wiiii!! Eid mubarak!! tutaenda wapi vle ulisema!!!??Minal faidhin
Najua PakaJimmy Hana mtu, nimemuuliza hajanijibu, hata hii sikukuu naiona chungu.
Nimelipata toto la kutoka nalo weekend hii, thanks 2 all guys who help me kulitongoza.
Nashukuru kwa wote wanaofanya idadi ya holidays kuwa nying kwa sabb bila hao nadhani nisingepata ruhusa kazini wala mapumziko ya aina yoyote yale.
Kaizer leo najiandaa kuunga Jungu lililovunjika kabla ya mfungo!Hayahaya wajameni kimeeleweka sasa
Napenda kuchukua fursa hii kuwatakia ndugu zangu Waislam Eid Mubarak na kuwapongeza wote waliofunga.
Nianze na shemeji yangu Roulette, sweetlo gfsonwin na niece wangu Mwali. Salam za Eid ziwafikie pia babu Asprin na wakeze BADILI TABIA Yummy cacico chini ya uangalizi wa Kongosho.
Eei mubarak my wife wangu AshaDii na wa siri wangu mkuu mwaJ popote ulipo.
Japo charminglady kaaga namtakia mkono wa iddi pamoja na wakati ndio sasa. Judgement na baby nasty, mtu chake TANMO[/@eickb52 wakiwa na preta fungateni, pia namtakia heri Remmy na kumsihi abadili mawazo
Wengineo ni Neiwa, BAGAH, ummu kulthum, mwalimu wangu Madame B na ruttashobolwa, MtotoSix Mtoboasiri na wanachit chat woote
Ujumbe tusherekee kwa amani
mwaJ nakuja nipo morgoro sasa kila ulichoagiza utakipata
Hahahaaaa kwanza nimegundua PakaJimmy ananizunguka kwa Preta lol
Hommie mpaka sie makanda umetusaiChanganya na zako dogo! Ohoo
vp nami nikaribie? ila pilau sipendi napenda ugali na ngogwe za kisambaa zile za kuchoma