Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,155
- 10,396
Sawa.Hapana nataka uwashe kaka...
Kuna kitu nataka nijaribu...
Nione utofauti wangu mimi na wewe upo wap...
Sawa.Hapana nataka uwashe kaka...
Kuna kitu nataka nijaribu...
Nione utofauti wangu mimi na wewe upo wap...
Muda wa kucheza ni mchana kakaNimekutana na vipigo asubuhi hii nimeshuka mpaka 1390, natamani nivute siku kadhaa ndo nirudi kucheza dvn tena.
Jaribu pure haram ball 523 ya 2 CF na 1 SS. Halafu beki ziwe attacking full back zinapiga cross kwa Drogba mwanzo mwisho. Yani ukiupata mpira clear kwa Drogba then Drogba ata win header halafu pass 2 hadi 3 cross kwa Drogba .Nimekutana na vipigo asubuhi hii nimeshuka mpaka 1390, natamani nivute siku kadhaa ndo nirudi kucheza dvn tena.
Tuendelee leo mkuuTwende nizime uone utofauti...
Tuendelee leo mkuuAmna twende ukaone mchezo wangu halisi bila smart assist game mmoja tuu..
Na nikisema pure haram ball namaanisha niliwahi fika divison 2 na hiki kikosiNimekutana na vipigo asubuhi hii nimeshuka mpaka 1390, natamani nivute siku kadhaa ndo nirudi kucheza dvn tena.
Hakuna muda maalumu maana mara nyingi huwa nacheza asubuhi kabla mambo hayajakuwa mengi ila leo siku mbaya.Muda wa kucheza ni mchana kaka
Ngoja niruke nayo hii.Jaribu pure haram ball 523 ya 2 CF na 1 SS. Halafu beki ziwe attacking full back zinapiga cross kwa Drogba mwanzo mwisho. Yani ukiupata mpira clear kwa Drogba then Drogba ata win header halafu pass 2 hadi 3 cross kwa Drogba .
Ngoja nilijaribu hili boko haramu.Na nikisema pure haram ball namaanisha niliwahi fika divison 2 na hiki kikosi View attachment 3324089View attachment 3324090View attachment 3324091
Hawezi haram Football huyo😃😃Jaribu pure haram ball 523 ya 2 CF na 1 SS. Halafu beki ziwe attacking full back zinapiga cross kwa Drogba mwanzo mwisho. Yani ukiupata mpira clear kwa Drogba then Drogba ata win header halafu pass 2 hadi 3 cross kwa Drogba .
Sawaa kaka👏Tuendelee leo mkuu
Asubuhi wafanyakazi wa konami nao wanakuwa wanakuza account zao sasa shaul yako 😃😃😃Hakuna muda maalumu maana mara nyingi huwa nacheza asubuhi kabla mambo hayajakuwa mengi ila leo siku mbaya.
Simu imekuwa kipengele tayari na unajua siye vikosi vyetu tunakuza kwa daily login na kucheza events, sitaki kikae muda mrefu bila kuongezeka.Binafsi sidhan ngoja tungojee wataalamu waje
Haiwezekani ili account uimiliki llni lazima uwe na email na password.Hivi inawezekana kumpatia mtu account bila kumpa password?
NEGAN
Basi ngoja nimtafute mtu aliyekaribu nimuachie account kwa muda.Haiwezekani ili account uimiliki llni lazima uwe na email na password.
Ili uweze kufanya data transfer ucheze game kwenye simu yako hatua ni hizi
View attachment 3324175View attachment 3324174View attachment 3324176
Ili u access KONAMI ID lazima uwe na email na password ukisha log in unabadili unaweka email yako.
Kiufupi haiwezekani kutumia account ya mtu bila password ya email
Nipe mimi nikushushe mpka division ya 9 kaka🤣🤣🤣ukute na wachezaji wa 0 Gp team nzimaBasi ngoja nimtafute mtu aliyekaribu nimuachie account kwa muda.
Aah ukikosa mtu wa kumuachia utanicheki...Simu imekuwa kipengele tayari na unajua siye vikosi vyetu tunakuza kwa daily login na kucheza events, sitaki kikae muda mrefu bila kuongezeka.