eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Wewe si unanunua😃
Labda kama nimemuelewa vibaya...

Simu yake imezingua anataka mtu wa kuwa anamchezea events siku hizo ngapi ambazo atakuwa offline

Ndo nimempa offer yangu hapo juu🤣🤣🤣
 
Lakini nashangaa anapigwa na Razorblade dunia ina maajabu kila mtu na mbabe wake 😃
Kuna siku Razorblade kanipiga sita sijui 😃😃nashangaaa tu akienda golini kwangu goli ..


Afu nakuja humu nashangaa wewe unamfunga anaapa kulipa kisasi🤣🤣🤣sasa najiuliza mechi zangu na wewe huwa unanilegezea kwa sababu ya ugen au la🤣🤣
 
Mkuu kwa niliocheza nao humu ambae sijamfunga mpaka muda huu ni wewe tu na sijui nakwama wapi, Mr Devil nilimpiga 2-0 na hakupiga shuti hata 1 😂.
Nitafute kwa muda wako😃😃😃otherwise utafungwa mpaka uhame uwanja🤣🤣🤣🤣(Jokes)


Natania bhana me mwenyewe nashindaga bahati nasibu tuu game nzima kazi yangu ni kukaba
 
Kuna siku Razorblade kanipiga sita sijui 😃😃nashangaaa tu akienda golini kwangu goli ..


Afu nakuja humu nashangaa wewe unamfunga anaapa kulipa kisasi🤣🤣🤣sasa najiuliza mechi zangu na wewe huwa unanilegezea kwa sababu ya ugen au la🤣🤣
Mkuu huyo NEGAN mpaka unaona namuomba anielekeze kuhusu LBC basi ujue kasheshe, hata mie nashangaa unamfunga 😂.
 
Back
Top Bottom