya mzazi miye ndo ntabeba pampers.
 
Shemeji basi nichumu nikiss mwaaah unaogopa nini jamani? Mke karudi sawa, my sweetlo gfsonwin naye yupo kwa sana, na wa siri wangu mwaJ. sasa tabu iko wapi shemeji yangu mpenzi? come zis way cacico! mwaaah
mwahhhh, mwahhhh , mwahhhhh! khaaaaaaaa umeidaka kwa wapi hiyo Kaizer??? lolest! ushemeji umenoga wallah!
 
Last edited by a moderator:
sawa ma swtlo yaani ngoja tujiandae ila wewe beba mbuzi dume bana ya supu ya mzazi miye ndo ntabeba pampers.

Orait sweetlo gfsonwin, nimchukue yule beberu kabisa tuliyemhasi tayari eeh? ngoja tumpe yala majani yake special this week ili utumbo uwe mtamu lol....nakupendea mabusara yako tu

Umenionea cacico?
 
Last edited by a moderator:
kabisa dear na la muhimu ni kumuombea Mungu sana amlinde na kukmkuza kwa katika maisha yake
Asante sana gfsonwin
na kama huyo ndo first born umeanza vzr sana sana. yaani utashangaa liliwa miaka 13 kama clein wangu kazi zote za kiume home anafanya kama tu ukimlea bila madeko. manake dume langu naliitaga comrade linajua kupanga vikosi kazi home kama mtu mzima vile.
 
Back
Top Bottom