Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Mkuu nakupasua na huo mfumo wako ngoja uone 😂.Unamjua lakn pedri kaka pedri Gonzalez😃😃😃
Mkuu nakupasua na huo mfumo wako ngoja uone 😂.Unamjua lakn pedri kaka pedri Gonzalez😃😃😃
Sawaa kaka😃😃😃Mkuu nakupasua na huo mfumo wako ngoja uone 😂.
Hahaha hizi sha tumia hadi coins 900 kama mala 2 naambulia 73,76Dah hiii show time ya kibabe ila kupata hata mmoja hapa ni bahati.
View attachment 3321645
View attachment 3321647
Dvn unacheza ya AI ? Mbona match nyingi sanaaa kupandaWakuu mna uhakika kuwa hii Efootball league Ai sio wafanyakazi wa konami wanapokezana kucheza😬😬😬
Nimesema leo nicheze nipande division 2 nimekula vipigo game zote🙌🙌🙌
Wale wachezaji wenye booster ya kijan kakaJana nilkua nasoma 3127 leo after ku update nimeshuka 3125 tatizo nini
Nishafika division 3Dvn unacheza ya AI ? Mbona match nyingi sanaaa kupanda
Asee booster ina expire date kumbeWale wachezaji wenye booster ya kijan kaka
Oya mimi imenishinda 😃🙌Wakuu mna uhakika kuwa hii Efootball league Ai sio wafanyakazi wa konami wanapokezana kucheza😬😬😬
Nimesema leo nicheze nipande division 2 nimekula vipigo game zote🙌🙌🙌
Nimekwama div 2 mechi 30 nipo 1600 sipandi 1700 🙌Nishafika division 3
Niliona match nyingi sana ,nakomaa na watu wa kawaidaNishafika division 3
Hapana sio expire date inategemeana na form ya mchezaji husika week hiyo...Asee booster ina expire date kumbe
Amna kam ukutane na kikosi cha mtu ana lamine Yamal hesabu maumivu🤣🤣🤣Oya mimi imenishinda 😃🙌
Me division 3 tu imenisumbua🙌🙌🙌Nimekwama div 2 mechi 30 nipo 1600 sipandi 1700 🙌
Mtarudi tu kwenye PvP 😂.Oya mimi imenishinda 😃🙌
Pole sana mkuu.Hahaha hizi sha tumia hadi coins 900 kama mala 2 naambulia 73,76
Hatuna jinsi mkuu😃🙌Mtarudi tu kwenye PvP 😂.
Mimi niliwaambia konami siyo wajinga 😂.Hatuna jinsi mkuu😃🙌