Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Twende nizime uone utofauti...unacheza kama una 3170 😂😂kuna mwamba nili kutana nae ana 3174 ugusi mpira yuko speed kila unapo peleka yupo.
Twende nizime uone utofauti...unacheza kama una 3170 😂😂kuna mwamba nili kutana nae ana 3174 ugusi mpira yuko speed kila unapo peleka yupo.
😂nimetoka niji tafakari kwanza maana sijaamini kabisaKaka ukwel nimeamua kutumia smart assist ya Razorblade ameninyanyasa mno nikaona imetosha acha niwashe tuu...
Me ni mbovu kwenye direction na kutoa pasi... Sasa yenyewe imekuja imenitibia hvyo kwa hiyo mambo ndo yapo hivi saiv...
Sema umetoka nilitaka game ya tatu nizime nicheze bila smart assist... Maana nimeona sijafanya fair...
Amna twende ukaone mchezo wangu halisi bila smart assist game mmoja tuu..😂nimetoka niji tafakari kwanza maana sijaamini kabisa
Mishale inabidi iweje me uwa si izingatii
Mwanaume kupambana unaachaje kupeleka team uwanjaniView attachment 3323945
Mishale ikiwa hivyo kama hapo kwenye picha fanya sub kabla hujaenda uwanjani, tafuta mchezaji ambae walau mshale wake ni kijani kibichi.
View attachment 3323946
Mshale ukiwa na kijani hii ujue hiyo ni neema kwako, hii inakuwa hivi sana kwenye friend match na hapo settings ikiwa ni excellent.
Kikosi changu hakijawahi kuwa hivyo kwenye dvn, rangi zingine sijui ndo wanaita karoti na nyekundu zikiwepo hizo usipeleke timu uwanjani 😂.
Unakotoka mie ndo nakoenda, kuna baadhi ya mechi sasahivi kwenye dvn situmii ultra defensive na matokeo napata.Kaka ukwel nimeamua kutumia smart assist ya Razorblade ameninyanyasa mno nikaona imetosha acha niwashe tuu...
Me ni mbovu kwenye direction na kutoa pasi... Sasa yenyewe imekuja imenitibia hvyo kwa hiyo mambo ndo yapo hivi saiv...
Sema umetoka nilitaka game ya tatu nizime nicheze bila smart assist... Maana nimeona sijafanya fair...
Hizi story bila matokeo ni uzushi, tuwekeeni matokeo 😂.😂nimetoka niji tafakari kwanza maana sijaamini kabisa
Mbaya hiyo 😂.Mwanaume kupambana unaachaje kupeleka team uwanjani
In summary hizi ni condition za mchezaji kwa mechi husika... Ambao huwa ni Random kwa kila mechi japo kwenye friend match kuna option ya kuchagua condition iweje unaona mfano hapo juu wachezaji wote wana condition sawaa hiyo ni friend match...View attachment 3323945
Mishale ikiwa hivyo kama hapo kwenye picha fanya sub kabla hujaenda uwanjani, tafuta mchezaji ambae walau mshale wake ni kijani kibichi.
View attachment 3323946
Mshale ukiwa na kijani hii ujue hiyo ni neema kwako, hii inakuwa hivi sana kwenye friend match na hapo settings ikiwa ni excellent.
Kikosi changu hakijawahi kuwa hivyo kwenye dvn, rangi zingine sijui ndo wanaita karoti na nyekundu zikiwepo hizo usipeleke timu uwanjani 😂.
Me naongelea smart assist... KakaUnakotoka mie ndo nakoenda, kuna baadhi ya mechi sasahivi kwenye dvn situmii ultra defensive na matokeo napata.
Hapana hatuweki😃😃😃 mpaka tuludianeHizi story bila matokeo ni uzushi, tuwekeeni matokeo 😂.
Umeeleza vyema, chukua chaki ingia darasani 😂.In summary hizi ni condition za mchezaji kwa mechi husika... Ambao huwa ni Random kwa kila mechi japo kwenye friend match kuna option ya kuchagua condition iweje unaona mfano hapo juu wachezaji wote wana condition sawaa hiyo ni friend match...
Condition kuna Excellent ambao huwa ni mshale umeeleka juu refer picha ya pili iliyotumwa...
Then kuna Good ambayo huwa ni mshale ambao upo kwenye saa nane
Then kuna Normal ambao umelala ulalo.. kama picha ya kwanza hapo juu...
Baada ya happ kuna Bad ambapo mshare unalala chini kama kwenye saa kumi hivi kwenye saa alafu kuna terrible ambapo unakiwa umeangalia chini kabisa ..
Mchezaji akiwa na hizo mbili za mwisho toa usimpange
Ndiyomaana nimesema unakotoka ndiyo nakoenda, nimeanza na ultra defensive kisha nitafata smart assist.Me naongelea smart assist... Kaka
Nitaingia jumatatu kaka😃😃Umeeleza vyema, chukua chaki ingia darasani 😂.
Twende basi kabla hujazimaNdiyomaana nimesema unakotoka ndiyo nakoenda, nimeanza na ultra defensive kisha nitafata smart assist.
Sasahivi nataka nipumzike mkuu, tukutane mida yetu ile.Twende basi kabla hujazima
Aina noma..Sasahivi nataka nipumzike mkuu, tukutane mida yetu ile.
Sawa kwa kukurahisishia kazi yako mie nitaizima.Aina noma..
Hii smart assist nikikufunga naacha kutumia
Hapana nataka uwashe kaka...Sawa kwa kukurahisishia kazi yako mie nitaizima.