Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,291
Saiv huwa nina line ya data tuu hakuna mtu anayo kwahiyo huwa nazima main lain nabakiza hiyoKuna ile situation match ime kolea afu mtu ana kupigia simu data inazima😅😅
Saiv huwa nina line ya data tuu hakuna mtu anayo kwahiyo huwa nazima main lain nabakiza hiyoKuna ile situation match ime kolea afu mtu ana kupigia simu data inazima😅😅
Nimekuona huko ila nakulia buyu kwakuwa wewe siyo miongoni mwa wale wanaokuja kwenye uzi wetu kutupigia kelele kila tukifanya vibaya 😂.Me Barcelona kaka🤣🤣🤣 nipo nachek game hapa
Daah sawaa kaka japoSema ungekomaa na hichi tu mkuu, tengenza chako bhana hata ikiwa kwa miaka 2 ndiyo raha yake 😂.
Hiyo haiepukiki kaka watakuletea watu wa 3200 kama wote utaniambiaHapo niombe nisipigwe script 😂.
Pole sana mkuuHii hapa,game naongoza na dakika kama unavoona halafu simu ikaitaView attachment 3321117
Me nipo UEFA mkuu nikitoka kama utakuwepoNani yupo online wakuu
Hongera mkuu tuendelee kukaza vidoleNimeingia div 4
Komaa tu.Daah sawaa kaka japoView attachment 3321138
Nawawekea ultra defensive tu.Hiyo haiepukiki kaka watakuletea watu wa 3200 kama wote utaniambia
Sawaa kakaKomaa tu.
Ultra defensive ni nzuri sana basi tu unaonekana weak...Nawawekea ultra defensive tu.
Huyo Valvede ni destroyer 🔥🔥🔥🔥owaa sio powDah hiii show time ya kibabe ila kupata hata mmoja hapa ni bahati.
View attachment 3321645
View attachment 3321647
Mkuu mkuu🤣🤣🤣🙌TONIGHT 🔥
View attachment 3321712
Uzuri ni kwamba hiyo siitumii zaidi ya kwenye dvn ambapo watu wanacheza tu kupata matokeo ili kupanda dvn.Ultra defensive ni nzuri sana basi tu unaonekana weak...
Bado sijafanya update, ila wamenikera kounde kumuweka kwenye show time.Huyo Valvede ni destroyer 🔥🔥🔥🔥owaa sio pow
Tutakutana uwanjani, halafu uwanja wenyewe ni San siro sasa 😂.Mkuu mkuu🤣🤣🤣🙌
Mchawi booster.Siku imeanza vizuriView attachment 3321746